Mbilimbili
Senior Member
- Mar 17, 2012
- 172
- 19
- Thread starter
- #61
ebu nipe namba ya huyo demu wako then ntajitahidi kukufanyia uchunguzi maana unaonekana unampenda sana na si vizuri umpoteze
wacha ww, hzo triple K zako tu zinanipa wasiwasi.
ebu nipe namba ya huyo demu wako then ntajitahidi kukufanyia uchunguzi maana unaonekana unampenda sana na si vizuri umpoteze
bishanga ni famous c nitaibiwa?
Mkuu we mwache aendelee na surprise yake pia m pm Bishanga akupe maujanja kwani yeye wadada wengu tuu wanamshobokea we unahangaika na anayakusuprise kwa kukukatia simu na wakati kuna wengine wanahitaji kuwa nawe muda woteeeeeeee...Wapi Bishangaaaaaaaaaaaaaaaaaa
mmh mwenzako kama anataka kusepa ivii, ila kwa kuwa una iman embu muweke kwenye maombi lol, itakuwa pepo limemuingia.
Nimeacha mambo ya wanawake bana baada ya kumpata nanannhii.
Hata hivyo naona majority ya wadau wamemshauri vizuri tu.
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!
Pole....ushaumia hapo. Khaa tunavyopenda mawasaliano sisi. Khaa siku nzima sijajua uko wapi unafanya nini, uko na hali gani? Haloooo oh sorry to say Ukiona manyoya............................................
huu usemi wa manyoya, unazidi kunichanganya wapendwa!