Mbilimbili
Senior Member
- Mar 17, 2012
- 172
- 19
- Thread starter
- #41
Mtoe out wikend,atatoa yalio sirini mwake.ila,duh..hiyo surprise ya aina yake.au hana vocha may b.
hilo la vocha uongo.
Mtoe out wikend,atatoa yalio sirini mwake.ila,duh..hiyo surprise ya aina yake.au hana vocha may b.
mafundisho ya kanisa yanaunga mkono hayo mapenzi yenu?
Hahaha! Ukiona manyoya machache ujue wamemkosakosa, ila kama yanajaa kiganja ujue keshaliwa.
Mh! Hii surprise kiboko! Haijapata kutokea
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!
Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!
Una hakika alikwambia ni "suprise" na sio "alert"?
Mkuu we mwache aendelee na surprise yake pia m pm Bishanga akupe maujanja kwani yeye wadada wengu tuu wanamshobokea we unahangaika na anayakusuprise kwa kukukatia simu na wakati kuna wengine wanahitaji kuwa nawe muda woteeeeeeee...Wapi Bishangaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Huyo hana cha suprize wala nini! wizi mtupu!