Story: On My High Horses ...

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,921
14,820
CHAPTER 1



" I can't believe that Mark married that fatty bitch .. how could he?!, after all that we've been thru he chose her!?
That sun of a bit, huku anagonga meza, kwanza
Mwanamke mwenyewe amekaa kama michellin jaman! Hana kiuno hana shingo yani shapeless


This is not fare, life ain't fare! Why Lord whyyyyy?!
Mimi sio mtu mbaya ujue Mungu?! Me mbona nakupenda sana kwanini umeniamua kunitesa namna hii?
OMG! Huku analia, mama yake anambembeleza


Mama: basi mwanangu acha tu huenda hakuwa wa kwako Mungu amekuepushia

Aaliyah: Mungu asingeruhusu tukae miaka 9 kwenye mahusiano kama hakutaka niwe nae, sijawahi hata kumfuania Mark kwa sms, simu, picha, inbox za social medias,sasa imekuwaje!?
Au amelogwa na huyo michellini?!
This is not fare mama not fare at all, huku analia kama chizi amejilaza kwenye kitanda chake


Mama: akawa anambembeleza tu hush hush my daughter, akapanda kitandani akamkumbatia, wote wakawa wanalia mama anambembeleza mwanae"

Ivi lakini miaka 9 mingi jaman! Yani unamwacha mwanaume anakuburuza mwaka 1 ... 2.... 3.... 4.... 5.... 6....7...8 ....9 afu anakuja kuoaaa ndani ya miezi michache khaaa! Wanawake sisi tumeumbwa kipekee gadame... kama Mbinguni kuna special previlage basi wanawake wanachukua gold medal

Embu me nisiwe mbea sana niendelee na stori yetu

2 months before the wedding

A. PARIS

Mark: mpenz nakupenda sana, nakupenda kuliko neno nakupenda lilivyo, nakupenda to the moon and back, mapenzi yangu kwako nimefika on cloud 9, nakupenda to infinity

Aaliyah: i love you too darling, you are the best thing ever happen to me, 9yrs ni kama nimekufahamu jana, mapenz yangu kwako hayachujuki wala kufubaa wala kuoza wala kunuka wala kuchachaa, wewe ni halichachi wangu! You are my forever best friend

Waka kiss kiss kiss ika turn into romance romance turn into mechi kwenye balcony ya chumba chao nchi ya Paris

Na ahadi za mechini si unazijua tena game likikoleaaaa, mwanaume anatoa ahadi kibaaaaaooo i will never leave you or forsake you, your my hero i love you forever, i will marry you!

Aaliyah akaidaka kichwani akijua soon njema Mark ata propose maana ishakuwa
9yrs tena, mapenz yao yalianza high school mpaka chuo wakamaliza mpaka wameanza na kazi wamekuwa promoted wapo kama bolt na nati, hawaachani wakaamua kuchukua vacation pamoja kwenda Paris,


Wakakaa wiki 2 Mark hana dalili ya ku proposeee, kama ni surprise basi Mark anatoa surprise za maua mekundu, meupee labda anamdanganyia na diamond rings au neckless au barcelet au watches za bei ghali lakini hakuna ring!

Aaliyah akawa ameshaanza kuwa na wasiwasi huenda amezeeka au Mark amemchookaaa hata hakuelewa kuna shida gani

Aaliyah: Mark is a huge successfull man in Tz, kinachomfanya asioe ni nini?!me nimekaa nae miaka 9 sijawahi hata kumfumania kwa sms wala simu wala live akiwa na mwanamke mwengine,
Sidhani kama ana uhuni wa kijinga sidhani pia kama ni msenge maana dozi nazopewa sio za kitoto kila siku nabadilishiwa mastaili
Why oh why lord hanioi?!
Am fckuing 30 yrs old, am not getting any younger you know, all my friends are married na wana watoto wa 2 mimi tuuuu jaman au nimelogwa mbona nasali sana jaman a committed church member wapi nakosea?!
Sijawahi hata kumtukana huyu mwanaume tusi lolote tangu nimemfahamu hajawahi kuniskia nimemwita mjinga, mshenz, fala, pumbavu, msenge yani hata kumsonya hajawahi kuskia nikinuna nikikasirika nazima simu taratibu nalala kitandani nalia weee hasira ziiishe lakini sasa nahisi ntakufaaa nahisi kupasukaaa volcano yangu inataka ku erupt i cant take it anymore, but now kasema anataka kunioa may be ni kweli ngoja nivumilie
aaliyah anamawazo hayo wakati Mark anampiga dyu dyu .. mwe mwanawake kwa kufikisha badala ya kuskia utamu unawaza why hakuoi?! Kiru


Siku moja wapo njiani wanazunguka madukani Paris wanafanya shppping wakiwa wanaingia kwenye duka wakapishana na demu m1 bongeeee mweusiii shapelesss yani michellin on fleek, wakaingia zao ndani ila Mark alikuwa na jicho la 3 kuhusu huyo demu

Mark: duh huyu dada bonge sana, kha! Kazi ipo mwanamke kama yule si afanye tu mazoezi aende gym unene ule mbaya sana mpenz

Aaliyah: yah nimemuona maskini probably anaumwaa!, ah tuachane na hayo mpenz tuendelee na ya kwetu sawa darling?!

Mark: sawa! Huku anamwangalia yule bonge anavyoishia

Baada ya wiki 1 love birds wakarudi Tz, kuendelea na kazi na maisha

All lovey dovey mubashara kwenda mbele, mapenz yakaongezeka hamna alieonekana amepunguza mapenz kwa mwenzake

1 months before the wedding

Tausi: darling, next month kuna harusi ya rafkiangu anaolewaaa! Naomba unisundikizee

Aaliyah: ah naji huyo tena maana isije ukawa unaolewa wewe

Tausi: ah shogangu me bado sana ngoja nile kwanza ujana, kuna shogangu m1 huyo bwana kani surprise ni boooonge la booongeeee! Yani bongeee sijui nikufananishie nini eti kapata bwana like last months walikutana huko Paris

Aaliyah: ah! Okay hongera zao Paris a city of love she's lucky!

Tausi: basi bwana akaniambia huyo kaka walikutana kwenye duka la nguo then bdae wakaja kukutana tena night club! Wakasalimiana wakanywaa wakalaa wakaenda mziki wakachezaaa wakanywaaaa wakanywaaa mpakaaaa kuja kushtuka asbh hawana nguo wapo kwenye chumba cha shogangu walisha du zaman tena bila condom!

Eh! Basi yule kaka akaaga anasema mama yake yupo hospital anaenda kumwona akaondoka hata hawajapeana mawasilianooo!

Hawakuonana tena mpaka waliporudi tz wakaja kukutana bank, hapo Crdb holland house posta mpya, wakasalimiana wanakumbukana wakabadilishana no!

Tangu pale ni mechi za hapa na pale bila kinga

Aaliyah: bila kinga?! kha!
Huyu bonge anajipenda au ndo desperation?


Tausi: me nilimwuliza swali hilo hilo akasema yule bwana alimwambia condom ya nini?! Bonge akakomaaa wakaenda kupima wote hawana wakaona waendeleze kavu kavu, kavu ikawa kavu mpaka bonge akapata mimba hapa nakeambia bonge ana mimba ya miezi 2, mwanaume amechanganyikiwaa
Kusikia bonge ana mimba ... 3 weeks ago huyo bwana akamwita bonge Kempinski akamnunulia lunch zile za j2 after church wanaziitaje sijui wamemaliza kula mwanaume ana propose waaaaa will u marry me bonge hakuaminiii! Akaona fairy tale imemuangukiaaa gadame! Akafurahi basi kulikuwa na band inapigwa pale ni full nderemo na vifijooo! Bonge ndo akawa proposed with 7 karat with diamond ring!


Aaliyah: kha! Gadame! Bonge ana bahati balaaa! Tena iyo pete naipendaje sasa?! Uuuwi i wish for her jamaan

Tausi: ndo ivyo next month harusi tena ya watu wachache kama 30 tu wazazi wa mwanaume na mwanamke na marafiki wa karibu, bkoz bonge hataki azae anataka watoto wazaliwe ndani ya ndoaaa! ila me bestito nimepewa card 2 naomba plz plz plz unisindikizeee

Aaliyah: ok u just keep me posted 1 week b4 ntakusindikizaaa nikaone iyo fairy tale wedding.. wakaongea weee baadae kila mtu akajikataa kivyake!

Usiku Mark akakutana na mpenz wake Aaliyah

Mark: babe kesho nasafiri kikazi naenda Arusha, kuna kikao na mkurugenz wetu na shareholdees wa kampuni yetu, kurudi after 3 weeks nimeskia tetesi wanataka kunifanya partner wa kampuni yao, i guess bonus na mshahara vitapanda and stuff
Bonus napewa nyumba, gari, fuel, 13th cheque kama kawa na kama nitapata watoto watasomeshwa UK, so we better hurry up kwenye kupata watoto i think we should get married


Aaliyah: oh jaman! hongera sana na mabusu kibaooo!
I think we should get married!
Jamaan me ofisini nimebanwa sasa hivi nikipata nafasi nitachomoka weekend moja nije kukuona!
I love you!


Mark: i love you more!

Aaliyah: hongera sana sana sana i envy u

The Wedding Day:

Mark: amefurahi yupo saloon na best man wake na best friend wake

Best friend akamvuta mark pembeni, we Mark unamwoa nani tena?! Aaliyah a?

Mark: sssshhhhh! Nooo not Aaaliyah! Kuna demu mmoja bonge ndo namuoaaa!

Best friend: how?! What happen na Aaliyah?!

Mark: shit went down akaondokaaa! Na unajua no man is an island i was drunk my ass off nikaja kukutana na huyu baby mama wangu tukalala, it was a one night stand ambayo ili turn into pregnancy! (Mark ni Proffessional lier wapenz wasomaji ila twende nae mdogo mdogo tuone mbio zake zinaishia wap)

Best friend: oh my God! Sasa Aaliyah anajua unaoa leo?!

Mark: hajui maana alikataa nisiwasiliana nae

Best friend: something is not right but hey! Ni maisha yako haya! You did the right thing kwa kumuoa huyu dada mlee sasa watoto hongera, unakuwa baba soon ndicho ambacho ulikuwa unakitaka siku zote!

Mark: namshukuru Mungu kwakweli

Best Friend: i hope your right but bado sina amani na hili dwala la Aaliyah! Sijui kwanini roho yangu inaniuma sana tangu umeniambia haumuoi aaliyah nyie watu mmetoka mbali sana mnajua?! 9yrd haiwezi kutupwa kapuni kirahisi namna hii

Mark: relax man Aaliyah nime put up nae sana nimemvumilia sana ila i guess Mungu alizuia sa sijui bwana nimechoka

Best friend: du! Haya bwana kama umeamua hivyo me siwezi kukuingilia wala kukuzuilia, your happiness counts! Hongera sana kwa mtoto ana miezi mingap shemej

Mark: 2 tu

Best friend: mmmh hongera sana haya vaa hili koti tuwahi kanisani

Harusi ikafungwaaaa!

Officially Mr and Mrs Mark!

Watu kanisani wapo 15 tu wakajongea ukumbini Double Tree hill by Hilton
Sherehe ikaanza wageni waalikwa wakaingiaaa wamependezajeee executive 1st class wedding!


Ilipendezaje wapiga picha kibaoooo makamera makubwaaa kama ya BBC!

Tausi na Aaliyah wakaingiaaa dah harusi Nzuri hiooo wakakaribishwa wakakaa nyuma nyima si unajua masista duu tena hawapeend kukaa mbele kama wachungaji.. wao wanazum tu toka nyuma!

Baada ya nusu saa maharusi wakaingia ndani, Mc akawakaribisha ikabidi wasimame, maharusi wanaingia Aaliyaj akapigiwa simu na mama yake, akageuka pembeni maharusi wakapitaaa hakuwaonaaa, walipopita yeye akatoka nje kuskiliza simu, akamwambia Tausi nakuja mama amenipigiaaa

Akaenda kuongea na simu mvua inanyeshaaaajeee sasa hawasikilizani

Mama on the phone: uko wapi mwanangu

Aaliyah: nipo kwenye harusi ya rafkiake Tausi hapa Double Tree hill by Hilton

Mama on the phone: mami ondoka hapo tafadhali

Aaliyah: mama sikuskii unakatika katika jama mtandao naonaa unasumbuaaa

Mama on the phone: hunny ondoka hapo rudi nyumbani

Aaliyah: niondoke kuna nini tena mama?!

Mama on the phone: Mark anaoa leo haujaskia

Aaliyah: mama skuskii jamaa unakatika katika, Mark kafanyaje? Halooo halooo halooo

Mama on the phone: Mark anaoa leo anaoa hapo hapo double tree hill ondoka hapo plz njoo nyumbani, umeskia mwanangu?! Haloo halooo haloo akaangalia simu imeshakataa

Aaliyah: ah mama nae msumbufu simu yangu ishazima hata sijamwelewa anasema mark sijui kafanyaje embu ngoja nikamuazime simu
Tausi nimpigie
Akarudi ndani anakuta watu wanachezaa mziki na maharusii!
Kumcheki Tausi yupo mbele anaserebukaje mziki wa diamond platnums! Kiru!


Akakaa kwenye kiti ila roho inamsukuma aende mbele akachezeeee! Akachukua pochi yake akamfuata Tausi kufika anamkuta Tausi anacheza na Bonge akimwangalia vzuri sura ya bonge sio ngeni kwake akamfuataaaa Tausi,

Tausi: eh bora umekuja nikutambulishe rafkiangu Bongee wakasalimiana pale

Aaliyah: hongera sana harusi yako nzuri mno umependeza sana!

Bonge: asante sana, oh My husband huyu hapa ngoja awasalimie kabla hamjakaa Mark njoo
Mark akaja buana


Bonge: jaman huyu ndio mume wangu Mark!

Aaliyah: akashtukaaa kama amepigwa risasi kifuani! Akahisi miguu imekufa ganzi akamshikilia tausi akapata na kichefuchefu akawa anataka kutapika akajizuiaaa

Mark: makavuuuu mkavuuu usoni akawasalimia mambo warembo salama?!

Tausi: salama shemeji hongera sana, mmependeza sana

Mark: asante sana

Tausi: shemeji huyu rafkiangu anaitwa Aaliyah

Mark: oh! Mambo Aaliyah?! Akampa mkono!

Aaliyah: akatoa mkono mdomoni ampe Mark akamtapikia buuuuuuuwaaaaah! Kwenye suit yake, akazidi kutapika Tausi akaomba radhi akamwondoa akampeleka kukaa

Aaliyah aliliaaaa, aliliaaaaa wageni wanamshangaa ikabidi Tausi amtoe ampeleke nje ya holi akakaa nae reception analiaaa Tausi haelewi analia nini!

Bonge anashangaa imekuwjae tena, huku anamsafisha suit mumewe akaja best friend wa Mark akamchukua Mark mpaka washroom

Best friend: imekuwaje mzee mbona aaliyah kaja?!

Mark: amepaniki hata sijui
Sijui nani kamtonya au yule demu Tausi?!


Best Friend: kwani unamjua Tausi

Mark: hapana nimetambulishwa yule Tausi na mke wangu Bongee ni rafkiake sana

Best friend: sasa utafanyaje?! U have to play cool kama haujaona kitu au haujui kitu ngoja niende kumcheki Aaliyah nje niongee nae mara akaingia bi harusi

Bonge: are you alright mume wangu? Huku anampulizia perfume kwenye shati koti akalitoa akamvalisha lengine

Mark: am fine darling asante sana wakaondoka haooo mpaka kwenye sherehe

Tausi: sasa Aaliyah unalia kisa umemtapikia bwana harusi embu acha utoto na wewe

Aaliyah: plz naomba niache kwanza we nenda kwenye sherehe nipate upepo kwanza then ntakucheki tuondoke ok

Tausi akarudi ndani akameacha Aaliyah yupo nje analia na kujifuta machozii

Mara akatokea best friend wa Mark:

Best friend: Aaliyah

Aaliyah: akamwangaliaaaaa akawa analia

Best friend akaenda kumkumbatia Aaliyah, maskini aaliyah analiaaa haelewi anaona kama ni ndotoooo! Why why jaman Mark amenifanyia hivi jaman amenidanganya anaenda kikaz arusha kumbe anaoa? Kama sio Mungu me nisingekuja hapa huyu Tausi amenikmba sama nimsindikize ila leo njiani wakati nakuja roho inaniuma sana sikumwambia tu nikaona nimemuahidi namsindikiza ndio nakutana na haya

Akajinyofoa kwa Best friend akamzaba kibao

Aaliyah: ulijua kuwa anaoa sio?!

Best friend: hapana me kaniambia jana njoo naoa hata sikuuliza nikajua anakuoa wewe kuja ananimbia leo anaoa mtu mwengine nikakupandia hewani haupooo nikaamua kumpigia mama yako kumweleza kwani hajakwambia mama yako?!

Aaliyah: oh my gaaaaad! Amenipigia tukawa hatuelewani maskini! Nilikuwa nimeshafika ukumbini ila sikumwona Mark wakati wanaingia

Nitafanyaje sasa mimi, miaka 9 ya mahusiano na Mark anaishia kumuoa mtu ndani ya miezi 3

Best friend: ameniambia ni mjamzitooo!

Aaliyah: kwaiyo hajanioa mini kwasababu sijamzalia au?! Angekuwa na shida ya mtoto si angeniambia me nameza mavidonge najilinda jaman wanaume jamaaan me hata sijui nawafanyaje huku analia

Best friend nae yumoooo, eeeh! Kesi ya nyani best friend anakumbatiaaa tuuuu! Aaliyah analiaaaaa analiaaaa kwenye kifua cha best friend

Best friend: aaliyah mama we nyamaza naomba nikurudishe nyumbani tafadhali, tuondokeee wakaondoka haooo
Njia nzima aaliyah analiaaa Best friend ameongea maneno mazuri ya busaraaa ya kumtia moyooo ya kiMunguuu lakini aaliyah hakuwepo ulimwengu huu wa duniaaa hiii, alikuwa ahera kama sio Mbinguni kwaiyo hata hakuskia Best friend ameongea nini!


Kufika nyumbani akamshusha mama aaliyah akaja kumchukua mwanae kwenye gari mvua inanyeshaaa mama katoka bila mwamvuliiii, anambembeleza mtoto wanatembea huku wanalowanaaa best friend anaskitika lkn atafanyaje akarudi zake ukumbini akamwambia Tausi Aaliyah nimeshamrudisha kwao alikuwa analia sana so usimtafute, best friend akaendelea na sherehe ya Mark na Bongeee

Aaliyah: jaman me hata siamini Mama siamini kabisaaa

Aalafu bi harusi mwenyewe mama tulikutanaga nae Paris kibooonge shapeless, akawa anamsema vbaya kumbe wanajuana i bet hata kuja paris alikuwa amemlipia uuuwi mama nitaenda wap na miaka yangu 30 nimekataa wanaume wooote for Mark Mama hata sijui nafanyaje sijui nitaenda wapi?!

I can't believe that Mark marries that bitch .. how could he?!, after all that we've been thru he chose her!?

That sun of a bitch, huku anagonga meza, kwanza
Mwanamke mwenyewe amekaa kama michellin jaman! Hana kiuno hana shingo yani shapeless


This is not fare, life ain't fare! Why Lord whyyyyy?!
Mimi sio mtu mbaya ujue Mungu?! Me mbona nakupenda sana kwanini umeniamua kunitesa namna hii?
OMG! Huku analia, mama yake anambembeleza


Mama: basi mwanangu acha tu huenda hakuwa wa kwako Mungu amekuepushia

Aaliyah: Mungu asingeruhusu tukae miaka 9 kwenye mahusiano kama hakutaka niwe nae, sijawahi hata kumfuania Mark kwa sms, simu, picha, inbox za social medias,sasa imekuwaje!?
Au amelogwa na huyo michellini?!
This is not fare mama not fare at all, huku analia kama chizi amejilaza kwenye kitanda chake


Mama: akawa anambembeleza tu hush hush my daughter, akapanda kitandani akamkumbatia, wote wakawa wanalia mama anambembeleza mwanae ...



MUENDELEZO BONYEZA LINK UPATE KUBURUDIKA ON MY HIGH HORSES ... - .
 
nasubiri nisome kwanza komenti za wengine waliosoma nikiona wanasifia wengi basi niitafutie muda niisome vzur
 
Duuuu mama asante ngoja tulisongeshe ila ndo wanaume walivyo usije ukajiona ww masogange ohh bwana angu achukui wanawake wasio eleweka
Maana unaweza oneshwa kimada wa mumeo mpaka ukatamani kumuuliza we mwanaume umefata nn pale
Hawaelewekagi wanataka nn
Meona eee mehn ni something else nakwambia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom