Steven Wassira ndani ya fashion

Steven Wassira ndani ya fashion

Wakati mwingine wazee wetu hawa wanajidhalilisha!
Badala ya kucheza na wajukuu wao kila siku maofisini huku mwili na mawazo vimechoka.
Mzee Wassira apumzike sasa,siasa basi.
(kama hujaona cheki koti)[/QUOTE]

Acha upumbavu ww na ujana wako umelifanyia nn Taifa lako???
 
S
mleta mada PICHA we Ni mpumbavu kweli na unatumika vibaya kama unga wa ngano
So unataka kutuaminisha Kuwa Membe ndo mwenye sifa ZA Kuwa RAIS ????
Nenda nae Huko kwa kina Remtula . mwache RAIS WANGU Wasira mzalendo wa UKWELI
Chaguo la WANYONGE



!
!
sikujua kama wakazi wa SENGE mko wengi kiasi hiki
 
ww umekosa kazi kwani vazi lake linakuhusu nini wewe au linaharibu nini??hebu acheni siasa chafu huo ni udhaifu wa kisiasa
 
Wakati mwingine wazee wetu hawa wanajidhslilisha!
Badala ya kucheza na wajukuu wao kila siku maofisini huku mwili na mawazo vimechoka.
Mzee Wassira apumzike sasa,suasa basi.

Haloooooo! Hii kitu kama ni Photoshop wadau nawaomba tuache hii dhihaka kwa Rais Wa Gombe na Mahale mnamharibia bwana!! Ina maana alikuwa kwenye mkutano mzito hivyo halafu suti iko upande? Hata dereva wake kumbe hampendi aiseee! Ina maana kote alikotoka hakuna hata msamaria mmoja Wa kumstua? Sasa ajiangalie kuna siku atatinga kwenye kikao yuko kwenye boxer!! Yaani hata mke?? Wassira kama una mpango Wa kutangaza nia bora uache, UKAWA watakuchafua hakuna mfano!! Namwomba sana MUNGU at my 60s nisiwe na tamaa ya kung'ang'ania ofisini!!
 
People of simple mind discuss events but people of great mind discuss ideas! WASSIRA yupo busy na kuhangaikia watanzania ndio maana wakati mwingine mambo yake binafsi huyasahau kwa ajili ya kuwahangaikia watanzania!

Kiukweli hiyo picha ni ya kutengenezwa na wabaya wake baada ya kumchuguza kama ana kashfa na baada ya kukosa kachfa ndo wanaunganisha picha hizo eti iwe kashfa! Wameshindwa hao wassira ni jembe na mkombozi wa watanzania!
 
Wakati mwingine wazee wetu hawa wanajidhalilisha!
Badala ya kucheza na wajukuu wao kila siku maofisini huku mwili na mawazo vimechoka.
Mzee Wassira apumzike sasa,siasa basi.
(kama hujaona cheki koti)[/QUOTE] Na mpiga picha nae "ana roho mbaya sana"!
 
Penye ukweli lazima watu waseme, Mzee Wassira anatakiwa kurudi jimbon kwake Bunda apumzike asaidiane na wazee wenzake katika shughuli za kilimo, siyo kila siku anapakwa kashifa mara anaishi bure kwenye nyumba za sukari, mara anataka uraisi wakati hana sifa, arudi bwana akalime Pamba.
 
Tatizo la Wabongo wengi wanapuuza na kudharau vitu vinavyoonekana ni vidogo kama hivyo kufunga vifungo, tai nk, Lakini vitu hivyo vinavyoonekana vidogo ndivyo vinavyo akisi maisha yetu kwa ujumla wake


Basi nenda kawaambie wanaoviona vi kubwa
Kwangu mm hiv Ni vitu vidogo SANA
 
wajinga mmeacha kudiscuss mambo ya msingi mmekalia majungu na wengine hata nidhamu hamna subirini sasa awe rais mtakavyoshushuka
 
Acha upumbavu ww na ujana wako umelifanyia nn Taifa lako???

Wewe ndo mpu.mb!! Unaona hiyo ni sawa? Badala ya kuwalaumu watu aliokuwa nao Wewe unamtukana mleta mada? Anzia nyumbani, ofisini, kwenye gari, jirani yake kwenye hicho kikao na mpiga picha wote hao ndo wapumb.avu kama Wewe!
 
Penye ukweli lazima watu waseme, Mzee Wassira anatakiwa kurudi jimbon kwake Bunda apumzike asaidiane na wazee wenzake katika shughuli za kilimo, siyo kila siku anapakwa kashifa mara anaishi bure kwenye nyumba za sukari, mara anataka uraisi wakati hana sifa, arudi bwana akalime Pamba.

Wewe mbona unaonekana kama mwehu Unataka baba YAKO ambae Hajui kusoma wala kuandika Ndio awe RAIS?
Wasira Ana kashfa gani zaidi tu YA KUFANYA umbea kwenye mitandao tu!
Uliposikia anaishi bure kwenye nyumba YA sukari kama kweli wewe una utashi mbona hukuuliza nyumba YAKE kama Waziri aliyopewa Ni Ipi????
Taifa hili linahitaji maendeleo YA vitendo NA sio MAENDELEO YA UDAKU
 
Wewe ndo mpu.mb!! Unaona hiyo ni sawa? Badala ya kuwalaumu watu aliokuwa nao Wewe unamtukana mleta mada? Anzia nyumbani, ofisini, kwenye gari, jirani yake kwenye hicho kikao na mpiga picha wote hao ndo wapumb.avu kama Wewe!
Ur stupid cow ndo maana HATA MAISHA yako yamekushinda Kazi kukalia umbea tu
 
Mjomba Sasa Na Wewe Upo Team Gani au Ipi Ya Wanaowania Urais? Huyo Wassira Ndiyo Mugabe Wetu Watanzania.
 
Tz inazidi kuzalisha maajabu duniani
 
Back
Top Bottom