SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Utalii siyo suala la muungano na Rais Samia hana mamlaka na utalii kwa Zanzibar.
Yaani kiutalii Zanzibar ni nchi tofauti na Tanzania.
Hivyo Rais Hussein Mwinyi afanye ziara yake kivyake Unguja na Pemba aje na sinema yake tofauti na hii ya Samia.
Yaani kiutalii Zanzibar ni nchi tofauti na Tanzania.
Hivyo Rais Hussein Mwinyi afanye ziara yake kivyake Unguja na Pemba aje na sinema yake tofauti na hii ya Samia.