Suprise nyingine hazifai...

Suprise nyingine hazifai...

kweli wewe babu jinga! kwani mwanamke yupo yeye tu humu duniani? na wewe mfanyie suprise kubwa kuliko
 
so simu ilizimwa ijumaa jion?????lol,
ukiona manyoya.............
 
Aisee kweli surprise nyingine hazifai..Me naomba nikushauri kitu kimoja..Tafuta muda ukae wewe na huyo binti muongee ana kwa ana ujue moja..! Mtakapokutana kwa maongezi kuna kitu tu utagundua..
 
Sijui na wala sioni hata haja ya wewe kutafuta ushauri, maana majibu unayo labda kama una mpango wa kutuletea another surprise. Take care, ingia sokoni.
 
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!
it needs mo than a normal heart to believe her story!!! ndio maana halisi ya .com, pole mwaya!
 
Mhhhh! Suprise ya kukatiana mawasiliano!? hii mie sijawahi kuisikia na wala siikubali hata siku moja.

nadhani jibu ya hicho ulichoongea ni title ya uzi huu... kishajua kabugi mbaya na analohilo ndio lake tena..
 
Tafuta muda uongee nae,thats the only solution.Mambo ya kuwasiliana kwenye simu kama watoto jamani 2ache.ndiyo 2wasiliane lakini ukiona dalili tofauti zaja kwa mpenz wako,mwite uongee nae,uliza suprise za kuzima cmu ndo nini?utapata jibu,saa ukingojea mawasiliano akibadili namba za cmu je?..kama kweli unampenda,tafuta muda uongee nae.wasichana wengine hawaongei,anaweza kuact kawaida 2,kumbe she has something inside,kusema hawezi.Mwisho mtaachana,atakuambia mwishoni,it was this and this,that makes me to broke up with you.it wil be too late.GO AND TALK TO HER.ACHANA NA MAMBO YA SIMU.
 
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!

Pole kaka ukiona manyoya ujue keshaliwa....inauma lakini ndio ukweli wenyewe. Ila kama upo nae maeneo hayo hayo mzukie uongee nae akupe ukweli!
 
Tafuta muda uongee nae,thats the only solution.Mambo ya kuwasiliana kwenye simu kama watoto jamani 2ache.ndiyo 2wasiliane lakini ukiona dalili tofauti zaja kwa mpenz wako,mwite uongee nae,uliza suprise za kuzima cmu ndo nini?utapata jibu,saa ukingojea mawasiliano akibadili namba za cmu je?..kama kweli unampenda,tafuta muda uongee nae.wasichana wengine hawaongei,anaweza kuact kawaida 2,kumbe she has something inside,kusema hawezi.Mwisho mtaachana,atakuambia mwishoni,it was this and this,that makes me to broke up with you.it wil be too late.GO AND TALK TO HER.ACHANA NA MAMBO YA SIMU.

i'll do it!
 
Pole kaka ukiona manyoya ujue keshaliwa....inauma lakini ndio ukweli wenyewe. Ila kama upo nae maeneo hayo hayo mzukie uongee nae akupe ukweli!

nitatafuta muda, sababu wiki hii nimebanwa sana na majukumu.
 
Hiyo kweli suprise, au Hujui ijumaa ni weekenda siku ya kula bata, umeliwa kaka Shtuka!
 
Mtoe out wikend,atatoa yalio sirini mwake.ila,duh..hiyo surprise ya aina yake.au hana vocha may b.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom