Katika mambo yooote mazuri aliyoyafanya baba, moja kubwa baya ninaloamini ametuachia ni kuamini kuwa utajiri ni dhambi! Kuingizwa kwa misamiati kama ufisadi ambayo maana yake ya moja kwamoja haipo bali huhusianishwa na mtu yeyote ambaye kipato chake tunakitilia mashaka.
Uchumi wa nchi unaweza kujengwa na pesa zinazovuja kwenye systems mbalimbali, iwapo pesa hizo zitawekewa nchini na sera zikaruhusu watu wengi kunufaika na miradi au uwekezaji unaotokana na pesa hizo. Uchumi wa nchi kama Syprus na Switzeland umejengwa kwa misingi ya kuvutia uwekezaji katika mabenki, kulinda usiri wa wawekezaji na kuhakiksiha usalama wa pesa zinazowekwa. Hili limepelekea Serikali kuwa na capital kubwa na hata mabenki kuwa na uwezo wakufanya biashara kubwa kubwa kutokana na capitle kubwa walizonazo. Tuzibe mianya ya wizi, lakini tuvutie pesa ambazo hatuna ushahidi nazo wa mojakwamoja (na kuacha majungu kama hatuna ushahidi) zibaki nchini na kusaidia kukuza uchumi wa nchi.
Kwa upande mwingine niseme wewe kama candidate we PHD ume-act in a very unethical manner ku-disclose information that was meant to inform your research but you are using it without enough evidence, to try to misinform public and act against someone for the purpose obvious to potray negative image, using the information trusted by the source which is likely to be private. Please present much hard evidence to argue your case otherwise this is much vague and your intentions are very personal and lack clear purpose.