KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Hivi hawa startv wanaringia futuhi au nini hasa.
Hizo habari ni uongo na uzushi wa vijiweni!
Sheria ya mawasiliano kupitia TCRA inazitamka ITV, TBC, STAR TV, CHANNEL 10 na EATV kama ni FTA yaani Free To Air channels na sio Pay TV.
Sheria inawataka wamiliki wote wa visimbuzi vyenye local license kuziweka kwenye list hizo channels bure bila walaji kulipia!
Wakuu endeleeni kuumiza macho kupitia visimbuzi vyenu!
Hao wanaojidai TCRA wapo wapi?????MAANA hata TBC1 haipatikani kwenye ungo kwa wiki ya nne sasa na hakuna king'amuzi kinachoshika..but me nipo wilaya ya rombo sijui huko mlipo wandugu kama tbc1 mnaipata kwa kutumia ungoKwa masikitiko ni kwamba watu wote wenye ving'amuzi vya startimes hawataona tena matangazo ya star tv, sababu hazijatangazwa! Ila star times walitangaza kuwa star tv haitaonekana kwenye startimes je tatizo ni ni tunamuomba Yahaya Mohammed aje kutujuza kulikoni? Wamejitoa au wametolewa? Na kwa nini?
Hao wanaojidai TCRA wapo wapi?????MAANA hata TBC1 haipatikani kwenye ungo kwa wiki ya nne sasa na hakuna king'amuzi kinachoshika..but me nipo wilaya ya rombo sijui huko mlipo wandugu kama tbc1 mnaipata kwa kutumia ungo
Hebu jaribuni manual search, frequency 530mhz.
pika bomu,ripoti nzuri sana ya habari za kimataifa inayotolewa na mwanahabari mkongwe SEMADU HASSAN.Kujiunga na BBC idhaa ya kiswahili kila baada ya taarifa ya habari pamoja na kuonyesha baadhi ya mechi za soka kama za azamHivi hawa startv wanaringia futuhi au nini hasa.
Hivi mna habari kuwa ukinunua kingamuzi aina ya T2 cha startimes unaweza kukamata channel za mengi zote pamoja na ting?
Utasema vp habari za kizushi na uongo wakati yameshatokea tayari?Star tv toka jana hawapo hewani,labda useme haikubaliki kwa mjibu wa sheria za tcra hapo tutakuelewaHizo habari ni uongo na uzushi wa vijiweni!
Sheria ya mawasiliano kupitia TCRA inazitamka ITV, TBC, STAR TV, CHANNEL 10 na EATV kama ni FTA yaani Free To Air channels na sio Pay TV.
Sheria inawataka wamiliki wote wa visimbuzi vyenye local license kuziweka kwenye list hizo channels bure bila walaji kulipia!
Wakuu endeleeni kuumiza macho kupitia visimbuzi vyenu!
hebu fahamisha vizuri hapo ninacho T2 ,niko zenji, nasimbuka vp na mengi/ting?au kwa dasalame tu?Hivi mna habari kuwa ukinunua kingamuzi aina ya T2 cha startimes unaweza kukamata channel za mengi zote pamoja na ting?
Msipende kujibujibu tu ,tuambie hicho kingine kitakacho kuwa na "free channels" zote za star times na zaidi ni kipi! labda ujirushe ki dish dish na ki diesitivi ndugu yangu!na hapo si mudundo wa buku kumi wala ishirini-fat wallet!Nimeliona hilo tangazo...ntatafuta king'amuzi kingine...startimes wanazingua na channl zisizo na viwango