Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Watoto wa ngamia mnashida sana.Mkiambiwa huyu katoroka msitu wa gombe hamsikii leo mmejionea wenyewe
Watoto wa ngamia mnashida sana.Mkiambiwa huyu katoroka msitu wa gombe hamsikii leo mmejionea wenyewe
Nyooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!! chaguo lako mwenyewe anayekunyonga tgoni.S
mleta mada PICHA we Ni mpumbavu kweli na unatumika vibaya kama unga wa ngano
So unataka kutuaminisha Kuwa Membe ndo mwenye sifa ZA Kuwa RAIS ????
Nenda nae Huko kwa kina Remtula . mwache RAIS WANGU Wasira mzalendo wa UKWELI
Chaguo la WANYONGE
Hivi hil koti lake alikuwa anavalishwa na teja au alikuwa anaenda kuigiza bongo muvi....?
Mkuu kwa kweli hii ni aibu binafsi kwa Wassira , haihtaji utetezi.S
mleta mada PICHA we Ni mpumbavu kweli na unatumika vibaya kama unga wa ngano
So unataka kutuaminisha Kuwa Membe ndo mwenye sifa ZA Kuwa RAIS ????
Nenda nae Huko kwa kina Remtula . mwache RAIS WANGU Wasira mzalendo wa UKWELI
Chaguo la WANYONGE
Hii ni full aibu kwa taifa kuwa na Waziri kama huyu asiyejua hata kuweka vizuri mkoti wake.Oooooh ***.
Enzi za Mwalimu tungemwita msela mavi....Jamaa bishoo sana, ona anavyoinua bega moja, utadhani kawekewa chenye ncha kali mgongoni!
Komeo Lachuma ametoa hoja yake akihusianisha muonekano wa mtu na utendaji kazi wake, wewe unamtukana! Una mfahamu vizuri huyo uliyemtukana?Acha kuwaza kienyeji
Katika YOTE umeona hili ndio la maana???
Je NA wale wanaoliibia Taifa??
Acha upumbavu ......
hizo ni data mwanangunilichogundua unakipaji cha umbea.....
Na si ajabu mtu wako kavaa boxer mbele nyuma!!!!Acha upumbavu ww na ujana wako umelifanyia nn Taifa lako???