Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

BlogSugar-effects-on-body.png
 
Naanhalia itv habari
Wafanyabiashara saba wamekamatwa kwa kuficha sukari

Sasa ukishawakamata mnatuambiaje je sukarii itashuka bei

Sisi tunaka bei ishuke jaman tumechokaaa
Wajaa laana wamejazana serikalini
 
Wana JF, nilikuwa nawaza hivi hii bei ya sukari yaani huku Dar mpaka inafika 4600/= ndo mambo gani haya? Mbona hakuna anaetutetea kwa hili?

Sasa badala yake, watu wamekaa na vinyongo moyoni. Tutafika kweli?

Na ukiona watu wa Dar wako hoi, je huko mikoani?

Msitufundishe tabia mbaya 2025.
 
Mzee Kadenge anauliza Watanzania tujikite kuomba mvua ili mabwawa yajaye maji tuondokane na mgawo wa umeme na maji au tumwombe Mungu mvua isinyeshe ili tupate miwa kisha tuvune na kupata sukari?

Anamalizia kwa kusema Mungu ana kazi nyingi wanasiasa wajitahidi sana kuiepusha nchi na mkono wake wenye mapigo saba.

Wewe mwenzetu unataka umeme au unataka sukari?
 
Back
Top Bottom