Haituhusu hiyo; Kama anaweza kututoa hapa tulipo basi tutampa rungu; Kuvaa akishaingia Ikulu kuna wapambe wa Kumpamba na kuna fungu la Mavazi la kwenda saloon na kuagiza suti.
Tunafocus kwenye Mtu anayeweza kututoa hapa tulipo...hii kuvaa suti vizuri haitatuongezea kitu kwenye tatizo la "leadership vacum" umbwe la uongozi.
Mkiambiwa huyu katoroka msitu wa gombe hamsikii leo mmejionea wenyewe
Eti na awe raisi huyu???
huwa silalagiusitumike kijinga kama huna cha kuandika lala mbele......
Hahaaaaa yaani huyo ndo prezidaaa
Kuvaa suti tu inamshinda nchi ataiweza!
mleta mada PICHA we Ni mpumbavu kweli na unatumika vibaya kama unga wa nganoWENGINE HAWAONI VIZURI MKUU.![]()
huwa silalagi
by the way sina chama.....kaka yake nilikunywa nae gongo msasani
huyu jamaa alikimbiaga ccm
nyumba yake ya msasani ikapigwa
x palee alipokuwa anauza fish
kuona hivyo akarudi ccm
x ikafutwa na ccm
wakampokea....pia masumbuko lamwai alifanya unafki kama wa huyu dingi.....