dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,072
msambwanda aiseee mm kumla dem yuko flat kwangu ni najisi hua sisimki nakua kama natimiza wajibu tuSalama wadau humu ndani?Kuna hili suala ambalo Nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa Kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua kimoja.
Ni ndoto ya Kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka umbo na Kwa sie waafrika tipikale ktk umbo tunamaanisha kalio lililoshiba vizuri Yani msambwanda Kwa lugha ya mtaani.
Lakini Kwa bahati mbaya sio mara nyingi mtu hubahatika kupata seti iliyokamili,ndipo hapo napopenda kujua je kati ya binti mwenye sura nzuri lakini nyuma flat screen,na binti asiye na sura nzuri ila nyuma amesheheni vizuri au Ana umbo zuri upendalo utachagua yupi?mimi binafsi msambwanda ndio ugonjwa wangu sura sio issue sana.karibuni wadau
ila ata ukiwa ovyo mm nauangalia msambwanda tu waarabu haooo fasta tu wanakuja