Sura vs msambwanda unachagua kipi?

Sura vs msambwanda unachagua kipi?

Baada ya kusoma comments nimebaini baadhi ya wenye misambwanda na wasiokuwa nayo.
Kuhusu wenye suraaa, sura sina uhakika maana kuna wengine hawana sura wala msambwanda dadadekh!!
Na pia naona kama kuna kajivita barid kati ya sura na misambwanda hivi.

Take Msambwanda for extra fun!!
 
Sura, msambwanda vyote huishi navyo. Utaishi na tabia ya mtu. Ila km wa kupotezea muda basi hao wote wanafaa. Maana unaweza ukawa na huyo mwenye msambwanda lkn tabia zake ukachoka ww ukaishia ht kutoutamani
Ni kheri kupata girl friends anajielewa kama wewe
 
Asee.., Men cant get enough kabisa....

√√Ukipata Mwenye msamwanda Akili yake iko empty yeye kugawaa tu, ashajua anachoringia

√√Ukipata mwenye sura nzury, eeh.! sio type ako hana zile pozi utakazooo , always pretender, kulia , but akilia sura inakuwa mzury tuu, pia anakuwa yuko busy, tena ndo ukipata msomii

* gentlmn cant get enough in ladies kabisaa,
Safi sana,
 
Mie chura ndio hutaji[emoji30] [emoji30]
 
d8613f6c7098f7f00ba8a117695299b4.jpg
Hii hapana kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom