BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 7,969
- 20,013
Stress za kukosa BOLO jamaniii khaaaa, yaani nikikosa BOLO huwa natamani kuvaa sketi kichwani akili zinarukaa!
Jamani BOLO tamu
Jamani BOLO tamu
Naongelea stress za kikubwaBongo mihongo ya buku unashiba , kama ni mapenzi kina mwajuma wanatafuta mpka amae pumua tu huko kwa mwamposa, stress za kazi gani sasa bwashee?
Stress ni kujitakia tu ,kwawenzeti zaa na mtu halafu upigwe child support ndio utajua maana ya stress, bongo unaweza zaa na wadada hata kumi na ukakimbia tu na ikawa fresh tuKweli tunatofautiana
Dawa ya deni ni kulipa , kukopa kwingi kulipa matangaNaongelea stress za kikubwa
Kule una mkopo bank XXX, huku TRA anataka ulipe milioni 120 na anaongeza deni kila unapochelewa. Guest house uloiweka kama dhamana kwa bank XXX nayo mauzo yameshuka unaona kabisa bank wanaweza tembea nayo. Ngoja niisgie hapo
Jamani classmate upo weweUkimheshimu mjinga, utaepusha kelele...🤣
Nipo mwali...😊Jamani classmate upo wewe
😁😁😁😁😁
Usicheke...😁😁😁😁😁
pole sanaNgoja nianze mimi.
Kwenye moja ya biashara zangu nilikua na partner, sasa huyo jamaa ndie alikua anahusika na mambo yote ya kifedha. Biashara yenyewe inahusisha importation ya materials fln fln
Last month tukapata notice ya TRA kuna kodi ladhaa wanadai, hapohapo kuna mzigo ulikua umekwamia bandarini na wenyewe una kodi zake hapo. Sijatulia vzr huyo jamaa akasema kapata mdau anaweza kutusaidia tukalipa kiasi XXX tu (ambacho ni kidogo ukilinganisha na wanachokidai) pamoja na posho ya huyo mdau.
Basi nikasaini navyy akasaini kuruhusu hela zitoke. Hela zilipotoka huyo mdau kapotea, na baada ya kumbana jamaa yangu na yeye akapotea.
Yaan hapa kuna mzigo umezuiliwa, TRA wamenikaba shingo, na bank kuna senti tu.
Halafu leo napita kinondoni pale mpuuzi mmoja anamwagia gari yangu maji kwenye kioo cha mbele, aisee ningeua mtu leo hii
Dunia ya Leo usipojifunza kupitia vitabu wewe bas tenaUzi wa majonzi ila nmejikuta nacheka ghafla kisa hii line.
Unaonekana msomaji sana mama angu
Uhamisho wa mchongo , mkome tulioomba kawaida wamekalia maombi yetu nyie mnaojifanya mna pesa mnapewa kwa mgongo wa nyuma kibali Cha uhamisho kimetoka lini na hio orodha ya majina Iko wapi
Msitupotezee muda humu huyo aliyekupa barua ya uhamisho wa mchongo ndo akushauri
Ongeza hapoNaongelea stress za kikubwa
Kule una mkopo bank XXX, huku TRA anataka ulipe milioni 120 na anaongeza deni kila unapochelewa. Guest house uloiweka kama dhamana kwa bank XXX nayo mauzo yameshuka unaona kabisa bank wanaweza tembea nayo. Ngoja niisgie hapo