Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Naanhalia itv habari
Wafanyabiashara saba wamekamatwa kwa kuficha sukari
Sasa ukishawakamata mnatuambiaje je sukarii itashuka bei
Sisi tunaka bei ishuke jaman tumechokaaa
Nchi ina mambo hii
Naanhalia itv habari
Wafanyabiashara saba wamekamatwa kwa kuficha sukari
Sasa ukishawakamata mnatuambiaje je sukarii itashuka bei
Sisi tunaka bei ishuke jaman tumechokaaa
Wajaa laana wamejazana serikaliniNaanhalia itv habari
Wafanyabiashara saba wamekamatwa kwa kuficha sukari
Sasa ukishawakamata mnatuambiaje je sukarii itashuka bei
Sisi tunaka bei ishuke jaman tumechokaaa
Kilo imegonga 5000Naanhalia itv habari
Wafanyabiashara saba wamekamatwa kwa kuficha sukari
Sasa ukishawakamata mnatuambiaje je sukarii itashuka bei
Sisi tunaka bei ishuke jaman tumechokaaa
Achana na hao wanasayansi takataka, sukari muhimu.
Hujalazimishwa kuacha sukari mkuu.Achana na hao wanasayansi takataka,sukari muhimu.
Hujui madhara ya kuficha sukari? Demand and supply?Naanhalia itv habari
Wafanyabiashara saba wamekamatwa kwa kuficha sukari
Sasa ukishawakamata mnatuambiaje je sukarii itashuka bei
Sisi tunaka bei ishuke jaman tumechokaaa
Pongezi kwa Profesa Janabi kwa kuishinikiza Serikali kuongeza bei ya sukari. Asiishie hapo tu aende kwenye nyama ifike hadi elfu 30 huko. Haiwezekani watu wafe kizembe.Hujui madhara ya kuficha sukari? Demand and supply?
LoooooPongezi kwa Profesa Janabi kwa kuishinikiza Serikali kuongeza bei ya sukari. Asiishie hapo tu aende kwenye nyama ifike hadi elfu 30 huko. Haiwezekani watu wafe kizembe.
wewe inaelekea ni mfanyabiasharaNaangalia ITV habari
Wafanyabiashara saba wamekamatwa kwa kuficha sukari
Sasa ukishawakamata mnatuambiaje, je sukarii itashuka bei
Sisi tunaka bei ishuke jaman, tumechokaaa
Ukitaka watu wapunguze kitu damage mfuko tuPongezi kwa Profesa Janabi kwa kuishinikiza Serikali kuongeza bei ya sukari. Asiishie hapo tu aende kwenye nyama ifike hadi elfu 30 huko. Haiwezekani watu wafe kizembe.
Mwezi March kilo itakuwa imefikia sh 9,000.Waziri kasema sukari itakuwa tele mwezi March 🐼