Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Salaam!
Wadau kama Mada inavyojieleza, naomba Msaada kufuta Documents na Video zilizopo Recycle Bin Samsung Galaxy A12. Nimefuta vitu kibao kwenye Simu ila naona Vinahamia Recycle bin na bado naoma nakosa Nafasi kwenye Simu. Maana nilikuwa na Video zenye Ukubwa wa zaidi ya 20GB ila nimefuta bado inaonekana zimeshikilia nafasi.
Msaada wenu Wataalamu, maana naelewa humu JF ndiyo Kila Kitu.
Uwezo wangu umeishia nimeshindwa kufanikiwa.
Wadau kama Mada inavyojieleza, naomba Msaada kufuta Documents na Video zilizopo Recycle Bin Samsung Galaxy A12. Nimefuta vitu kibao kwenye Simu ila naona Vinahamia Recycle bin na bado naoma nakosa Nafasi kwenye Simu. Maana nilikuwa na Video zenye Ukubwa wa zaidi ya 20GB ila nimefuta bado inaonekana zimeshikilia nafasi.
Msaada wenu Wataalamu, maana naelewa humu JF ndiyo Kila Kitu.
Uwezo wangu umeishia nimeshindwa kufanikiwa.