Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,936
- 30,050
Huna uhakika
Fungua TV yako kama utaiona StarTV
Huna uhakika
Sheria inasemaje au ndiyo mnataka kutulazimisha sisi walaji tununue decoder 50.
Makubwa!!, sasa haka ka startimes kangu nikatupie jalala lipi jamani?
Update :
WAMESHAJITOA JIONI HII!!
Kwenye hiki king'amuzi cha kikulima cha Star Times kuna tangazo linapita kuwa Star TV wanataka kujitoa kwa Star Times,Sijui wanafikiria nini wakati coverage yao ni ndogo sana hasa kwa kupitia king'amuzi chao cha CONTINENTAL.
Nafikiri hawajajifunza kwa CLOUDS TV ambao walijifanya wanakimbia Star Times wakati hata watazamaji hawana,
Nafikiri wakae chini waangalie suala hili vizuri kabla ya kukurupuka.
ni ngumu sana,TCRA inawalazimisha watoa huduma kuonesha ITV, TBC, STAR TV, CHANNEL 10 na EATV bila malipo
Kweli, hawapo hewani!. Muda si mrefu utahitajika kuwa na visimbuzi kama kumi nyumbani. Vinginevyo tumia dish.
mbona mi naangalia fresh tu hapa dom
There you are. Hiyo ndiyo sheria, ila sijui inakuwaje pale mtoa huduma anaposhindwa kutosheleza mahitaii ya wateja kama Startimes.Si walituambia kuwa
ving'amuzi vyote vitakua vinaonyesha 5 local channels bure including
itv, star tv, tbc 1,chanel 5 na channel 10?
Habari nilizozipata, mda mfupi ulio pita ni kuwa mwanasheria wa continental ametuma barua ya kuitaarifu startimes kujitoa kwa startv rasmi startimes, na mda simrefu Itv nao wanatuma rasmi barua kama hiyohiyo, huk startimes mashop yote ya dar ya startimes yameambiwa yawataarifu wateja kuhusu kutoka kwa hizo channel mbili.
NTAENDELEA KUWA UPDATE.....
Source mimi mwenyewe toka maeneo ya hapa bamaga startimes, nimepata habari hizi nikiwa ndani ya duka lao mda huu..wakijadiliana watafanyaje???
mkuu tutapungukiwa sana. ni local tv pekee inayojiunga na bbc swahili tv kila baada ya taarifa ya habari.vilevile ni local TV yenye reporter mzuri sana wa Habari za kimataifa Mr. SAMADU HASSAN.Ni tv iliyokuwa inajitahidi kuonyesha baadhi ya mechi za mpira wa miguu,ni tv pekee yenye kipindi cha viroja cha pika bomu na futuhiStatv nawapata kupitia dishi. Hawana vipindi vya mana, ukiangalia taarifa yao ya habari hawana mvuto kabisa, nadhani wadau hamtapungukiwa sana kama hawa jamaa watajitoa!