Sumaye awekeza Shilingi Milioni 931 Benki ya CRDB

Sumaye awekeza Shilingi Milioni 931 Benki ya CRDB

Je hii ni spying? Hii ndo mana waajiri wengi hawaruhusu watafiti katika taasisi zao sababu ya kutoa taarifa ambazo siyo zilizokupeleka pale.

Nacho jua katika dissertation lazima diclare kutunza siri za sehemu unayofanyia utafiti (diclare confidentiality to materials or organization information) kwa kuwa wewe si msemaji wa taasisi hiyo.

Je huoni kuwa umevunja taratibu hivyo kuwapa wakati mgumu watu wengine katika tafiti zao katika kupata information kwa waajiri?

Unethical, Tumbiri must apologize!
 
CPA na Phd Candidate umeshindwa kutunza siri za watu waliokusaidia taarifa za utafiti wako wa shule? Je unajua kuwa moja ya miiko ya mhasibu kama wewe ni kutunza siri unazozipata katika kazi zako?
 
Hizo ni za route moja ile ya USA
 
TUMBIRI,

..ungetusaidia kwa kutueleza Sumaye alinunua hisa hizo lini, na kwa bei gani.

..kwa kuzingatia kwamba Sumaye alikuwa waziri mkuu kwa miaka 10, pamoja na package yake ya waziri mkuu mstaafu, sishangai yeye kuwa na fedha kiasi hicho.

..kuna taarifa zilitoka hivi karibuni zinaeleza kwamba kwa makadirio ya haraka haraka, ktk kila mwaka, viongozi wastaafu wanapata Tsh.900 mil kila mmoja. sasa kama Waziri Mkuu mstaafu anapata kiasi hicho basi kuna uwezekanao walioko madarakani wanapata zaidi.

..sasa hebu niambie kwa makisio yako, ukizingatia kwamba Sumaye amekuwa ktk range ya kupata milioni mia kadhaa kwa miaka 17 sasa, how much do u think ni halali kwake kumiliki?

..binafsi ningekupongeza kama ungehoji viongozi wakuu walioko madarakani, pamoja na wastaafu, wanatoa kiasi gani kusaidia wenye shida na shughuli za maendeleo. they make tons of free money kwa kweli.

cc😡Mdondoaji, zumbemkuu, Profesa, Pasco, Njowepo, Kasheshe, Phillemon Mikael
 
Last edited by a moderator:
Hicho ni kiasi kidogo sana cha hela. mshahara plus marup rup ya waziri mkuu bila masurufu kwa miaka miwili ni zaidi ya hicho kiasi. Mkuu umekurupukaa!

Tunaweza kujua in figures wanalipwa kiasi gani wanapokuwa kazini ili tuweze kucalculate ni kiasi gani wanalipwa wanapostaafu?
 
Tumbiri asante,
Naomba kuuliza kaka, je! huo uchunguzi wako ulihusisha classified materials au random matrials?

Nina maana hii: kama ulioneshwa/ulipewa hizo material kwa minajili ya shule tu au iljulikana tokea awali pia kuwa zinaweza kuwekwa hadharani kwa namna yoyote.
 
Katika mambo yooote mazuri aliyoyafanya baba, moja kubwa baya ninaloamini ametuachia ni kuamini kuwa utajiri ni dhambi! Kuingizwa kwa misamiati kama ufisadi ambayo maana yake ya moja kwamoja haipo bali huhusianishwa na mtu yeyote ambaye kipato chake tunakitilia mashaka.

Uchumi wa nchi unaweza kujengwa na pesa zinazovuja kwenye systems mbalimbali, iwapo pesa hizo zitawekewa nchini na sera zikaruhusu watu wengi kunufaika na miradi au uwekezaji unaotokana na pesa hizo. Uchumi wa nchi kama Syprus na Switzeland umejengwa kwa misingi ya kuvutia uwekezaji katika mabenki, kulinda usiri wa wawekezaji na kuhakiksiha usalama wa pesa zinazowekwa. Hili limepelekea Serikali kuwa na capital kubwa na hata mabenki kuwa na uwezo wakufanya biashara kubwa kubwa kutokana na capitle kubwa walizonazo. Tuzibe mianya ya wizi, lakini tuvutie pesa ambazo hatuna ushahidi nazo wa mojakwamoja (na kuacha majungu kama hatuna ushahidi) zibaki nchini na kusaidia kukuza uchumi wa nchi.

Kwa upande mwingine niseme wewe kama candidate we PHD ume-act in a very unethical manner ku-disclose information that was meant to inform your research but you are using it without enough evidence, to try to misinform public and act against someone for the purpose obvious to potray negative image, using the information trusted by the source which is likely to be private. Please present much hard evidence to argue your case otherwise this is much vague and your intentions are very personal and lack clear purpose.
Mkuu I don't think the guy has been unethical for disclosing this because he said the information is available in CRDB's annual report. Banks' annual reports are prepared to be accessed and used by shareholders and the general public too.
 
Mkuu I don't think the guy has been unethical for disclosing this because he said the information is available in CRDB's annual report. Banks' annual reports are prepared to be accessed and used by shareholders and the general public too.
you can be sure its Tanzanian when someone skips details and jumps into conclusion based on a headline.No wonder our leaders keeps hoodwinking us on daily basis.

RTFU all who keeps blaming TUMBIRI for disclosing private information,shit aint private when its posted on public domain.I.E the internet,annual reports of private traded companies. back on topic,its a sad state looking at a public figure in one of the poorest country boasting over $600K in investment on a for profit company,something is not right.

Either we should STFU when public funds are embezzled or we should not expect any efficiency from a dude who clearly looks to be a career business person. and for those claiming $600K is not a lot of money,you are missing a huge point. Such amount of money should not be concentrated on one public figure for such a poor country.,its morally wrong in every level. Nyerere was a genius when he proposed leaders be separated from business especially for a country with non existent or strong institutions.

No wonder former president registered a company while at the state house. food for thought, if these people think their position does not merit 100% of their mind body and soul what makes you poor mwananchi think that your problems occupies even 1% of their mind?if anyone gives less than 100% WTF are we electing that person into office for a country that is like 300 years behind?we need guys who give 100% and more,nothing less
 
Hicho ni kiasi kidogo sana cha hela. mshahara plus marup rup ya waziri mkuu bila masurufu kwa miaka miwili ni zaidi ya hicho kiasi. Mkuu umekurupukaa!
Wakongwe waJf Rejao, Tumbiri tunawashukuru kutuachia jukwaa, zaman mlitawala sana. Karibuni tena
 
Kwa wanaokumbuka, wakati akiwa PM, Sumaye aliwahi kutuhumiwa kutumia/kujichotea Tshs 500,000,000/= kwa ajili ya safari moja tu ya kwenda marekani (USA). Nahisi basi kwa kutumia pesa kama hizi za ufisadi anao uwezo wa kumiliki kiasi hicho cha hisa, mashamba makubwa-morogoro,pwani, DSM, Arusha, hotel ya ngurdoto, Ngombe, majumba nk,.
 
TUMBIRI,

..................................................
..kuna taarifa zilitoka hivi karibuni zinaeleza kwamba kwa makadirio ya haraka haraka, ktk kila mwaka, viongozi wastaafu wanapata Tsh.900 mil kila mmoja. sasa kama Waziri Mkuu mstaafu anapata kiasi hicho basi kuna uwezekanao walioko madarakani wanapata zaidi..........................
duh!
mkuu hicho kiasi kwa mwaka ni kikubwa mno, walimu na madaktari wana haki ya kugoma, kumbe ndo maana EL analazimisha kuitwa waziri mkuu mstaafu ili aendelee kuzikomba, loh!
 
Upumbavu huu, Diamond-mwanamuziki tu ana account ya billion, ex -PM asiwe na utajiri wowote??

ndio maana unaishia kusoooooma weee na ma PHD kibao wakato hayakuingizii hela unaishia stress tu

embu oneni,,,,,,,,,,,,,,,mikozi yote hii kwa Tanzania ya nini?? ebu oneni

TUMBIRI (PhD Candidate, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(Accounting), PCM(Mzumbe High School).
tumbiri@jamiiforums.com,
Upanga, Dar es Salaam, Tanzania.
 
Upumbavu huu, Diamond-mwanamuziki tu ana account ya billion, ex -PM asiwe na utajiri wowote??

ndio maana unaishia kusoooooma weee na ma PHD kibao wakato hayakuingizii hela unaishia stress tu

embu oneni,,,,,,,,,,,,,,,mikozi yote hii kwa Tanzania ya nini?? ebu oneni

TUMBIRI (PhD Candidate, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(Accounting), PCM(Mzumbe High School).
tumbiri@jamiiforums.com,
Upanga, Dar es Salaam, Tanzania.

Hii yote ni elimu ya kuwa mwizi tuu baadae kama huyo sumaiye
 
Ha ha ha ha...nikisoma michango ya watu wanaojikita kuongelea elimu ya Tumbiri nacheka sana ila kicheko cha kusikitika.
 
Jamani Tumbiri iz ryt, na pia kuhusu kuweka taarifa za mtu kumiliki share kwenye kampuni haina tatizo kabisa coz kuwa na share sio siri na havihusiani na yeye kuwa Candidate wa PHD, coz ukienda hata kwenye financial reports za CRDB lazima waonyeshe ni wakina nani wanamiliki share na kwa percent ipi.
 
Upumbavu huu, Diamond-mwanamuziki tu ana account ya billion, ex -PM asiwe na utajiri wowote??

ndio maana unaishia kusoooooma weee na ma PHD kibao wakato hayakuingizii hela unaishia stress tu

embu oneni,,,,,,,,,,,,,,,mikozi yote hii kwa Tanzania ya nini?? ebu oneni

TUMBIRI (PhD Candidate, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(Accounting), PCM(Mzumbe High School).
tumbiri@jamiiforums.com,
Upanga, Dar es Salaam, Tanzania.

Who told u that Diamond is a billionaire, Tanzania bado tunaendelea kuzika wasanii maskini na kama huamini hata kabla marehemu Steven Kanumba hajafariki iliisha wahi kuandinkwa kwamba anamiliki mali nyingi kuliko wasanii wote lakini mwisho wa siku hakuna kitu, So plz maisha ya sanaa ni sanaa pia yakiwemo maigizo.
 
i was once in a table discussion with one man who told me, 'son the issue is not how much you make, but how you made it" doe the ends justifies the means?? kuwa na utajiri sio dhambi, bali njia zilizotumika kuupata ndio tatizo, kama umepata kihalali, sioni ubaya wowote ule kuwa na pesa, watanzania tuwe na utamaduni wa kupenda kuwa na pesa nyingi kwa kufanya kazi na si kuiba...
 
childish misdemeanor that's all SHANTA can say....
 
Back
Top Bottom