Star TV na ITV kujitoa rasmi Startimes muda si mrefu!

Jamani naomba anejua king'amuzi cha easytv wana channeli makini. Ila sijui mwisho wa kururasha matangazo yao ni dar tu ama vp. Ila najua ukilipia elfu kumi channeli zote zinafunguka na wana local channels zote na za move na series nzuri mpka mtv. Anae jua wamiliki wa hiki na je mikaoni kinaweza fanya kazi atujuze tuachane na hawa magamba.
 
Star tv wanaboa hata mwanza sasa haionekani kabisa,eti tv inarushwa toka mwanza watu wa mwanza mjini hawaioni,ilikua mjini mwanza inaonekana kupitia mwanza satelite cable na barmedas cable ambazo zinaonekana kwa wakazi zaidi ya asilimia 90 wa mwaza,sasa wamewapiga marufuku wamiliki wa cable hizo kuonyesha star tv,hivi sasa ni mwezi wa pili hakuna satar tv mwanza,eti mpaka ununue dekoda yao ya continental ndio uone star tv,hivi kwa akili ya kawaida tu kuna mtu gani ataacha cable inayoonesha chanel zaidi ya 80 tofauti tofauti ambazo zinaonesha mipira,habari,movies za kila aina na kila lugha,nahisi star tv watakufa kifo cha mende muda si mrefu,kwa kukosa matangazo ya biashara,kwa kua hakuna mtu atapeleka matangazo ya biashara katika tv ambayo haionekani na watu wengi inaonekana na watu wawili watatu wa kuhesabu.
 
Wanajitoa vp wakati imetangaza local chanels bureee.
 
Cloud Tv vipindi vyake bado havijatulia ndo maana haipati watazamaji wengi,hata mwonekano wa picha zake hauko clear sana.wanatakiwa wajipange.
 
kutokana na utitili wa hizi Television tutajikuta tunalundika utitili wa vingamuzi majumbani mwetu: ata kama ni biashara ya ushindani hii ya vingamuzi imezidi,,,,ni kuwachanganya wateja tu.
 
kutokana na utitili wa hizi Television tutajikuta tunalundika utitili wa vingamuzi majumbani mwetu: ata kama ni biashara ya ushindani hii ya vingamuzi imezidi,,,,ni kuwachanganya wateja tu.
na bado...
 
Hizo habari ni uongo na uzushi wa vijiweni!

Sheria ya mawasiliano kupitia TCRA inazitamka ITV, TBC, STAR TV, CHANNEL 10 na EATV kama ni FTA yaani Free To Air channels na sio Pay TV.

Sheria inawataka wamiliki wote wa visimbuzi vyenye local license kuziweka kwenye list hizo channels bure bila walaji kulipia!

Wakuu endeleeni kuumiza macho kupitia visimbuzi vyenu!

Mkuu hata mie nilikua nafikiri hivyo lakini ni kweli star times wanatangaza kuitia star tv kwa ombi la star tv wenyewe
 
Hii nchi iz noman's land kwakweli,,kila mtu anaamua anavyojiskia hakuna cha kufuata sheria na hakuna wakuwahoji!! Maajabu hayaishi nchini Tanganyika..
 
Tutakuwana lundo la visimbuzi.Na hili wananchi walikuwa na hofu nalo lakini TCRA walishikilia bango kuhamia digitali.Ninampango wa kukitupa hiki cha startimes na nitanunua cha TING kwa sababu sasa kinapatikana MBEYA.
 
Kweli, hawapo hewani!. Muda si mrefu utahitajika kuwa na visimbuzi kama kumi nyumbani. Vinginevyo tumia dish.
 
Mkuu hata mie nilikua nafikiri hivyo lakini ni kweli star times wanatangaza kuitia star tv kwa ombi la star tv wenyewe
Sabayi, nami nimeona hicho unachokisema....au ndio sheria imepewa ufizi nini?

Hatutendewi haki sisi watazamaji, kama kuna mtu ameweza kupata sababu za Star TV kufanya hivyo aziweke hapa tuzichambue!
 
Last edited by a moderator:
Hii nchi iz noman's land kwakweli,,kila mtu anaamua anavyojiskia hakuna cha kufuata sheria na hakuna wakuwahoji!! Maajabu hayaishi nchini Tanganyika..

One of these days Tanganyika is coming back. And it's gonna be a different place. Mtu akikupigia simu upo Sinza utasema nipo Sinza. Ukisema upo Sinza na GPS ikionesha upo Morogoro kesho utapelekwa mahakani kwa uongo! Tanganyika haitaki tabia za kiswahili-- inataka tabia za Tanganyika: Ukweli daima, na uchapakazi!
 
ni ngumu sana,TCRA inawalazimisha watoa huduma kuonesha ITV, TBC, STAR TV, CHANNEL 10 na EATV bila malipo
Kwani kabla ya kurusha matangazo kupitia visimbuzi walikua wanapataje mapato? Waache roho mbaya kutuweka roho juu.
 
Habari nilizozipata, mda mfupi ulio pita ni kuwa mwanasheria wa continental ametuma barua ya kuitaarifu startimes kujitoa kwa startv rasmi startimes, na mda simrefu Itv nao wanatuma rasmi barua kama hiyohiyo, huk startimes mashop yote ya dar ya startimes yameambiwa yawataarifu wateja kuhusu kutoka kwa hizo channel mbili.

NTAENDELEA KUWA UPDATE.....

Source mimi mwenyewe toka maeneo ya hapa bamaga startimes, nimepata habari hizi nikiwa ndani ya duka lao mda huu..wakijadiliana watafanyaje???

Huna uhakika
 
Habari nilizozipata, mda mfupi ulio pita ni kuwa mwanasheria wa continental ametuma barua ya kuitaarifu startimes kujitoa kwa startv rasmi startimes, na mda simrefu Itv nao wanatuma rasmi barua kama hiyohiyo, huk startimes mashop yote ya dar ya startimes yameambiwa yawataarifu wateja kuhusu kutoka kwa hizo channel mbili.

NTAENDELEA KUWA UPDATE.....

Source mimi mwenyewe toka maeneo ya hapa bamaga startimes, nimepata habari hizi nikiwa ndani ya duka lao mda huu..wakijadiliana watafanyaje???

Update :
WAMESHAJITOA JIONI HII!!
 
Back
Top Bottom