Steven Wassira ndani ya fashion

Steven Wassira ndani ya fashion

maatope

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
1,422
Reaction score
958
Katokelezea na koti lake tena kafunga ki style mpya, ni kwanini tusimpe u "rahisi"? Chezea wassira wweweeeee
 

Attachments

  • 10422371_1538237309784369_4422813112990884667_n.jpg
    10422371_1538237309784369_4422813112990884667_n.jpg
    50.8 KB · Views: 5,487
CV ya huyu jamaa ikoje wadau??

Yeye na Muhongo nani mkali kishule shule zaidi?
 
Wakuu salama!

Tukiwa tunamaliza wiki sasa, ni vizuri tukaona picha hii, na kuanza kuwapima watia nia wetu wa urais kwa style mbalimbali.

Na kuona umuhimu wa Top levels officers wa serikali kuwa na watu wa mitindo na nguo.

Asanteni sana, tafakari picha hii.
 

Attachments

  • SW.jpg
    SW.jpg
    84.8 KB · Views: 10,131
Katoka chicha ila bado hajafaa kuitwa rais yeye aendelee kutia nia...
 
Wakuu salama!

Tukiwa tunamaliza wiki sasa, ni vizuri tukaona picha hii, na kuanza kuwapima watia nia wetu wa urais kwa style mbalimbali.

Na kuona umhimu wa Top levels officers wa serikari kuwa na watu wa mitindo na nguo.

Asanteni sana, tafakari picha hii.



kukosea kufunga kifungo si tija kwani hata wewe kama ni me unaweza kujisahau ukaruka lux moja.
 
Wakuu salama!

Tukiwa tunamaliza wiki sasa, ni vizuri tukaona picha hii, na kuanza kuwapima watia nia wetu wa urais kwa style mbalimbali.

Na kuona umhimu wa Top levels officers wa serikari kuwa na watu wa mitindo na nguo.

Asanteni sana, tafakari picha hii.
Haya ni majanga tena makubwaaa.
 
Hatari hii.. kama mgombe urais anapishanisha vifungo vya suit namna hii... napata mashaka sana huko kwenye maamuzi yake
 
Kuhukumu mtu kwa picha ya Mnato haina tija....Kwamba mleta maada umeleta hiyo picha kama sehemu ya kampeni zako??Unaihisianisha picha na urais??Kwamba katika yotee ya kumchafua huyu Mzee umeliona la picha hii tu??
Hii haitoshi kumchafua...2015 tunaenda na SM Wassira,kwa uadilfu na uchapa kazi
 
Back
Top Bottom