Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,312
- 105,656
Nimekutaka uweke maneno yangu mwenyewe kwenye hiyo thread tuyachambue, umeshindwa....Ila umewahi kuipangia familia ya viongozi wa kitaifa na serikali kujua wapi walipolazwa viongozi wa nchi.
Huu ndio msimamo wako naufahamu, nina kumbukumbu nao, sio mjinga kuandika nisichokijua kukuhusu, kazi ya kutafuta thread huku ifanye mwenyewe majibu yako utayapata.
Kuujua msimamo wa mtu kwenye jambo fulani sio ajabu, usitake kuletewa ushahidi hapa ili kupotezeana muda, prove me wrong if you can.
Tena uje na ushahidi wako toka kwenye ule uzi wa ugonjwa wa Makamu wa Rais alipoenda kutibiwa hivi karibuni, nimeshakupa na point of reference kazi kwako.
Unasumbuliwa na egoism, matokeo yake umegeuka kama popo, jambo moja unataka upewe ushahidi wa kifamilia ili kulijadili, jambo lingine unakimbilia kutaka kujua kulikoni bila ushahidi wa ugonjwa!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Inawezekana nimeandika A, ila kichwa chako kidogo hakielewi A, kimeelewa B.
Wewe acha uvivu, point unaitoa wewe halafu ushahidi unataka nitoe mimi?
Siwezi kushangaa unavyopenda uzushi, hiyo ni tabia ya watu wavivu kama wewe wasiopenda kufanya kazi ya kuthibitisha mambo kwa ushahidi.