WAZIWAZI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 1,815
- 1,576
Magufuli ni almasi! wewe ni nini? Unasifia dume hadi wewe mwenyewe unajiweka shimo la taka!
Vipi hapo Chalinze, kuna mbunge?
Vipi hapo ilala, kuna mbunge?
Vipi hapo Gairo, Kuna mbunge?
Vipi hapo Kalenga, Kuna mbunge?
Vipi hapo, nk.
Vipi hapo kwenu, kuna mbunge?
Taja unakodhani kuna mbunge wa kujisifia. Anyejua anachokifanya.
kati ya hao unadhani majimbo uliyoyataja unahisi kuna yeyote unaweza kumfananisha na Sugu? leta CV zao, ila any way huenda naongea na mtu mwenye upeo kama wa sugu std 7 kwenye ulimwengu wa technologia.