Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,177
- 31,973
Nilimwona Azam Tv akiyapinga mapinduzi matukufu yaliyomrejeshea heshma mwafrika,ni bahati mbaya utawala wa Dr Prof Col Kikwete umeachia wahuni kama Mohamed Said waiharibu historia yetu tukufu.
Hii topic atakuwa ameleta mzee Mohamed Said kwa mlango wa nyuma. Mzee MS anatamani sultanate of Oman ifike hadi Zanzibar na kila siku anayapinga mapinduzi matukufu yaliyoongozwa na Field Marshal John Okello