Star TV na ITV kujitoa rasmi Startimes muda si mrefu!

Star TV na ITV kujitoa rasmi Startimes muda si mrefu!

Mnalialia nini si mjiunge dstv achaneni na local channels kuweni wa kimataifa
 
Dr. F ndugulile Sugu,silinde,kafulila,mnyika,mbowe,filikunjombe,kangi<nyoka wa shaba> zungu tunaomba muwaamshe kina makamba na TCRA naona wamelala haiwezekani tufanyiwe uhuni kama hawataki wafute leseni,sasa tutakuwa na ving'amuzi vingapi sebuleni? Invisible tuitie TCRA aje kutujibu huku jf.
 
Last edited by a moderator:
Hizo habari ni uongo na uzushi wa vijiweni!

Sheria ya mawasiliano kupitia TCRA inazitamka ITV, TBC, STAR TV, CHANNEL 10 na EATV kama ni FTA yaani Free To Air channels na sio Pay TV.

Sheria inawataka wamiliki wote wa visimbuzi vyenye local license kuziweka kwenye list hizo channels bure bila walaji kulipia!

Wakuu endeleeni kuumiza macho kupitia visimbuzi vyenu! mkuu star tv wameshatoka kwenye list ya chanels za startimes! hii habari ni ya kweli na ndo maana mara zote huwa sichoki kuwashauri mfunge FREE TO AIR DISH! kwanza hakuna malipo ya mwezi, pili haina haja ya bomba reeefu, tatu picture clear! na la mwisho niwafumbue macho mtu mwenye dish anaona picha kabla ya mwenye king'amuzi! yaani km ni taarifa ya habari au tamthilia mwenye dish anakuwa wa kwanza kuona tukio after few second hilo tukio ndo linaamia kwenye ving'amuzi!
 
Serikali imekosa authority kiasi hiki, hadi wamiliki wa vyombo vya habari wanachallenge maagizo yake hadharani mchana kweupe. Ndio hivo tena Star Tv imejitoa.
 
Habari nilizozipata, mda mfupi ulio pita ni kuwa mwanasheria wa continental ametuma barua ya kuitaarifu startimes kujitoa kwa startv rasmi startimes, na mda simrefu Itv nao wanatuma rasmi barua kama hiyohiyo, huk startimes mashop yote ya dar ya startimes yameambiwa yawataarifu wateja kuhusu kutoka kwa hizo channel mbili.

NTAENDELEA KUWA UPDATE.....

Source mimi mwenyewe toka maeneo ya hapa bamaga startimes, nimepata habari hizi nikiwa ndani ya duka laapio mda huu..wakijadiliana watafanyaje???
Walikuwa wapi mda wote wasijitoe mapema maana *times ni ya Kichina na huduma zake zinatolewa Kichina china...
 
MTV Base si hawaandika barua ya kujitoa?,wakwende zao huko, kwanza mihabari yao yenyewe mingi ni ya kidwanzi
 
Majangaaa mbona majangaaa kujiunga wajiunge wao, kujitoa wajitoe wao halafu kukata channel watukatie sisi sasa si majanga hayoooo?
 
Hizo habari ni uongo na uzushi wa vijiweni!

Sheria ya mawasiliano kupitia TCRA inazitamka ITV, TBC, STAR TV, CHANNEL 10 na EATV kama ni FTA yaani Free To Air channels na sio Pay TV.

Sheria inawataka wamiliki wote wa visimbuzi vyenye local license kuziweka kwenye list hizo channels bure bila walaji kulipia!

Wakuu endeleeni kuumiza macho kupitia visimbuzi vyenu! mkuu star tv wameshatoka kwenye list ya chanels za startimes! hii habari ni ya kweli na ndo maana mara zote huwa sichoki kuwashauri mfunge FREE TO AIR DISH! kwanza hakuna malipo ya mwezi, pili haina haja ya bomba reeefu, tatu picture clear! na la mwisho niwafumbue macho mtu mwenye dish anaona picha kabla ya mwenye king'amuzi! yaani km ni taarifa ya habari au tamthilia mwenye dish anakuwa wa kwanza kuona tukio after few second hilo tukio ndo linaamia kwenye ving'amuzi!

Mbona hueleweki?
 
Ndio matatizo ya kuwapa waliberali wizara...
 
Kwa masikitiko ni kwamba watu wote wenye ving'amuzi vya startimes hawataona tena matangazo ya star tv, sababu hazijatangazwa! Ila star times walitangaza kuwa star tv haitaonekana kwenye startimes je tatizo ni ni tunamuomba Yahaya Mohammed aje kutujuza kulikoni? Wamejitoa au wametolewa? Na kwa nini?
 
Tunajua star tv wana ving'amuzi vyao! Lakini kwa nini waondoke statimes, na je mkataba walioingia kati ya startimes na serikali kuhakikisha tv 5 zinaonekana bure utakuwaje? Tv 5 ambazo zilipaswa kuonyeshwa bure hata kama mteja hajalipa ni hizi ITV, STAR TV,EATV,TBC1 NA CHANEL TENI, LAKINI TUNAONA SIKU HIZI CLOUDS TV NAYO IKO FREE KWA NINI STAR TV IONDOLEWE?
 
Startv wako strict sana, sisi huku tunatumia cable, walijitoa kama miezi miwili iliyopita, Bwana Dialo hataki magumashi kabisa, ila aangalie na side effect,
 
Back
Top Bottom