Story: On My High Horses ...

Story: On My High Horses ...

Dah ndio ishaisha ila haijaisha kibabe bwanaa happy ending kama twinkle twinkle
 
Well done Money Penny.. Nimekuwa msomaji mzuri sana wa story yako japo sikumbuki kama niliwahi kucoment.. Ilikuwa tamu balaa.. Keep it up
*USHAURI*
Katika story zako zifuatazo punguza kidogo matumizi ya KANISA na VIONGOZ wake.. Imefikia mpka kuna wakta ulimtaja YESU so simple.. Sijasema usiweke ila punguza maana itatia doa kidogo japo ni hadith tu
Pili kama ni kutaja DINI jaribu kubalance basi unati mchungaji kushoto na kulia ustadh ingawa nna uhakika wa 100% kama ungekuwa umehusisha masheikh tupu humu ungeshapata kibano long time
Tatu na mwisho hii story ni nzuri sana ila imekaa kibosi bosi mno khaa! Utawaharibu akili mabinti wa JF waanze kutupiga mizinga kama ya kina Aaliyah na Tausi daaah ila BIG UP sana
 
Back
Top Bottom