Star TV na ITV kujitoa rasmi Startimes muda si mrefu!

Star TV na ITV kujitoa rasmi Startimes muda si mrefu!

Safi sana TCRA watanzania tumeona juhudi zenu,lakini mpak mda huu sioni Star TV kwenye king'amuzi kama wakigoma futeni leseni yao! Kwan kwenye hyo continental kwan kuna chnl yao tu? Kama kuna mgogoro wa kibiashara kwann wasingewatarifu nyinyi direct?
 
Last edited by a moderator:
Taarifa itatafsiriwa tafadhali.

Kutafsiri tu haitoshi jibu maswali / issues ambazo zimekuwa raised na Star TV kwenye barua yao kama ni za kweli au hazina uzito wowote...

Nadhani vitisho na kuonyeshana mabavu atakayeumia ni mwananchi mtazamaji.., kaeni nao kitako hao watu na kurekebisha yanayowezekana
 
Star Times inachukua vituo vya TV ikiwemo Star TV bila idhini yao na kuviweka kwenye king’amuzi chake kwa kisingizio kwamba wanaruhusiwa na sheria ya EPOCA na Kanuni zake. Sheria hiyo inasisitiza juu ya kuwepo kwa mkataba wa makubaliano (SLA) kati ya pande mbili husika.
TCRA ungejibu hiyo hoja hapo ya STAR TV.

Kuna mambo mengi hapa tumeyajua hasa kuhusu "mkataba wa makubaliano (SLA)" unavyosiginwa na STAR TIMES bila ya TCRA kuwachukulia hatua STAR TIMES.

Heshima yenu imeshuka TCRA mmekua vibaraka wa wageni.
 
Last edited by a moderator:
Star Times inachukua vituo vya TV ikiwemo Star TV bila idhini yao na kuviweka kwenye king’amuzi chake kwa kisingizio kwamba wanaruhusiwa na sheria ya EPOCA na Kanuni zake. Sheria hiyo inasisitiza juu ya kuwepo kwa mkataba wa makubaliano (SLA) kati ya pande mbili husika.
TCRA ungejibu hiyo hoja hapo ya STAR TV.

Kuna mambo mengi hapa tumeyajua hasa kuhusu "mkataba wa makubaliano (SLA)" unavyosiginwa na STAR TIMES bila ya TCRA kuwachukulia hatua STAR TIMES.

Heshima yenu imeshuka TCRA mmekua vibaraka wa wageni.
 
Last edited by a moderator:
Jana tumeambiwa ndan ya dakika 30 star tv itakua hewan bt had sasa hakuna jipya zaid ya no signal kwa hapa mwanza y
 
ukweli unabaki palepale kuwa siyo - fair kwa atra tv kujitoa startimes. Ya nini kuuma meno. TCRA hongera kwa kuwalazimisha warudi. Kama hawataki basi wafungie maana haifai kukiuka sheria za Kitanzania
 
Kiunganishi cha taarifa tuliyotoa, bofya hapa: ​#85​

Kwangu natumia dishi ila, toka tarehe 07/06/13 channel zote za vertical (Star tv, channel ten na TBC) zilikata kama majira ya saa moja usiku. kesho yake nilipojaribu kuzungusha LNB za vertical zikashika ajabu za horizontal (ITV, Capital, EATV, Tim, TVM, n.k) zikakata so nikizungusha hizi zashika zile zakata na imetokea kama ghafla bin vu kuanzia hiyo ijumaa usiku ikifika jumamosi mchana zikashika zote bila chenga ikianza jioni tu zapotea so mpaka leo naangalia za Horizontal za vertical zote ni mawenge. Nimeshindwa kujua tatizo ni nini? Msaada P,se. Maana nimekosa BBC na tamthilya. Star TV munaweza kunisaidia kwa hili.
 
Last edited by a moderator:
ukweli unabaki palepale kuwa siyo - fair kwa atra tv kujitoa startimes. Ya nini kuuma meno. TCRA hongera kwa kuwalazimisha warudi. Kama hawataki basi wafungie maana haifai kukiuka sheria za Kitanzania

Umesoma tamko la Star TV?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom