naomba kuuliza, Hivi Jemshid hakuukana usultani Zanzibar, Vipi malkia wa Uiengerza alikana himaya yake kule USA? ikiwa anataka kuendeleza himaya USA, itakubalika?
Mimi huwa napenda kusoma habari, lakini chache sana huwa naziamini, hivi kufanya master yako kwa kutegemea vitabu (siasa) halafu ujisifu kuwa eti mimi ninajuwa, ndio unajuwa kulingana na kitabu, sio kwa kweli hasa, hebu kasome tena na pitia kwa Mazrui, yule wa Oxford atakupa zaidi
Kufanya dissertation kwa kutumia vitabu, articles, na data ndio kunakuwezesha kuzungumza jambo kwa uhakika na sio kuzua zua mambo tu. Sio kukaa vijiweni ambako mtu anaropoka tu halafu kila mtu anaamini. Umuhimu wa kuwa na reference ni kulinda academic integrity ya mtu kwasababu hawa jamaa walileta contribution katika literature ambayo imenufaisha jamii amasivyo narudia ule msemo wa economist wanasema No research no right to speak!!!!