Suprise nyingine hazifai...

Hahaha! Ukiona manyoya machache ujue wamemkosakosa, ila kama yanajaa kiganja ujue keshaliwa.
 
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!

Una hakika alikwambia ni "suprise" na sio "alert"?
 
Suprise gani?.......tayari wajanja washakuwahi....ka vipi potezea....kaa chini jiulize kwa nini umetoswaaa?.....kisha chukua hatua za kumtafuta mlimbwende....but vizuri ni gharamaa
 
Heeh unazima simu then unasema suprise??hii kali aisee tena ijumaa wikenda?lol!something is wrong somewhere..
 
Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!

Kubali............that the...game is over and that it was nice as it was coming to a short surprisingly end.............kwako the end is premature but for her it is time to move on.............
 
ebu nipe namba ya huyo demu wako then ntajitahidi kukufanyia uchunguzi maana unaonekana unampenda sana na si vizuri umpoteze
 
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!


na yeye mpige SURPRISE,mkatie mawasiliano kama ka mwezi kamoja!kama vipi bakia na NIDANGANYEDANGANYE!
 
Mkuu we mwache aendelee na surprise yake pia m pm Bishanga akupe maujanja kwani yeye wadada wengu tuu wanamshobokea we unahangaika na anayakusuprise kwa kukukatia simu na wakati kuna wengine wanahitaji kuwa nawe muda woteeeeeeee...Wapi Bishangaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mkuu we mwache aendelee na surprise yake pia m pm Bishanga akupe maujanja kwani yeye wadada wengu tuu wanamshobokea we unahangaika na anayakusuprise kwa kukukatia simu na wakati kuna wengine wanahitaji kuwa nawe muda woteeeeeeee...Wapi Bishangaaaaaaaaaaaaaaaaaa

bishanga ni famous c nitaibiwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom