msemakweli tza
Senior Member
- Sep 25, 2014
- 177
- 10
Katoka chicha ila bado hajafaa kuitwa rais yeye aendelee kutia nia...
mbona kawaida sana kipikipya hapo kwan ye wakwanza kukosea?
Katoka chicha ila bado hajafaa kuitwa rais yeye aendelee kutia nia...
Huyu alisomaCV ya huyu jamaa ikoje wadau??
Yeye na Muhongo nani mkali kishule shule zaidi?
Kuvaa suti tu inamshinda nchi ataiweza!
Huyu alisoma
Enzi za mwalimu--form 4
Akaanza kazi
Baadae akadaka diploma nje ya nchi
baada ya hapo
blah bla blah
Maoni yangu tu ni kwamba kama kuvaa koti tu ni tatizo namna hii basi bila shaka viatu vya ikulu havita mtosha Namheshimu sana waziri wangu lakini kwa style hii aaa... wapi hapo alipo panamtosha
Hatari hii.. kama mgombe urais anapishanisha vifungo vya suit namna hii... napata mashaka sana huko kwenye maamuzi yake