faby
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 2,214
- 768
sultan hana mke wala mtoto??
Mkuu ukiskia tuu kuna mwanaume hana mke basi lazima takoo ulitingishe kama kwenye avatar yako... mchezo wa kuingiliwa nyuma umekuharibu bwana paroko
sultan hana mke wala mtoto??
Qaboos bin Said Al Said alizaliwa tarehe 18 Novemba mwaka 1940 katika mji wa Salala ulio kusini mwa Oman.Ndiye mtoto pekee wa Sultan Said bin Taimur.Mama yake ni malkia Mazoon al-Mashani.
Elimu ya msingi aliipata mjini Salala na baadae Pune nchini India.Alipofika miaka 16 alipelekwa kwa masomo ya juu nchini Uiengereza.Alipofika miaka 20 aliingia kwenye kikosi cha kijeshi cha kifalme kinachoitwa sandhurst. Baada ya kufaulu mafunzo katika chuo hicho alijiunga na jeshi la kiiengereza na kupangiwa shughuli za kijeshi kwenye bataliani ya 1 nchini Ujerumani ambako alikaa huko kwa muda wa mwaka mmoja na hata kushika nafasi za unadhimu kwenye jeshi hilo la kiiengereza.
Sultan Qaboos baadae aliacha shughuli za kijeshi na  akaanza kuchukua mafunzo ya namna ya kuendesha serikali za kiraia.Baada ya hapo alifanya ziara ndefu ya kuizunguka dunia kabla kurudi nyumbani kwao  Salalah.Alipofika Salala aliisoma dini yake ya kiislamu na historia ya nchi yake ya Oman.
Mwaka 1976 mfalme Qaboos alimuoa bint Ami yake, bi Kamila,nee sayyida Nawwal bint Tariq.Hata hivyo ndoa hiyo haikudumu na tangu aachane na mkewe huyo hajaoa tena na wala hana mtoto.
Mnamo mwezi Julai mwaka 1970 kikosi cha jeshi kilichomuunga mkono Qaboos kilipambana na kikosi cha jeshi cha mfame Said bin Taimur  na kufanikiwa kumpindua baba yake huyo.Serikali ya Uiengereza ilisaidia kuimarisha utawala wa mfalme Qaboos baada ya mapinduzi hayo.
Tangu mfalme Qaboos atawale Oman amefanikiwa kubadili hali za kiuchumi za raia wake na kuleta maendeleo makubwa nchini humo.
Ukoo wa mfalme Qaboos wa Abusaidy ndio uliokuwa na mahusiano makubwa na ukanda wote wa pwani ya mashariki ya Afrika na hata kuwa na utawala wa pamoja ambapo ulijenga makao makuu ya utawala wake nchini Zanzibar ambayo sasa ni nchi ndugu waTanganyika ambazo kwa pamoja zinaunda jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwa zaidi ya karne moja raia wa ufalme huo waliweza kupenya kibiashara na kusambaa kote mashariki na kati ya Afrika.
Kutokana na ukweli huo wa kihistoria na mafungamano kati ya Oman na Tanzania zipo kila sababu kwa mfalme Qaboos bin Said kuja kutembelea Tanzania akianzia Zanzibar.
Kutokana na mapenzi makubwa ya wengi wetu kwake siku atakapofika tutajitokeza kwa wingi kwenye mitaa ya Shangani mjini Zanzibar au Kariakoo jijini Dar es salaam kujipanga barabarani kumpokea na kusalimiana nae.
Moja ya maeneo ambayo yanaweza kuwa kivutio na mapumziko ya sultan huyo wa Oman ni mbuga za wanyama za Serengeti,Loliondo na Ngorongoro. Kwa heshima na taadhima na kwa niaba ya wapenzi wa utawala wa Sultanate of Oman nachukua fursa hii kumkaribisha his majesty Sultan Qaboos bin Said aje kuitembelea Tanzania.
Source:
Fanack.com, m.foreignaffairs.com , theeconomist.com
1. Sultan Qaboos hawapi nafasi wananchi wake kuwa na sauti katika siasa. Wananchi wakiandamana kama miaka ya 2011 na 2013, anawakandamiza na kuwatia ndani.
Yeye pekee ndio anachagua wanasiasa na mawaziri kuendesha nchi.
2. Raia wengi waliotoka Zanzibar wanaoishi Oman hawana haki ya uraia wao. Wanaishi na viza kama wageni wengine japokuwa kwa kuwa wana uhusiano wa kidamu, ni rahisi kupata viza za kufanya kazi.
3. Chuo cha Kifalme cha Sandhurst ni Chuo kikuu Waingereza wanatumia kuwapa masomo ya kijeshi kwa "marafiki" zake, kwa manufaa yake.
Bila kusaidiwa na jeshi la Uiingereza, Sultan Qaboos asingeweza kumpindua baba yake mzazi wala kukaa madarakani mpaka leo. Mpaka miaka ya 1990, wanajeshi wa Kiingereza walikuwa kwenye madaraka ya juu katika jeshi lake. Na Mpaka leo wana kambi na vifaa vyao hapo.
4. Oman ni nchi tulivu na imeendelea vizuri. Lakini mafuta yanakwisha muda si mrefu na kizazi kipya kinaomba sauti kubwa zaidi kisiasa. Pia, ajira ni ndogo kwa vijana wao na ufisadi serikali upo japokuwa sio mkubwa kama wa kwetu.
Nategemea wananchi wao watabanwa kisiasa madamu Sultan yupo hai. Uiingereza na Marekani imewekeza sana katika sekta ya Mafuta na haitataka wananchi wa Oman kutaifisha au kuvuruga biashara yao ya mauzo ya vifaa vya kijeshi. Watakuwa tayari kupinga mapinduzi yoyote yatayoharibu biashara zao.
Hatuwezi kuongelea mada ya Sultan Qaboos bila ya kuzungumzia maswala ya siasa za nchi yake. Sio tu upendo wake ambao ni mkubwa na sifa zake za kuoongoza
A pack of Lies lets ask Lukuvi, Makinda and Mbowe who had recently been there!!
Mkuu, What did I lie?
If I follow your logic, I can say so and so said North Korea has great leadership and democracy is flourishing there because they have been there and said so!
That's not a very intelligent way to refute a statement you disagree with.
Sultan Qaboos is an absolute monarch just like King Abdullah of Jordan or King Mswati of Swaziland. If Oman has free elections and elected government kindly link your source to refute me.
I don't have to wait to ask anyone to tell me Oman has no freely elected government. I am intelligent enough to read and have travelled widely in that region and beyond. This is not 1960's anymore.
I stand to be corrected.
Nilimwona Azam Tv akiyapinga mapinduzi matukufu yaliyomrejeshea heshma mwafrika,ni bahati mbaya utawala wa Dr Prof Col Kikwete umeachia wahuni kama Mohamed Said waiharibu historia yetu tukufu.
Dahh.. naisikitikia nchi yangu Tanganyika..inaniuma sana..sasa nauliza nae anakuja kupewa kitalu huko loliondo?mana Mh. Pinda alikuwa huko siku si nyingi.Qaboos bin Said Al Said alizaliwa tarehe 18 Novemba mwaka 1940 katika mji wa Salala ulio kusini mwa Oman.Ndiye mtoto pekee wa Sultan Said bin Taimur.Mama yake ni malkia Mazoon al-Mashani.
Elimu ya msingi aliipata mjini Salala na baadae Pune nchini India.Alipofika miaka 16 alipelekwa kwa masomo ya juu nchini Uiengereza.Alipofika miaka 20 aliingia kwenye kikosi cha kijeshi cha kifalme kinachoitwa sandhurst. Baada ya kufaulu mafunzo katika chuo hicho alijiunga na jeshi la kiiengereza na kupangiwa shughuli za kijeshi kwenye bataliani ya 1 nchini Ujerumani ambako alikaa huko kwa muda wa mwaka mmoja na hata kushika nafasi za unadhimu kwenye jeshi hilo la kiiengereza.
Sultan Qaboos baadae aliacha shughuli za kijeshi na  akaanza kuchukua mafunzo ya namna ya kuendesha serikali za kiraia.Baada ya hapo alifanya ziara ndefu ya kuizunguka dunia kabla kurudi nyumbani kwao  Salalah.Alipofika Salala aliisoma dini yake ya kiislamu na historia ya nchi yake ya Oman.
Mwaka 1976 mfalme Qaboos alimuoa bint Ami yake, bi Kamila,nee sayyida Nawwal bint Tariq.Hata hivyo ndoa hiyo haikudumu na tangu aachane na mkewe huyo hajaoa tena na wala hana mtoto.
Mnamo mwezi Julai mwaka 1970 kikosi cha jeshi kilichomuunga mkono Qaboos kilipambana na kikosi cha jeshi cha mfame Said bin Taimur  na kufanikiwa kumpindua baba yake huyo.Serikali ya Uiengereza ilisaidia kuimarisha utawala wa mfalme Qaboos baada ya mapinduzi hayo.
Tangu mfalme Qaboos atawale Oman amefanikiwa kubadili hali za kiuchumi za raia wake na kuleta maendeleo makubwa nchini humo.
Ukoo wa mfalme Qaboos wa Abusaidy ndio uliokuwa na mahusiano makubwa na ukanda wote wa pwani ya mashariki ya Afrika na hata kuwa na utawala wa pamoja ambapo ulijenga makao makuu ya utawala wake nchini Zanzibar ambayo sasa ni nchi ndugu waTanganyika ambazo kwa pamoja zinaunda jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwa zaidi ya karne moja raia wa ufalme huo waliweza kupenya kibiashara na kusambaa kote mashariki na kati ya Afrika.
Kutokana na ukweli huo wa kihistoria na mafungamano kati ya Oman na Tanzania zipo kila sababu kwa mfalme Qaboos bin Said kuja kutembelea Tanzania akianzia Zanzibar.
Kutokana na mapenzi makubwa ya wengi wetu kwake siku atakapofika tutajitokeza kwa wingi kwenye mitaa ya Shangani mjini Zanzibar au Kariakoo jijini Dar es salaam kujipanga barabarani kumpokea na kusalimiana nae.
Moja ya maeneo ambayo yanaweza kuwa kivutio na mapumziko ya sultan huyo wa Oman ni mbuga za wanyama za Serengeti,Loliondo na Ngorongoro. Kwa heshima na taadhima na kwa niaba ya wapenzi wa utawala wa Sultanate of Oman nachukua fursa hii kumkaribisha his majesty Sultan Qaboos bin Said aje kuitembelea Tanzania.
Mkuu ukiskia tuu kuna mwanaume hana mke basi lazima takoo ulitingishe kama kwenye avatar yako... mchezo wa kuingiliwa nyuma umekuharibu bwana paroko
mkuu sultan hana ashk majnun?
Mbona povu babaaa!?? Utakufa ujue.hakuna cha kujivunia hapo. Oman licha ya kwamba ina mafuta siyo tajiri kivile na hata wao wanategemea western countries in term of technology. sasa huo uwekezaji kwenye gas utawezekanaje? nachoona ni kwamba wamekuja kama watalii kwa ticket ya kidiplomasia na si vinginevyo. harafu Rais naye anasema eti sisi ni ndugu, kweli? WTF...Hakuna undugu wowote wa mwarabu na mswahili...and that's the bottom line! inakera na inaudhi..
Yaani Oman wanaweza kufanya Zanzibar vumbi lake lipotee? Mimi napafahamu vema Oman mbona vumbi lao bado wana safari ndefu sana ya kulipoteza? Au watatoa kipaumbele Kwa Vumbi la Zanzibar?Mbona povu babaaa!?? Utakufa ujue.
By the way kuna mawaziri humo ni wazenji.
Na siku Zanzibar ikiruhusiwa kujitegemea ndani ya miaka mitano hata vumbi lao hatutoliona.
Yaani Oman wanaweza kufanya Zanzibar vumbi lake lipotee? Mimi napafahamu vema Oman mbona vumbi lao bado wana safari ndefu sana ya kulipoteza? Au watatoa kipaumbele Kwa Vumbi la Zanzibar?