MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Shem! hata mimi limwanamke kama kila siku linaniletea ayo mapozi ya kuvua nguo kwa muziki nitalifikiria ni freemason tu. Haya mambo yanatakiwa yawe once in a grey moon.
Hahahaahha......hii post na ilaaniwe ikose mwanga mbele ya macho ya wasomaji
eti Freemasons............... Shemeji unampendelea Mbu bwana akhaaa..................Sa mi kesi zangu ntapeleka wapi?