Humility imembeba mzee Mwinyi, alisema yeye ni kichuguu!!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,329
24,211
1709298508660.png

Kati ya tabia ambazo nitamkumbuka sana mzee Ally Hassan Mwinyi, ni humility, yaani uvumilivu.
Moyo wa uvumilivu umembeba sana na kumvusha katika mazingira ya utatanishi.
-humility ilimfanya ajiuuzuly uwazi wa mambo ya ndani kulipotokea mtafaruku wa watendaji kuua watu waliotuhumiwa ushirikina humko mikoa ya kanda ya ziwa.

-humility, wakati alipojiuzulu uwaziri, katika nyumba aliyokaa , waziri mwingine mzanzibari hamkumruhusu kuchukua mali zake zote ikiwemo mabati yake. Mwinyi hakubisha wala kukasirika. Baadaye waziri huyo mzanzibari akaona soni sana Mwinyi alipoteuliwa kuwa rais wa Zanzibar.

-humility,tumesikia akisema rais Kikwete, kuwa wakati wa kumpendekeza ris ajaye wa Zanzibar, kuna waziri alimbania chumba chake ple Dodoma naye bila hiana akaenda kukaa bwenini CBE.

-humility, alipokuwa rais, kuna wakati Mwalimu Nyerere alimpinga wazi wazi hadharani. Mapashkuna waandishi wa habari, kwa kutaka kuwachonganisha walimuuliza mzee Mwinyi, mbona Nyerere amakupinga rais hadharani ilhali wewe ndiye mwenye madaraka makubwa nchini? Mzee Mwinyi akawajibu, "mimi ni kichuguu, wakati mwalimu Nyerere ni mlima Kilimanjaro". Jamaa wakapigwa butwaa lakini lilikuwa jibu tosha la kuondoa ukakasi wowote.

Humility, RIP mzee Mwinyi, umeondoka nayo.

-
 
Lilikuwa jibu lenye busara. Nyerere alitaka Kila alichoshauri ndio uwe mwongozo,alitaka aongoze kwa remote akitokea Msasani. Mwinyi alikuwa anapokea ushauri toka kwa viongozi wengine na watu mbalimbali lakini pia alikuwa ana maamuzi yake kama kiongozi. Hilo alisimamia.
 
View attachment 2921500
Kati ya tabia ambazo nitamkumbuka sana mzee Ally Hassan Mwinyi, ni humility, yaani uvumilivu.
Moyo wa uvumilivu umembeba sana na kumvusha katika mazingira ya utatanishi.
-humility ilimfanya ajiuuzuly uwazi wa mambo ya ndani kulipotokea mtafaruku wa watendaji kuua watu waliotuhumiwa ushirikina humko mikoa ya kanda ya ziwa.

-humility, wakati alipojiuzulu uwaziri, katika nyumba aliyokaa , waziri mwingine mzanzibari hamkumruhusu kuchukua mali zake zote ikiwemo mabati yake. Mwinyi hakubisha wala kukasirika. Baadaye waziri huyo mzanzibari akaona soni sana Mwinyi alipoteuliwa kuwa rais wa Zanzibar.

-humility,tumesikia akisema rais Kikwete, kuwa wakati wa kumpendekeza ris ajaye wa Zanzibar, kuna waziri alimbania chumba chake ple Dodoma naye bila hiana akaenda kukaa bwenini CBE.

-humility, alipokuwa rais, kuna wakati Mwalimu Nyerere alimpinga wazi wazi hadharani. Mapashkuna waandishi wa habari, kwa kutaka kuwachonganisha walimuuliza mzee Mwinyi, mbona Nyerere amakupinga rais hadharani ilhali wewe ndiye mwenye madaraka makubwa nchini? Mzee Mwinyi akawajibu, "mimi ni kichuguu, wakati mwalimu Nyerere ni mlima Kilimanjaro". Jamaa wakapigwa butwaa lakini lilikuwa jibu tosha la kuondoa ukakasi wowote.

Humility, RIP mzee Mwinyi, umeondoka nayo.

-
Huyu mzee alikuwa na tabia ya kujishusha toka moyoni.
Power did not get to his head.
Viongozi wa sasa mjifunze hili.
 
View attachment 2921500
Kati ya tabia ambazo nitamkumbuka sana mzee Ally Hassan Mwinyi, ni humility, yaani uvumilivu.
Moyo wa uvumilivu umembeba sana na kumvusha katika mazingira ya utatanishi.
-humility ilimfanya ajiuuzuly uwazi wa mambo ya ndani kulipotokea mtafaruku wa watendaji kuua watu waliotuhumiwa ushirikina humko mikoa ya kanda ya ziwa.

-humility, wakati alipojiuzulu uwaziri, katika nyumba aliyokaa , waziri mwingine mzanzibari hamkumruhusu kuchukua mali zake zote ikiwemo mabati yake. Mwinyi hakubisha wala kukasirika. Baadaye waziri huyo mzanzibari akaona soni sana Mwinyi alipoteuliwa kuwa rais wa Zanzibar.

-humility,tumesikia akisema rais Kikwete, kuwa wakati wa kumpendekeza ris ajaye wa Zanzibar, kuna waziri alimbania chumba chake ple Dodoma naye bila hiana akaenda kukaa bwenini CBE.

-humility, alipokuwa rais, kuna wakati Mwalimu Nyerere alimpinga wazi wazi hadharani. Mapashkuna waandishi wa habari, kwa kutaka kuwachonganisha walimuuliza mzee Mwinyi, mbona Nyerere amakupinga rais hadharani ilhali wewe ndiye mwenye madaraka makubwa nchini? Mzee Mwinyi akawajibu, "mimi ni kichuguu, wakati mwalimu Nyerere ni mlima Kilimanjaro". Jamaa wakapigwa butwaa lakini lilikuwa jibu tosha la kuondoa ukakasi wowote.

Humility, RIP mzee Mwinyi, umeondoka nayo.

-





Mkuu , mwinyi alikuwa mnyenyekevu ,Ila kuhusu uvumilivu sijawa na uhakika hapo.

Ukiwa mnyenyekevu lazima utajishusha na ukijishusha utainuliwa
 
View attachment 2921500
Kati ya tabia ambazo nitamkumbuka sana mzee Ally Hassan Mwinyi, ni humility, yaani uvumilivu.
Moyo wa uvumilivu umembeba sana na kumvusha katika mazingira ya utatanishi.
-humility ilimfanya ajiuuzuly uwazi wa mambo ya ndani kulipotokea mtafaruku wa watendaji kuua watu waliotuhumiwa ushirikina humko mikoa ya kanda ya ziwa.

-humility, wakati alipojiuzulu uwaziri, katika nyumba aliyokaa , waziri mwingine mzanzibari hamkumruhusu kuchukua mali zake zote ikiwemo mabati yake. Mwinyi hakubisha wala kukasirika. Baadaye waziri huyo mzanzibari akaona soni sana Mwinyi alipoteuliwa kuwa rais wa Zanzibar.

-humility,tumesikia akisema rais Kikwete, kuwa wakati wa kumpendekeza ris ajaye wa Zanzibar, kuna waziri alimbania chumba chake ple Dodoma naye bila hiana akaenda kukaa bwenini CBE.

-humility, alipokuwa rais, kuna wakati Mwalimu Nyerere alimpinga wazi wazi hadharani. Mapashkuna waandishi wa habari, kwa kutaka kuwachonganisha walimuuliza mzee Mwinyi, mbona Nyerere amakupinga rais hadharani ilhali wewe ndiye mwenye madaraka makubwa nchini? Mzee Mwinyi akawajibu, "mimi ni kichuguu, wakati mwalimu Nyerere ni mlima Kilimanjaro". Jamaa wakapigwa butwaa lakini lilikuwa jibu tosha la kuondoa ukakasi wowote.

Humility, RIP mzee Mwinyi, umeondoka nayo.

-
Nilichojifunza hapa Duniani!

Ukiwa mwizi halafu ukaruhusu na wengine waibe kama wewe,utaishi maisha marefu sana!

Lakini ukiwa ni mwizi halafu ukajifanya mzalendo ukazuia wengine wasile amaisha yanakua mafupi sana!

Kikwete na Mwinyi wameishi miaka mingi coz walijua kula na vipofu!!

Pia kibongo bongo bila kuwa mwizi hutajiriki aiseh!!

Hilo tu!

Mungu awalaze Mahali pema peponi!!
 
aliwahi kuandika kuwa akiwa Balozi wetu Egypt mwaka 1981 Hayati Baba wa Taifa alimrudisha Nyumbani ghafla akajikuta hana shughuli na matokeo yake akawa anaishi Tandika 'kwa Mwinyi ' na mara ghafla kipindi kifupi tu Rais wa Misri Anwar Saadat akapigwa Bomba kwny shughuli ya Kitaifa na kwa Protocal huenda angekuwa nae high table kwny sherehe za uhuru wa Taifa hilo hivyo akashukuru sana kwa kuwa bila kutumbuliwa pengine ile zahma ingemhusu sana
 
Lilikuwa jibu lenye busara. Nyerere alitaka Kila alichoshauri ndio uwe mwongozo,alitaka aongoze kwa remote akitokea Msasani. Mwinyi alikuwa anapokea ushauri toka kwa viongozi wengine na watu mbalimbali lakini pia alikuwa ana maamuzi yake kama kiongozi. Hilo alisimamia.
Alikua anapiga kelele wakati yeye aliwajaza watanzania viraka
 
View attachment 2921500
Kati ya tabia ambazo nitamkumbuka sana mzee Ally Hassan Mwinyi, ni humility, yaani uvumilivu.
Moyo wa uvumilivu umembeba sana na kumvusha katika mazingira ya utatanishi.
-humility ilimfanya ajiuuzuly uwazi wa mambo ya ndani kulipotokea mtafaruku wa watendaji kuua watu waliotuhumiwa ushirikina humko mikoa ya kanda ya ziwa.

-humility, wakati alipojiuzulu uwaziri, katika nyumba aliyokaa , waziri mwingine mzanzibari hamkumruhusu kuchukua mali zake zote ikiwemo mabati yake. Mwinyi hakubisha wala kukasirika. Baadaye waziri huyo mzanzibari akaona soni sana Mwinyi alipoteuliwa kuwa rais wa Zanzibar.

-humility,tumesikia akisema rais Kikwete, kuwa wakati wa kumpendekeza ris ajaye wa Zanzibar, kuna waziri alimbania chumba chake ple Dodoma naye bila hiana akaenda kukaa bwenini CBE.

-humility, alipokuwa rais, kuna wakati Mwalimu Nyerere alimpinga wazi wazi hadharani. Mapashkuna waandishi wa habari, kwa kutaka kuwachonganisha walimuuliza mzee Mwinyi, mbona Nyerere amakupinga rais hadharani ilhali wewe ndiye mwenye madaraka makubwa nchini? Mzee Mwinyi akawajibu, "mimi ni kichuguu, wakati mwalimu Nyerere ni mlima Kilimanjaro". Jamaa wakapigwa butwaa lakini lilikuwa jibu tosha la kuondoa ukakasi wowote.

Humility, RIP mzee Mwinyi, umeondoka nayo.

-
Raisi Mwinyi ameyaishi maisha yake kama alivyosema... Maisha yake yatakuwa Hadithi nzuri ya kusimuliwa kizazi na kizazi. Ni Raisi mnyenyekevu, aliyeonyesha kutokuwa na Makuu, hasa katika kauli yake alosema kuwa yeye ni kichuguu na Mwalimu nyerere ni Mlima Kilimanjaro, japokuwa kwa wakati huo yeye ndiye aliyekuwa kwenye madaraka ya uraisi.

Alikabidhiwa na Nyerere Gari Bovu... Kwa wakati huo nchi ndiyo ilikuwa imetoka vitani na kila kitu kilikuwa ni shida. Nchi ilikuwa katika umasikini mkubwa. Falsafa zake na maono yake ndiyo vimeifikisha Tanzania hapa ilipo leo.

My Take; Katika awamu zote tano za Uraisi hadi sasa, Hakuna Raisi aliyewahi kutokea na kufanya mambo makubwa ya kukumbukwa siku zote kwa Wema na mafanikio Kama Mhe. Raisi. Al Hassan Mwinyi.
 
Nilichojifunza hapa Duniani!

Ukiwa mwizi halafu ukaruhusu na wengine waibe kama wewe,utaishi maisha marefu sana!

Lakini ukiwa ni mwizi halafu ukajifanya mzalendo ukazuia wengine wasile amaisha yanakua mafupi sana!

Kikwete na Mwinyi wameishi miaka mingi coz walijua kula na vipofu!!

Pia kibongo bongo bila kuwa mwizi hutajiriki aiseh!!

Hilo tu!

Mungu awalaze Mahali pema peponi!!
Ha ha ha!........nani alikuwa mwizi halafu anawawekea mtimanyongo wenziwe?
 
View attachment 2921500
Kati ya tabia ambazo nitamkumbuka sana mzee Ally Hassan Mwinyi, ni humility, yaani uvumilivu.
Moyo wa uvumilivu umembeba sana na kumvusha katika mazingira ya utatanishi.
-humility ilimfanya ajiuuzuly uwazi wa mambo ya ndani kulipotokea mtafaruku wa watendaji kuua watu waliotuhumiwa ushirikina humko mikoa ya kanda ya ziwa.

-humility, wakati alipojiuzulu uwaziri, katika nyumba aliyokaa , waziri mwingine mzanzibari hamkumruhusu kuchukua mali zake zote ikiwemo mabati yake. Mwinyi hakubisha wala kukasirika. Baadaye waziri huyo mzanzibari akaona soni sana Mwinyi alipoteuliwa kuwa rais wa Zanzibar.

-humility,tumesikia akisema rais Kikwete, kuwa wakati wa kumpendekeza ris ajaye wa Zanzibar, kuna waziri alimbania chumba chake ple Dodoma naye bila hiana akaenda kukaa bwenini CBE.

-humility, alipokuwa rais, kuna wakati Mwalimu Nyerere alimpinga wazi wazi hadharani. Mapashkuna waandishi wa habari, kwa kutaka kuwachonganisha walimuuliza mzee Mwinyi, mbona Nyerere amakupinga rais hadharani ilhali wewe ndiye mwenye madaraka makubwa nchini? Mzee Mwinyi akawajibu, "mimi ni kichuguu, wakati mwalimu Nyerere ni mlima Kilimanjaro". Jamaa wakapigwa butwaa lakini lilikuwa jibu tosha la kuondoa ukakasi wowote.

Humility, RIP mzee Mwinyi, umeondoka nayo.

-
RIP Mzee Ruksa.
 
Raisi Mwinyi ameyaishi maisha yake kama alivyosema... Maisha yake yatakuwa Hadithi nzuri ya kusimuliwa kizazi na kizazi. Ni Raisi mnyenyekevu, aliyeonyesha kutokuwa na Makuu, hasa katika kauli yake alosema kuwa yeye ni kichuguu na Mwalimu nyerere ni Mlima Kilimanjaro, japokuwa kwa wakati huo yeye ndiye aliyekuwa kwenye madaraka ya uraisi.

Alikabidhiwa na Nyerere Gari Bovu... Kwa wakati huo nchi ndiyo ilikuwa imetoka vitani na kila kitu kilikuwa ni shida. Nchi ilikuwa katika umasikini mkubwa. Falsafa zake na maono yake ndiyo vimeifikisha Tanzania hapa ilipo leo.

My Take; Katika awamu zote tano za Uraisi hadi sasa, Hakuna Raisi aliyewahi kutokea na kufanya mambo makubwa ya kukumbukwa siku zote kwa Wema na mafanikio Kama Mhe. Raisi. Al Hassan Mwinyi.
Ni kweli kabisa.
Mzee ruksa ka set standards za humility.
 
Back
Top Bottom