Suprise nyingine hazifai...

Mkuu we mwache aendelee na surprise yake pia m pm Bishanga akupe maujanja kwani yeye wadada wengu tuu wanamshobokea we unahangaika na anayakusuprise kwa kukukatia simu na wakati kuna wengine wanahitaji kuwa nawe muda woteeeeeeee...Wapi Bishangaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Nimeacha mambo ya wanawake bana baada ya kumpata nanannhii.
Hata hivyo naona majority ya wadau wamemshauri vizuri tu.
 
mmh mwenzako kama anataka kusepa ivii, ila kwa kuwa una iman embu muweke kwenye maombi lol, itakuwa pepo limemuingia.
 
mmh mwenzako kama anataka kusepa ivii, ila kwa kuwa una iman embu muweke kwenye maombi lol, itakuwa pepo limemuingia.

imani bado ninayo, ila yeye ndio anatakiwa afunguke. Na kuniambia yaliyo moyoni mwake, ila kukaa kimya kunazidisha maumivu.
 
Mh!surprise ya kuzimiwa cm uck mzma..pole sn.ila kaa nae na umhoj yalyo moyn mwke.nna iman atakueleza..
 
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!



hivi watu wengine mbona hivi? hapa kuna nini kigumu kujua kwamba there is something goin on behind the scene? Hakuna suprise za kuzima simu halaf hiyo situation after hiyo "suprise" wew ndo unajishusha tena instead of her...loh
openly hapo kuna mtu anakugongea.
Siku njema
 
Huyo c wako, angalia ustaraabu mwingine. Blalifaken na vimcharuko vyako! Tumia akili, ishara zote alizokuonyesha hutambui kuwa si wako??
 
Pole....ushaumia hapo. Khaa tunavyopenda mawasaliano sisi. Khaa siku nzima sijajua uko wapi unafanya nini, uko na hali gani? Haloooo oh sorry to say Ukiona manyoya............................................

Ajue kicheche kala nyama
 
kiukwel inauma ila jitaid kumpigia cmu jishushe uongo uonje onje hapo na mipira at th same time ukisaka mwingne ukimpata mteme fulu tena cku anakupigia cmu unampa mchumba wako mpya amwambie amechokwa,nimemmaind mslopogan
 
Mtoa mada kwanza pole sana,pili labda naomba unieleze nini maana ya surprise huenda mimi ndiyo sijui maana yake.
 
Hiyo ilikua ni nusu suprise subiri full suprise inakuja utakapoletewa mwenzio atakaechukua nafasi yako hapo suprise itakuwa full
 
Mbilimbili kama ID yakobilivyo acha kupiga moja moja piga!!!!

Kifupi sana hiyo haikuwa suprise bali kuna nia ovu ndani ya hiyi suprise na ndiyo maana baada ya hapo mambo yakawa yanakwenda shaghalabaghala.

Jifunze, kubali matokeo na Chukua hatua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom