Stress kali special thread

Stress kali special thread

Nikiwa na stress huwa nakunywa maji mengi, nafanya mazoezi chumbani kwangu kisha nachemsha maji naweka chumvi ya mawe naingia bafuni kuoga kwa dk 30. Dakika zote hizi najisugua na sabuni yenye harufu zuri (protex for gentle). Kisha napanda kitandani nikiwa na laptop nacheki series au movies uku taa ya chumbani ikiwa imezimwa. Napenda horror movies #amtheghost
 
Hizi mambo Kila mmoja anazo, zinapozidi ndo utajua kwanini ngiri huwa anakimbia vile mkia juu.
 
Wacha na mimi niweke moja inayo nisumbua

Ukwel ni kwamba mimi kuhusu swala la mahusiano ni kitu kimekuwa changamoto kwa upande wangu , kiufupi swala la kutongoza dem kwangu ni mtiani haswa
Hasa pale linapo fika swala la kumsimamisha mdada na kuanza kutupa swaga imekuwa changamoto kwaiyo naweza stay bila mahisiano hata miezi kadhaa
Wanawake ambao huwa na win ni wale ambao wapo kwenye cycle yangu yaani ni demu ambay labda tunafanya kazi sehem moja au kila siku huwa tunaonana ndio huwa naweza kuwakalisha lakn likija swala la stranger kwangu ni mtiti haswa
hii kitu inanifanya nakosa furah sometimes.
Kuna mda huwa najikaza nasimamisha manzi ila nikiongea neno moja tu akinijib naishiwa pozi naamua kukausha tu sijui ni kawaida au kunawatu pia wanapitia ishu kama yangu.
Mbona dawa ndogo tu, chukua namba, mpige story za kawaida mzoeane kidogo, baada ya wiki moja mtongoze, unatongoza stranger barabarani dakika hiyo hiyo unategemea ujibiwe nini?
 
Back
Top Bottom