franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,480
kweli wewe babu jinga! kwani mwanamke yupo yeye tu humu duniani? na wewe mfanyie suprise kubwa kuliko
it needs mo than a normal heart to believe her story!!! ndio maana halisi ya .com, pole mwaya!Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!
Mhhhh! Suprise ya kukatiana mawasiliano!? hii mie sijawahi kuisikia na wala siikubali hata siku moja.
huyo alikuwa na lijamaa linampiga mjegejo ..hakunaga masuprise kama hayo
nimeipenda hii! worrrrdddddd!kweli wewe babu jinga! kwani mwanamke yupo yeye tu humu duniani? na wewe mfanyie suprise kubwa kuliko
sijawahi kuona suprise ya namna hii.........
Habari za hapa: kwenye mahusiano hasa kipindi cha urafiki wa kimapenzi, kila mtu huwa anajitahidi kufanya mambo kwa kushtukiza (suprise). Hii imenitokea weekend iliyopita lakini imeniweka kwenye wakati mgumu, mpenzi wangu wa kike alinizimia sim Ijumaa jioni hadi kesho yake saa tatu asubuhi. Baada ya kumbahatisha hewani alinieleza kuwa ni "Suprise" alinifanyia, nilikasirika ila sikumwambia chochote nikakata sim. Tokea hapo hadi jumapili asubuhi hatukuwasiliana kabisa, nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha. Ndipo nilipotoka tu nje nikamtumia txt kwamba "suprise zimekwisha" hakunijibu chochote. Niliamua kumpigia baada ya nusu saa hivi, akanijibu Nashukuru. Lakini tokea hapo mawasiliano sio mazuri, nikipiga sim wkt mwingine haipokelewi wala baadhi ya txt hazijibiwi. Nifanyeje kwa hili? Roho inaniuma kwa kuwa ninampenda sana huyu binti!
Tafuta muda uongee nae,thats the only solution.Mambo ya kuwasiliana kwenye simu kama watoto jamani 2ache.ndiyo 2wasiliane lakini ukiona dalili tofauti zaja kwa mpenz wako,mwite uongee nae,uliza suprise za kuzima cmu ndo nini?utapata jibu,saa ukingojea mawasiliano akibadili namba za cmu je?..kama kweli unampenda,tafuta muda uongee nae.wasichana wengine hawaongei,anaweza kuact kawaida 2,kumbe she has something inside,kusema hawezi.Mwisho mtaachana,atakuambia mwishoni,it was this and this,that makes me to broke up with you.it wil be too late.GO AND TALK TO HER.ACHANA NA MAMBO YA SIMU.
Pole kaka ukiona manyoya ujue keshaliwa....inauma lakini ndio ukweli wenyewe. Ila kama upo nae maeneo hayo hayo mzukie uongee nae akupe ukweli!
Anakupima huyo endelea kuvuta subira
sijawahi kuona suprise ya namna hii.........
mafundisho ya kanisa yanaunga mkono hayo mapenzi yenu?nilipokwenda kanisani tukawa tumefundishwa juu ya msamaha.