Star tv wana kila sababu ya kufanya hivyo, ikiwa ni wamiliki, pia kama hajaridhika huyo star times, inabidi wafanye hivyo bila kuzuru sheria ya nchi na vifungu vingine,ikiwa star times haeleweki, na vyema sasa local chanels zote zijitoe ilitubako na anologia yetu ili hawa digital wajiandae kwa upya.