Suala la ESCROW, Ikulu yabanwa zaidi

Suala la ESCROW, Ikulu yabanwa zaidi

Mmh... 'black widow' kama yako ni makengeza, basi tuite kuwa yamekomaa kiasi kuwa yanakaribia kabisa 'kunyofoa' macho yako yote mawili na ndiyo maana hivi sasa umeanza kushindwa hata kusoma maandiko!

Naona lugha imekupiga chenga! au hili nililo-kopi na kubandika halikutoka post namba moja?

Hebu niache mie namsikiliza Carlos Santana saa hizi, ananikumbusha enzi zangu.
 
Naona lugha imekupiga chenga! au hili nililo-kopi na kubandika halikutoka post namba moja?

Hebu niache mie namsikiliza Carlos Santana saa hizi, ananikumbusha enzi zangu.
Mbona umequote kipande kidogo tu cha habari ambayo haitakupa picha kamili ya nini kimeamuliwa, kama hutakuwa umequote taarifa nzima ya Bodi hiyo ya wakurugenzi wa MCC.
 
Mbona wanaotetea CCM na kuishangilia kama akina faizafox na simiyu yetu hawatoi maoni katika masuala muhimu kama haya? au ndio lumumba huwa inawatumia kwa malipo ya buku 7!
 
Usicheze na Wazungu Bana. Wanatunyanyasa kama wanavyopenda.
kuiba aibe Tumbili lawama apelekewe mzungu, kweli?. Kunyanyasika tumekuchaguwa wenyewe kwa kuwaruhusu ccm washike hatamu! Hiyo misaada ni kodi za wananchi wao, kodi za wananchi wenu mnagawana peke yenu na za wananchi wao nazo mwazitaka!,......... Anaye wanyanyasa ni sisiyemu kwa tabia yake ya kula kama kiwavi mchana anakula, usiku anakula, ni kula...kula...kulaaaa....tuuuuu!
 
Naona lugha imekupiga chenga! au hili nililo-kopi na kubandika halikutoka post namba moja?

Hebu niache mie namsikiliza Carlos Santana saa hizi, ananikumbusha enzi zangu.[/QUOTE

Sawa mama, ila umeshafanyia kazi ushauri wangu wa wewe kutafuta kazi halali badala ya kushinda hapa jukwaani kujidhalilisha na umri huo?
 
Nakumbuka hotuba ya George Bush pale Ikulu Dar es Salaam. Alisema wazi kabisa,hawatoi misaada kwa wezi!
 
Naona lugha imekupiga chenga! au hili nililo-kopi na kubandika halikutoka post namba moja?

Hebu niache mie namsikiliza Carlos Santana saa hizi, ananikumbusha enzi zangu.[/QUOTE

Sawa mama, ila umeshafanyia kazi ushauri wangu wa wewe kutafuta kazi halali badala ya kushinda hapa jukwaani kujidhalilisha na umri huo?

Saa hizi mimi nnaajiri watu 123 kama wewe, wanaonifanyia kazi zangu. Jee, una shida ya kazi?
 
Mbona umequote kipande kidogo tu cha habari ambayo haitakupa picha kamili ya nini kimeamuliwa, kama hutakuwa umequote taarifa nzima ya Bodi hiyo ya wakurugenzi wa MCC.

Nimeisoma yote, sioni cha ajabu, wewe "quote" cha ajabu.
 
'Great Thinkers' wa JF mnapenda kukurupuka sana na kuropoka bila ya kuwa na facts. Waziri Saada Mkuya alisema ukweli, labda aliyedanganya Bunge ni Kafulila. Kafulila alisema kuwa MCC wamezuia msaada kwa Tanzania kwa sababu ya IPTL. Saada Mkuya alikanusha na kusema kuwa MCC watakaa Desemba kufanya maamuzi.

Sasa leo MCC wametoa taarifa kuwa wameikubalia Tanzania ipeleke maombi ya msaada wa MCC II baada ya kukamilisha MCC I ya $700m, lakini maamuzi ya kutolewa kwa msaada wa MCC II yatategemea na hatua za serikali za kuhusu ufisadi wa IPTL na kuboresha mazingira ya biashara.

Ukweli ni kuwa Kafulila naye alichemsha aliposema MCC imezuiwa, ukweli umesemwa leo na MCC wenyewe kuwa watatoa MCC lakini kwa masharti. Kwani kuna msaada gani unatolewa bila masharti?

Paka hapo hujaamini Intelejensia ya Kafulila iko mbele zaidi ya Intelejensia ya Serikali kupitia Saada Mkuya?? Kafulila aliliona hili ambalo limekamilika sasa..... Je, fedha za Escrow ni za Umma au za IPTL kwa mujibu wa makala hizi??

Let be realistic.... Kinachotakiwa ni kuondoa uhujumu uchumi ili misaada tunayopewa itusaidie ili tujitegemee.. Unakaa kuwatetea mafisadi waliokwapua pesa kwani zinakusaidia pesa hizo zilizokwapuliwa???

We nee our money back
 
Watu tunakomaa tu hawa waliokwiba hizi hela za Escrow wafukuzwe madarakani, then what? Nilitegemea watu tupige kelele kuwa waswekwe rumande angalau miezi sita wakisubiri uchunguzi ufanywe juu ya tuhuma zao. Tujifunze kuwajibika Watanzania, pesa za Umma ni pesa za wananchi.
 
Ikulu iko makini, itatekeleza , maazimio ya bunge bila upendeleo baada ya kujiridhisha na ripoti ya CAG
 
huoni cha ajubu kwasbabu wewe ni kipofu.
wahisani wakuu wanasubiria maamuzi ya kikwete kuangalia kama tuko serious na wizi huu mliofanya.
Si u quote cha ajabu basi kama faiza foxy alivyosema? Blaablaa za nini?
 
Back
Top Bottom