Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,308
- 105,627
Wabongo wengi suala la kusema "naheshimu maamuzi yako katika jambo hili ambalo una uhuru wote wa kuamua wewe binafsi, hata kama mimi nisingeamua hivyo" ni suala gumu sana.Familia yake ndiyo wana maamuzi
Azikiwe wapi!
Ova
Yani hata ukimwambia mtu mimi napenda nyekundu sipwndi bkuu, hawezi juelewa juwa huo nibuamuzi wa binafsi na una uhuru huo.
Atataka kukusema "wewe utapenda vipi nyekundu wewe?".
Wengi masuala ya faragha ya binafsi, uhuru wa binafsi, ni masuala magumu sana kuyaelewa.
Kwa sababu wamezoea kuswagwa kama ng'ombe na kuishi kwa kukariri formula na kwenda kwa amri kutoka juu.
Hawajui uhuru ni nini.