Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,184
- 1,315
alafu watu wa hivi badae ndio wana kuja kulia lia humu ndoa ngumu kumbe wakati wana oa walifata chura & msabwanda wakasahau kitu adimu TABIAChagua tabia(awe na sura au msambwanda) Msabwanda una hela,una moyo? Kama hajatulia jua ni siti ya daladala je hautajitundika?
Haswaa kuchagua mtu wa kuish nae tumia busara plz usijaribu kabsa hivyo viwili may be hit and run. Tuwahurumie wazazi wetu hawapendi kuona tunakisa amani na ndoa zeti.Sura, msambwanda vyote huishi navyo. Utaishi na tabia ya mtu. Ila km wa kupotezea muda basi hao wote wanafaa. Maana unaweza ukawa na huyo mwenye msambwanda lkn tabia zake ukachoka ww ukaishia ht kutoutamani
unapokuwa na msambwanda safi sana sura unafunika na akili yote unajenga picha unaipeleka kwa mtoto mzuri kama jokate vile utapiga round mia kidogo

hahaaa kama kiti wallah...duh!
hilo ni wezele limevuka kwenye msambwandahahaaa kama kiti wallah...duh!
Pole kwa kura mifupaMimi sura tu ndo ugonjwa wangu kwa mwanamke.

Kalio kubwa, Sura kapewa ya baba ake...... mtu kama huyo wa nn sasa







Umeona mbali my hzi mbwembwe tu nyuma ya keyboard hawana loloteMiss chaga njoo uku leo hatuna mtetezi.
Ila hawa wote wapenda chura kwa maneno nenda wake zao uone, kweli maneno hata kwenye khanga yapo.

Inategemea na aina ya ugegedaji unayoitumiasi kweli kwanza reception makalio hayana kitu maana hata wakati wa kigegeda sura ndo kivutio msambwanda wakati huo hauonekani ila sura unaiona
Kwa sababu ngono ni kitu natural kama sir god alivyoumba, pesa Ni matengenezo ya mwanadamu tu! Wewe Wa ajabu unanshangaa mwanaume anayependa ngono! Du! Basi mshangae na mtu anayekunywa maji basi!Asilimia tisini ya wanaume wanaopenda misambwanda hawana ela sababu akili zao aziwazi maendeleo zinawaza ngono