Sura vs msambwanda unachagua kipi?

Sura vs msambwanda unachagua kipi?

0e66a46c52f1a62a78cdde633e28825d.jpg
msambwanda
mjingamimi tukutane PM kwa mazungumzo yaletayo gumzo

Mzee Tupatupa
 
Ukiwa na demu mwenye msambwanda ukae na akiba ya vidonge vya presha
Na sisi tunaelewa kuwa ushindani ni mkubwa,kwahiyo siyo kosa lao ila demand yao no kubwa mnoo,tunajiandaa mapema,hivo vi modo siyo kwamba vimetulia ni kwamba tu havina soko,haleti attention akikatisha Mtaani!
 
Kwa wanaomjua Saarah Baartman...watakuwa wanajua umuhimu wa msambwanda.............
 
Msambwanda ndio wenyewe hata sura ikiwa nzuri kama Harmorapa
Hata Diamond mlimuona nzr kitambo, ila kwakua saa hizi ana vijisent mnamuona vile,.. Harmorapa Harmorapa nae uzuri wake utabadilika tu, na kesho mtaongeza like kwake... Acheni maneno...
 
Acha kufananisha msambwanda na mambo ya kijinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom