Steven Wassira ndani ya fashion

Steven Wassira ndani ya fashion

Haloooooo! Hii kitu kama ni Photoshop wadau nawaomba tuache hii dhihaka kwa Rais Wa Gombe na Mahale mnamharibia bwana!! Ina maana alikuwa kwenye mkutano mzito hivyo halafu suti iko upande? Hata dereva wake kumbe hampendi aiseee! Ina maana kote alikotoka hakuna hata msamaria mmoja Wa kumstua? Sasa ajiangalie kuna siku atatinga kwenye kikao yuko kwenye boxer!! Yaani hata mke?? Wassira kama una mpango Wa kutangaza nia bora uache, UKAWA watakuchafua hakuna mfano!! Namwomba sana MUNGU at my 60s nisiwe na tamaa ya kung'ang'ania ofisini!!
Huna jipya mbu kipeuo cha Tatu ww
 
Ujue nilikuwa ninasikiliza xxxl wakawa wanamwambia adam mchomvu kuwa amekosea kufunga vifingo vya koti...kumbe ili kuwa dogo kwa wassira
 
Tatizo la Wabongo wengi wanapuuza na kudharau vitu vinavyoonekana ni vidogo kama hivyo kufunga vifungo, tai nk, Lakini vitu hivyo vinavyoonekana vidogo ndivyo vinavyo akisi maisha yetu kwa ujumla wake


Mkuu umenikumbusha makala moja nimemaliza kusoma muda si mrefu ya mchezaji mmoja aliyeshindwa kupata namba Man United not sure kama unafuatilia mambo ya mpira...Kocha aliwaambia waandishi kuwa hakumpa nafasi mchezaji huyo kwa sababu siku yake ya kwanza mazezini alichelewa for 30 mins..waandishi wakamwuliza hilo lina maana gani kwenye soka kocha akawajibu kuwa mtu asiyeweza kuonyesha uwezo kwenye mambo madogo kamwe hawezifanya hivyo kwenye makubwa.
 
attachment.php
WENGINE HAWAONI VIZURI MKUU.

Asachiwe kuna vitu kaweka kwenye koti lake! Haiwezekani!
 
S
mleta mada PICHA we Ni mpumbavu kweli na unatumika vibaya kama unga wa ngano
So unataka kutuaminisha Kuwa Membe ndo mwenye sifa ZA Kuwa RAIS ????
Nenda nae Huko kwa kina Remtula . mwache RAIS WANGU Wasira mzalendo wa UKWELI
Chaguo la WANYONGE
Mambo ya Urais yanaingiaje hapa?
 
S
mleta mada PICHA we Ni mpumbavu kweli na unatumika vibaya kama unga wa ngano
So unataka kutuaminisha Kuwa Membe ndo mwenye sifa ZA Kuwa RAIS ????
Nenda nae Huko kwa kina Remtula . mwache RAIS WANGU Wasira mzalendo wa UKWELI
Chaguo la WANYONGE
Kweli kabisa, chaguo la wanyonge akaendelee kuwanyonga mpaka mfe kabisa akae peke yake.
 
S
mleta mada PICHA we Ni mpumbavu kweli na unatumika vibaya kama unga wa ngano
So unataka kutuaminisha Kuwa Membe ndo mwenye sifa ZA Kuwa RAIS ????
Nenda nae Huko kwa kina Remtula . mwache RAIS WANGU Wasira mzalendo wa UKWELI
Chaguo la WANYONGE

Muulize Koti Ndilo Linaongoza Nchi? Mleta Mada Hakika Umefikia Mwisho Wa Kiwango Chako Cha AKILI na USHAWISHI ktk Jamii.
 
Huna jipya mbu kipeuo cha Tatu ww
Baba lako limeaibika konokono wewe!! Liambie litakuja kufia ofisini. Jitu limezeeka lakini bado linang'ang'ania madaraka nyamb.aff!! Ipo siku litatinga baraza la mawaziri na boxer! Baba lako hili hapa! Bwaaaaaahahahahaahah!!

attachment.php
 
Suti over size sijui ya mjomba wake? Vifungo kakosea. Sitaki kuongea kuhusu sura.
 
Back
Top Bottom