Sura vs msambwanda unachagua kipi?

Sura vs msambwanda unachagua kipi?

Salama wadau humu ndani?Kuna hili suala ambalo Nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa Kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua kimoja.

Ni ndoto ya Kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka umbo na Kwa sie waafrika tipikale ktk umbo tunamaanisha kalio lililoshiba vizuri Yani msambwanda Kwa lugha ya mtaani.

Lakini Kwa bahati mbaya sio mara nyingi mtu hubahatika kupata seti iliyokamili,ndipo hapo napopenda kujua je kati ya binti mwenye sura nzuri lakini nyuma flat screen,na binti asiye na sura nzuri ila nyuma amesheheni vizuri au Ana umbo zuri upendalo utachagua yupi?mimi binafsi msambwanda ndio ugonjwa wangu sura sio issue sana.karibuni wadau
msambwanda aiseee mm kumla dem yuko flat kwangu ni najisi hua sisimki nakua kama natimiza wajibu tu
ila ata ukiwa ovyo mm nauangalia msambwanda tu waarabu haooo fasta tu wanakuja
 
Sura hata mbuzi anayo.. [HASHTAG]#TeamChuraaA[/HASHTAG]
 
napenda sana kutembea na misambwanda.. ili sio awe mke wangu no!
mke ni ishu nyingine mkuu..
 
Asee.., Men cant get enough kabisa....

√√Ukipata Mwenye msamwanda Akili yake iko empty yeye kugawaa tu, ashajua anachoringia

√√Ukipata mwenye sura nzury, eeh.! sio type ako hana zile pozi utakazooo , always pretender, kulia , but akilia sura inakuwa mzury tuu, pia anakuwa yuko busy, tena ndo ukipata msomii

* gentlmn cant get enough in ladies kabisaa,
Too bad ni kwamba hizi mada zinaletwa na vijana ambao hawajaoa, no wonder wanaumiza wadada wa watu.
 
d8613f6c7098f7f00ba8a117695299b4.jpg
toobaaaa! kama mambo ya misabwanda ndio hiv bora sura, mtoto ata hug upati!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom