Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,464
- 6,775
Wakuu,
Akizungumza leo kwenye tukio la kuaga mwili wa William Lukuvi Stephen Wasira alisema kwamba tatizo kubwa linaloikumbwa CCM ni kwamba haina viongozi mbadala
"CCM tuna matatizo kweli ya kumpata mbadala. Kwa sababu kupata mbadala wa mtu ambaye ameandaliwa na ameongoza kwa miaka zaidi ya 30, 30 ni ya Ubunge lakini ya uongozi wa chama ni karibuni ya miaka 40 au zaidi, sio kazi rahisi. Kwa hiyo na sisi tuna matatizo hayo
Akizungumza leo kwenye tukio la kuaga mwili wa William Lukuvi Stephen Wasira alisema kwamba tatizo kubwa linaloikumbwa CCM ni kwamba haina viongozi mbadala
"CCM tuna matatizo kweli ya kumpata mbadala. Kwa sababu kupata mbadala wa mtu ambaye ameandaliwa na ameongoza kwa miaka zaidi ya 30, 30 ni ya Ubunge lakini ya uongozi wa chama ni karibuni ya miaka 40 au zaidi, sio kazi rahisi. Kwa hiyo na sisi tuna matatizo hayo