Sura vs msambwanda unachagua kipi?

Sura vs msambwanda unachagua kipi?

si kweli kwanza reception makalio hayana kitu maana hata wakati wa kigegeda sura ndo kivutio msambwanda wakati huo hauonekani ila sura unaiona
Acha uongo wewe inategemea na style,Kuna style sura haionekani unaonekana msambwanda tu tena ukiupata ule lainiiii ukiwa unapiga takoz zako unarukaruka raha kwelkwel
 
Asilimia tisini ya wanaume wanaopenda misambwanda hawana ela sababu akili zao aziwazi maendeleo zinawaza ngono

american president, ruler of the world pamoja na kuwaza mambo ya maendeleo na jinsi ya kuimarisha marekani lakini alishindwa kuacha kuwaza ngono ndio itakuwa sie wakawaida. wacha mbwembwe, ngono kila mwanaume anawza wether ana hela au hana hela.
 
Potarble ndio mpango mzima mpangilio Wa minyama ilivokosa ushirikiano nachefukaga kabisa portable smooth baba easy to handle!!!
 
napendezwa na mwenye sura ya kiafrika na hips...makalio kwangu ni si kipaumbele...
e13240ae6e58d7eebaaa10eb5e6a064e.jpg
 
Wanaume bado hatujui tunachopenda kutoka kwa mwanamke....anayesema leo yeye ni mpenzi wa FLAT SCREEN kesho ukipishana nae umeongoza na CHOGO lazima AGEUKE.....ebu tuupigie makofi msambwanda tadhari
 
Miswambwanda ndo Mpango Mzima..... Mwanamke bla msambwanda nisawa na nyumba Nzuri bla choo.... Au bahari bla mawimbi! Kumbuka raha ya bahari mawimbi
 
Tatizo ni kwamba moja inadumu nyingine haidumu.
Sura nzuri mwisho ujana lakini msambwanda hata akiwa na miaka 80 uko palepale.
Marehemu bibi kaondoka at 80 plus na figa nyoko kwelikweli mpaka leo wajukuu zake wa kike wanalalama hawajapata figa la bibi!
 
uzuri ni ubatili na upendeleo hudanganya bali mwanamke amchae bwana mungu ndiye atakayesifiwa ndg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom