Story: On My High Horses ...

Story: On My High Horses ...

Money penny hivi ulisema SAA ngapi etii maana jamaa yangu usingizi ananinyemelea namwambia asubiri bado MP HAJANISALIMIA LEO. AU DUDE HALIJAAMSHWA BADO
Uuuwi jaman pole
We lala tu maana me huku napoozwaaa
Mjomba enu aligeuka akawa anachekelea simba jana kaangushwa sa leo naiskilizia vbaya mno
 
Hellow za j2 jaman

Leo mwenzenu mjomba enu alibinuka sarakasi kisa Simba jana kafungwaaaa

Sa leo nimeamka nae gademit kama haujawahi beba mimba hauwezi jua maumivu yake

Nipo nafanyiwa massage ndo naibia ibia Mister nae hataki nishike simu

Tuonane kesho basi au sio
Saa 8 mchana Mungu akipenda nashusha 2 kesho i promise
 
Chapter 2

A. Nimpende Nani?!



Tausi

Unajua tangu niachane na mama bonge anibwage nilikuwa na confidence sana kuwa mumewe atanilea
Nikaendelea na mumewe muda si muda akanipiga chini

Kusema kweli mpenz msomaji hata sijui yule mzee tuligombanaje nahisi ni shetani tu alipita akatugombanishaaa
Maana tulikuwa tunaenda vizuri tu siku akaniita nina surprise for you nikaenda hotel pale Kempinski, kufika ananiambia unajua nimeongea na wife tume reconcile anajua affairs zetu na amesema tuachane, na mimi naona ni swala zuri na la heshima

Pia sijapendezwa na michezo mliokuwa mnacheza na mama bonge mnampokonya mtu mpenz wake kwa ajili ya manufaa yenu iyo ni roho mbaya sanaaaa staki hata kuamini kama unaweza mfanyia mwanamke mwenzio hivyo
Wewe ni kama muuaji kabisa tena hauna tofauti na shetan ukakosa huruna kabisa mwanamke mwenzio anapokonywa mwanaume na unajua kila kitu na bado kwenye harusi ukamchukua na kumpeleka yani wewe ni zaidi ya jambazi akitoka shetani unakuja wewe

Tausi nikanyweaaa maana sio kwa maneno makavu live namna ile, yani niliskia kuhukumiwa na Mungu Baba mwenyewe Mbinguni kumbe nipo duniani
Kusema kweli mpenz msomaji hata mimi sikupenda kile kitendo nilichompanyia Aaliyah ila pesa baba pesa ina nguvu
Pesa imempandisha Yesu msalabani kabisaa na akafa me ni kama Yuda na Mungu anajua nimekosea na nishatubu mara 100 kwa zotee lakini naona bado hukumu inanitafuna kila siku nasimangwa mimi nasemwa mimi natukanwa mimi kwa dhambi ya miaka 3 nilioifanya jaman kama kuna Mungu naomba mnisaidie kumwambia
Basi kuwa nahitaji toba anisamehe jamaaa nimekosa nimekosa mimi tausi nimekosa duniani na Mbinguni plz nisamehe Mungu basi

Baba Bonge: akaendelea kurapu weeee akanielekeza kutenda wema weee me nikajua yameisha baadae akaniambia kuanzia leo mimi na wewe baaaaassss
Me nimerudiana na mke wangu staki tena uzinzi
Nilichoka mpenz msomaji nikamwambia sasa mzee unajua hali yangu sina kazi sina hela we ndo nakutegemea kwa kila kitu jaman ntaishije ukiondoka kwenye maisha yangu, basi sawa unaondoka nisaidie basi niwezeshe kimaisha au nitaftie kazi angalau ya kunifanya nijisukume kimaisha tafadhal ntakufa mimi sina ndugu, jamaa wala wazazi plz nisaidie abeg

Baba Bonge: akanyamaza kimya kwa muda wa dk3 akaniambia nipe cv yako, nikatoa uzuri si unajua Job hunter sa hivi lazima nibebe kiberiti changu for cigarrate akachukua,
Subiri nikuangalizie mahali ukipata uniambie

Akatoa mil 5, hii mama kalipe kodi na kuhangaika kurafuta kazi, mpaka hapa nimenawa mikono na wewe tusijuane tena nikiondoka hapa haunidai sikudai, ukipata kazi ndio nimenawa mikono
Mazoeana mazoeana na wewe staki tena naomba unielewe kabisaa staki ujinga na wewe niache kabisaaa nadhani tumeelewana..

Tausi: ndio (in unyonge's voice)

Akalipia msosi akanipa lift mpaka kwangu akaondokaaa
Ndio ilikuwa siku ya mwanzo na mwisho kumwona yule mzee asee

Baada ya wiki 1 nikapata simu naitwa interview bank nikaenda kufika nikahojiwa hojiwa na kazi zabu secretary na nini unaweza pokea wageni na kuwaelekeza nikajibu interview ikaisha

Nikakaaa wiki 1 kimya
Nikaamua nikalipie rent kweli ili nisije lala nje nikalipa kodi pale mbezi miaka 2
Nikanunua misosi hela zingine mil 1 nikafungia bank fixed account
Nikakaa na hela laki 4 hapo naomba Munguuu nipate kazi
Baada ya wiki 2 nikapigiwa simu nimepata kazi CRDB Bank gadame pale makao makuu posta, kama receptionist

Nikampandia hewani Baba Bonge kumshukuru hakupokea nikamtumia sms akajibu sawa all the best

Nikaelekezwa kazi na nini nikawezaa
Uzuri wa Crdb buana viwalo tunapewaaa ma tshirt nene so zile nguo zangu za usekretary mbaya mbaya mbuzi mbuzi nikawa sivai buzy na suruali buzy na mayshirt ya bank

Mshahara ukapanda mpaka laki 4 nikapiga mzigo si unajua like there's no tommorrow kuja kuibuka probation imeisha nikaajiriwa mshahara ikasogea mpaka laki 5 kwa mwezi nikawa natunza

Usafiri sina ni daladala kwenda mbeleee nadandia tuuu tena kipindi kile folen ilikuwa kali ukisimama posta saa 11 mpaka unaondoka posta kufika palmbeach saa 12 nanusu umesimama kufika mbezi beach saa 2 usiku hapo unachoookaaaa, lkn nikazoea

Basi nipo zangu na maisha yangu huku na kule skuiyo kaingia Mark mume wa Bonge akanikuta reception akashangaa tukaongea weeeee akaniachia namba yake mpya na elfu 50
Nikatoka jioni namkuta ananisubiri ndio kupewa lift mpaka home, home kufika haondoki ananiambia me nalala hapaa
Tausi: we si umeoa jamaa tena kwangu wataka nini

Mark: we demu unajua me nimekuelewa sawa basi tu we hautaki kunielewa

Tausi: nikawa mkali nikuelewe vepe labda embu niache me na ukimwi

Mark: hata ukiwa na nini me wako tu
Hii hapa utakula lunch mama alafu jioni naja kukuchukua usinikimbie

Hapo saa 12 nanusu nimewaaaahi nikamwambia naskia njaa ngoja nikale kwanza ntakufkiria

Nikadondoka vibanda vya posta chukua machapati maaandazi matumbua huyoo nikaanguka ofsini nikatengeneza chai ya maziwa kwa raha zanguu

Jioni natoka ni kama mark jini, naondoa mguu pale azikiwe mark huyooo na Discovery 3 yake shenz kabisa
Nikamwambia na njaa nikapelekwa kule double tree hill by hilton nikafakamiaaa

Njia nzima anaongea jinsi gan bonge ameota mapembe tangu ashike ile mimba hajui uchi wa bonge tenaaa ni kama ameolewaaa

Me namsikiliza nikamwa natafuta mbinu ya kumchuna tu Mark maana kaniletea matatizo balaa

Tausi: aisee pole sana ila msosi ushaisha nahitaji kwenda home bruh, ngoja niwahi daladala, nachoka na daladala ujue ningepataga gari ningekuwa nakuskiliza vzuri ila daladala kiuno baba chauma siwezi kukupa mechi maana nasimama kuanzia posta mpaka mwenge ndo nakaaaa imagine

Mark akachokaaa akanipeleka home hajaomba mzigo kabisa akapoteaaa
Baada ya wiki 3 akaniita ilikuwa saturday, nikakataa unaniboa me nataka kulalaaa weekend hii nafuaa usafi nene niachee

Mark: nakuja mimi basi hapo. Akaja ananiambia twende nakupeleka sehemu
Nikaingia kwenye mark 2 yake new model, tainted afu a/c kama mochwari kweli hela za akina bonge zinachezewa balaa
Nikaingia mjeda napelekwa mateka sijui hata sielewi tukadondoka Yard ya msasani ya magari

Mark: haya mama we chagua gari lolote unalotaka

Tausi; unajua Mark acha ungese basi me nimeacha kazi
Kibao ili uje unichote akili we shenz kabisa nirudishe kwetu

Mark: we mama najua unateseka ndo maana me spati huduma sasa we chagua mzigo tulipe kila kitu nishechukua plate no ziko kwenye gari wanakufungua hapa hapa tunaondoka
Kuendesha gari si wajua

Tausi: ndio

Mark: haya chagua mama fasta uridi ukalale

Tausi mwenzenu sikuamini jamaa, nikiangalia rav 4, mark x, mark 2, sijui vits, passo, ist, prado ah nikatamani nibebe prado nikajiambia unajua mshahara wenyewe laki 5 hapa ntaumbuka
Nikamwambia Mark unajua mshahara wangu laki 3 sasa gar me napata wapi hela ya mafuta we Mark vepee

Mark: mafuta nakuwekea mimi we shida ipo wapi?!

Tausi: nikaguna mmh! Asee mbona kazi ipo kweli Mungu yupo kanisikia basi nikaulizia bei mark aniambia we acha usenge chagua gari bei za nini tena we dalali au?!

Tausi mwana wa kwenu nikadondoka kwenye prado ambalo hata boss wangu hanaa, zile prado new model

Mark: hili hapana utafukuzwa kazi boss atadhani umeiba hela bure chagua gari ambayo haitakuwa na maswali kazini

Tausi nikachagua rav 4 3 doors akakataa haya magumu kuuzika

Nikamwambia we unauza wewe au kama ngumu kuuzika ntauza hata scraper hili ndo nataka lipo kidada zaidi niacheeee
.basi ndo nikanunulia Rav 4 new shape milango 3 gadame, sikuamini kama ndotoooo, nikaliendesha vbali kila kitu kalipia sijui road license sijui bima tena kakata ile comprehensive.. kadi ya gari jina langu
Nikawekewa mafuta full tank hapo morocco petrol station nikaambiwa hayabmama usije gonga safari njema ngoja nikafanye transaction bank
Nikimaliza ntakuja kukutoa dinner then leo nataka mechi

Me hata sikuskia anachosema nikarudi zangu home huyooo nashangaaa siaminiii uuuwi kweli bora nilivyoendaga driving school naona maombi yangu yamejibiwaaa na Mungu kweli kanisamehe

Usiku nikaja kichukuliwa buaa nikaenda na gari yake kunduchi beach hotel
Tukalaaa tukanywaaa kurudi nikapigwa pumbu weeee, Mark wamotoooooo nikajua huyu hajatomba mudaaaa nikaogelea kwenye mahaba yake kiroho safi na condom lakini maana hatujapima na wala hakuwa na pingamizi

Basi affair ikaendelea inafanyika kwangu
Me asbh naamka saa 11 nanusu naamsha saa 12 saa 1 nanusu nipo ofsini right on time
Office mate hawakujua kama nina gari baada ya mwezi wakanionaaa maana nilikuwa nalificha balaaa, nikaanza kuwapa lift nikawaambia mjombaangu kaninunulia buana wakaamini sijui watajiju

Affair yangu na Mark ikaendelea kweli ananiwekea mil 2 bank kila mwezi ya petrol tu

Akaja akaibuka Best friend wa mark wakati me na Mark tupo level shwari baridaaaa amaaaani on cloud 9 nikasema kweli shetan hapend furaha yangu kumwuliza vepee ananiambia oh nakupenda nataka niwe na wewe dah nikachokaaa
Maana me na mark tunakula kwa kuiba ila level sanaa ananielewa namwelewa sasa nikifkiria huyu Best friend namfichia wapi sielewi

Nikamkatalia akanifosi nikamwambia me natoka na kigogo mkubwa sana nchini na sio babake bonge kwaiyo sasa best friend siwezi akaniforce basi me ntakuwa side man wako sitakuingilia muda na kigogo wako nikamwambia tuanze twishen kabla ya mtihani

Kwanza utanipa nini mimi
Ambacho kigogo hanipi

Best friend: kwani kigogo ana umri gan

Tausi: ana 42

Best friend: keshachoka huyooo me nakukimbizia ringi mpaka utamsahau kigogo

Tausi: ila me nina ukimwiii

Best friend: poa tutavaa mpira ikikatika basi

Tausi nikachokaaa, nikamwambia lkn hauli mzigo bila matunzo

We lipia petrol ya gari na saloon

Best friend: ah una gari?! Hongera sana
Sasa me nalipiaje gar wakati sijanunua labda nifanye msosi na saloon na vocha na vacations

Tausi: poa mchumba side wangu

Nikaanza kuwa na mahusiano na wanaume wa2, kila mtu anakuja kwa wakati wake
Kila mtu ananitunza kwa wakati wakee nikaweza kuwamudu wote 2, hawajuani ndani ya mwaka 1 hawajuanii dah bonge la zali

Wanatoa hela wajinga wale sio kitoto kila mtu kama alivyoahidi mshahara wangu ukasimama bank hauguswiii, nikaanza kupendeza job wanashangaa ni laki 5 au tips za meetings za nje ya ofisini au vikao vya seminar?! Hawaelewi

Miaka 2 ikapita napata simu kwa baba bonge akanitafuta oh me nimekumiss nakupenda
nikachoka sa me babonge nampeleka wap wakati nishazoea mitarimbo ya vijana
Nikaenda kumsikiliza sera zile zile mke wangu kanitalaka ni sheedah me
Namsikiliza tu kwan sh ngap?! Si unajua ye ndo kaweka mkono pale kwa bank nikawekwa kazini

Baada ya hapo tukachukua room tukafanya yetu lkn me sioni raha wala nini nishazoea mipini ya vijana nikaanza kufekisha najiliza amalize mapema asepee
Baada ya wiki ananiambia oh basi staki tena mahusiano na wewe, nikashkuru moyoni lkn nikajifanya nimekasirika nikampiga kibaooo nikamtemea matere drama drama flan ivi amazingi nikaondoka
Kufika home namkuta Mark anataka mrejesho nikampa ule wa hasiraaa na furahaaaaa akashangaa leo mbona Tausi yupo extraaaa?!

Alipoondoka Best friend nae anataka kujaa nikamwambia baba kigogo kajaaa tena na bastolaaa tunagombana hapa kakuta sms zako we njoo next weekend plz akaamini

Kusema kweli mpenz mtazamaji ukiniuliza maisha yangu yapoje ni mazuri sana ila sio level ya juu kama yalivyokuwa kwa mama bongee

Ukiniuliza kuhusu mapenz wote nawapendaa sanaaa ila nampenza zaidiiii Best Friend kwasababu nahisi nitakuwa na fyuch nae yeye being single Mark nazuga nae lakini kufanywa side chic nimechokaaa

Pia Best friend ananipendaaa, hata anavyonitomba unaona kabisa inatoka moyoniii ila Mark ananitomba basi tu kama anakula tumbakishie baba akampelekee na mke home

Moyo wangu umedondoka sana kwa Best friend hata sometimes Mark akiwa ananipiga mechi namwona Best friend na mu imagine Best friend ndo ananipa doz ila skosei nikataja jina lake nipo makini mpenz msomaji maana gari nalitaka sanaa

Mimi unaweza niiita malaya, changudoa, jesusi, jambazi lililoshindikana, gaidi, mafia lakini nina moyo jamaaaa na nahitaji kupendwaaa nimeishi maisha yooote but deep down najua wazazi wangu wananiangalia huko walipo na Mungu ananipenda sana la sivyo nisingepata kazi nisingepewa gar nisingekuwa nawelewa hela bank kila mwezi

Kiukweli Best friend kaniteka moyo wangu sanaaa sanaaaa

Na njia ya kumsahau mtu uliependana nae kama mimi kwa baba bonge ni kutafuta wanaume kama 2 mpaka 5 wote ujifanye unawapenda, me baba bonge aliniumiza maana nilijiweka mazima kwake lakini sasa namwona kama biskuti tu simpendi kabisaaa
Namshukuru sana Mungu kuniondoa kwa baba bonge



Tuonane saa 4 usiku leo
 
B. Preety Bitches

Mark



These Bitches penny inabidi uende nao taratibu tu, wahenga wanasema ukila na kipofu usimshike mkono na mimi staki kumshika mtu mkono wala nini, me nakula kimya kimya
Money Penny: mmh, ok pimp nipe ubuyu

Mark: kiukweli me hapa dar nina madem 4
1. Bonge Michellin
2. Tausi
3. Mama bonge (mama mkwe)
4. The new chick nimempata juzi katoka malaysia
These bitchez nimepanga yani, akainuka akafunua briefcase, unaona hii ndani kuna calendar, kila mtu nimempanga siku ya kuonana nae, na hakuna anaejuana na mwenzie huu mwaka sasa.

Tausi ninaweza sema ni my side chic naweza kumtomba kavu lkn tangu amenambia ana ngoma tunadondoka na mpira tuu ndo kilichobakia. Ila ka tausi ka nyokoo penny, ah ile ngoma nomaa

Kuna siku akanikamatia mavuzi akacheza nayo mamaa wee niliisomesha namba, yani mpaka baba mwenye nyumba wake akaja akidhani anakufa. Ikabidi tuhamie Girraffe hotel kumalizia show. ***** Tausi me ntagawa hata discovery 3 yangu kwake sio kwa ule uroda.
Skunyingine kanipiga cha masaki, kanilaza kifudifudi, akavuta mapumbu kwa nyuma afu akawa anayala ananyonya anakuwa kama anang'ata ananyonya. Penny haya mambo tuachie wanaume, nyie wanawake endeleeni kulia stail zenu 3 (doggy, gogo na kupanda farasi)

Mkewangu penny nampenda, amenipa mtoto wa kiume Mark
The 2nd
Lakin cjui anafanya kusud au ndo alivyo maisha yake bonge hanijali kabsaa, me nakwambia penny yule mkewangu maramwisho kumtomba ilikuwa siku nimemuoa honey moon zaid ya hapo hamnaa! Nikimwitaj oh na mimba, oh me nipo hormonal, kalenda kibao shenz type.
Basi pa kudondokea Tausi akanielewa nilipompa gari ndo akajitoa ufaham, utadhania nipo strip club kila siku napewa afu style mpya.
Mke analala kama gogo, anavaa mapajama cotton kha! Bonge la turn off

Tisa kumi penny, mamake bonge ndo simwelewi, kabsaa, ndio kanipa hela zake nimefanya anachotaka ila siku amekuja depressed oh ur the only man in my haaause nataka uniskize, nikamskiza ma mkwe akarap pale yupo soba hajanywa, akanichosha pale na maneno mengi, baada ya hapo akaenda room kwake akaniita
Ujue Penny me naishi kwa mama mkwe bado, kwenye bonge la mansion akakataa tupange, so sie tuna upande wetu, yeye anao wa kwake
Alipokimbia chumbani akaanza
Kulia, nakufa najiua nikakimbia kumcheki, tobaa ma bonge katupia sexy lingeries sijaona tangu nazaliwa, akawa amekaa chini analia kwenda kumwinua na nini akanibana mabusu motomoto, ni sheedah, ikabidi nimpe mama bonge juu me chini, nikakimbizwa hapo mama bonge akakojoaa akalala, kuamka hajanikuta. Akanicheki kesho nikamkimbia kwa mwezi mzima nalala kwa hotel na tausi, akanitishia nakusemea kwa bonge nene njoo unitombee
Nikaenda kumskiza mama mkwe haelewi anataka tena, na maswali kibao ya utatoa utoi, tukapeana cha mwisho, kuja kumaliza ananiambia Mark me najua upo na mwanangu, lkn uwe unani bust kidogo kidogo nikamwitikia tu aya aya tukaachana. Nikajiuliza stress napeleka wap, nikaenda ongea na babangu, akaniambia acha laana me ntaongea na mamako tukaongee na mama mkwe wako
Wazee wakajipanga wakamwita mabonge home kwa wazee, akaenda kumbe baba mkwe walimficha ndani, wakaongea nae alichofanya si vyema
Aache na nimi
Mama Bonge: akakiri kunirubuni kwa nguvu, akaomba msamaha, bdae akasema ila sitaacha kutombwa na Mkwe, amenisugua mbayaa najiona kama mtoto mdogoo, kwaiyo izo integrity zenu endelezeni mtajiju, akainuka anataka kutoka, baba bonge akatokeza, akamchamba mkewe wee we kweli shetan unatia aibu me nakubali tutaachana mahakaman sio kwa dharau hizi, mama bonge akamtemea mate mumewe usoni akasepa. Wazee wangu wakawa wanamshangaa mama bonge, basi baba mkwe akaomba msamaha wakaongea akaondoka. Baada ya wiki talaka ikakamilika ba bonge akahama nyumbani akawa anakaa hotelin bdae akapata nyumba masaki
Tangu skuiyo mama mkwe hajawahi nitamani, kunifosi ujinga ujinga cjui nene, heshima ikawa inatawala ila hakuniomba msamaha wala nene
Ishu ya ma bonge ikaisha buana

Yule mke wa mtu unajua hatukuendelea kiviile, maana mume alitufumania nikapigana nae pale, yakaisha. Yule mke wa mtu akaja kuniambia kuwa
Wanaondoka na mumewe wanahama nchi
Ndio ikawa mwisho wangu na mke wa mtu penny

Nikawa nipo na Tausi na Bonge, siku nikaenda kutembea zangu serena hotel nakutana na kimwana gadame, mtoto potay kama Hudda wa Kenya, kagawanyikaje sasa, nikamfukuzia akagiga nje nikakomaa nae miezi 2 anapiga chini, wa 3 akaniambia eh we mwana hauchoki tu, alinifanyia vituko balaa penny ila usungura kwa sana, nikaja kumkamata kumweka mezani demu bikra nikachoka, mtoto swafii mtamuje sasa afu apo nimemdanganya me sjaoa. Dah, kuitoa bikra ilikuwa mbinde, siku 3 bado cjamtoa, akilia naogopaa nahisi namuua, unajua Aaliya ndio nilimtoa bikra lkn zaman sa ivi najiona mzee, kuchinja kuku ni ngumu, unahisi kuku mzee anakuachia laana
Tukakaa mwezi mzima nimepangisha nyumba upanga NHC nene, akajua kweli me bachela na mpaka sasa hapa ana ujauzito wangu watoto mapachaaa, miezi 7 hamna anaejua zaidi yako penny. Mke, mama mkwe, tausi
Hawajui wala nini,
Ndo ivyo tena Penny

Money Penny: sasa kamanda unampango gan na wake 2? Na kati yao wa 3 yupi wampenda zaidi?

Mark: nimeshamkamata bonge ana cheat na jitu moja kama jambaz anaitwa matusi, basi nikamwambia nimekusamehe ila najua wanaendelea bado na najua tu matusi ndio mwenye mtoto pale me simo
Nasubiri mtoto wa bonge amalize miez 3 nampeleka mwenyewe for DNA test, nikijua sio natoa talaka siwezi tena ile familia
Kusema kweli me nampenda sana huyu dogo anaetegemea kupata mapacha. Dogo mwaminifu tena kanichanganya kumkuta anayoo
Tausi kiukweli sina mapenz nae kabisa, ila mechi zake ni noumer sana ila simpende, nipo willing kutulia na dogo wa malaysia na kumfundisha maujuzi yote niliopewa na tausi ila familia ya akina bonge stak tena baaas



Tuonane j4 saa 11 jioni
 
Back
Top Bottom