Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,012
- 112,675
Mi nimegonga like ya comment... :embarrassed1:
Ooh kumbe...basi mi nilidhani umeipenda video. Naona RR analeta unoko kaiondoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nimegonga like ya comment... :embarrassed1:
We uliipenda hiyo video?Ooh kumbe...basi mi nilidhani umeipenda video. Naona RR analeta unoko kaiondoa.
We uliipenda hiyo video?
BAK hahahah etiii? Mchaga wa kitanga loh!
Una uhakika hayupo hapa eh?? Wala makeke tu ya keyboard shem sina a wala be mie.......
Seriously unajua wengi tumeathiriwa na gender na Beijing...kumchezea mpenzio kidogo tu hata kutikisha majaaliwa tunajisikia kuwa tunadhalilishwa phweee! Kuna ubaya gani kujidhalilisha kwa kupenda? Bwana mie nathamini sana tabasamu la mpenzi wangu (Nikiwa na furaha na nafasi) akha!! Hata kama ni bafuni bana mie ntacheza tu na hivi nina shepu ya kichaga basi nikijitikisa mwili mzima na kuona lile tabasamu lake ah najilinganisha na Ms. Tanzania aisee............. ah nini kujistress bana.
Nimekuuliza kwa sababu nataka kujuaWhat do you think.....?
Nimekuuliza kwa sababu nataka kujua
If I knew I wouldn't ask now, would I?
Kwa hiyo watu walichukia hiyo ATM card ku-swapishwa pale?Nilidhani jibu la swali lako ni dhahiri...
Kukujibu, ndiyo, naipenda sana hiyo video.
Mhhhh! haya bana naona leo umeamua Maneno yako yana uzito mkubwa sana....yuko hapa ana tabasamu la kufa mtu ...inadaiwa anafuatilia mabandiko yako kwa karibu sana ....unapoamua kufanya chochote kile ili kumfurahisha mpenzi wako basi haiwi tena kudhalilishwa, kudhalilishwa ni pale ambapo unafanya kitu ambacho hukubaliani nacho.
Lizzy,
Hii inaweza kuwasha mto ila siyo mara nyingi...Halafu inategemea kama mmekuwa apart kwa muda, kwani it has to be a kind of surprise!!
Ila kama mmebanana kila siku, haiwezi kuwa na tija!!
Halafu naomba ukumbuke kitu kimoja (hope hata Mwanajamiione ataona hili), mke ni kitu kingine kabisa...
Haya mambo yanakuwa very sweet na willingness to pay ni kubwa kama ni match ya ugenini!!
Babu DC!!
Eeee Mungu jalia matokeo yabaki hivi hivi 2-1!
....Hapana Mkuu DC hata kama mmebanana inakuwa na tija tena kubwa sana.
Lizzy,
Hii inaweza kuwasha mto ila siyo mara nyingi...Halafu inategemea kama mmekuwa apart kwa muda, kwani it has to be a kind of surprise!!
Ila kama mmebanana kila siku, haiwezi kuwa na tija!!
Halafu naomba ukumbuke kitu kimoja (hope hata Mwanajamiione ataona hili), mke ni kitu kingine kabisa...
Haya mambo yanakuwa very sweet na willingness to pay ni kubwa kama ni match ya ugenini!!
Babu DC!!
Una maana inaweza kuwa tija kupata hiyo burudani kila siku au?
Una maana inaweza kuwa tija kupata hiyo burudani kila siku au?
Siyo kila siku banaaa LOL!
Mademu wengi wa kibongo ni feki, hawaziwezi km hizo.
Wanajua kuomba vocha tuuuuuu.
Shem! hata mimi limwanamke kama kila siku linaniletea ayo mapozi ya kuvua nguo kwa muziki nitalifikiria ni freemason tu. Haya mambo yanatakiwa yawe once in a grey moon.What makes you think kuwa anauwezo wa kuitoa burudani hiyo kila siku? Kama wewe tu unayepokea huwezipokea kila siku ye anayetoa ataweza toa kila siku? ......... ukifurahi na kuwa na nafasi!