Stanbic wamegoma kutoa orodha ya waliochukua

mkuu tanzania tunaserikali ya kushughulikia wapinzani tu si kulinda maslahi mapana ya umma.sema tu watanzania tunamoyo otherwise kingekuwa kishanuka

ndio sifa iliyo tukuka ya chama cha mapinduzi na sera zake za shugulikia wapinzani.ipotayari kukodi elkopta kumsafirisha shekh ponda dar to moro au shekh faridi dar to znz kusambaza magari ya kuwasha na mapolisi nchi nzima kuishugulikia chadema isiandamane.lakini kushugulikia mafisadi intelejensia yake haina meno.hivi ni vichekesho tena vya abunwasi vinavyofanywa na ihi serikali ya ccm kulinda wezi wa rathilimali za taifa.
 
Kwa kuwa Stanbic wamegoma, na Inaonekana wana baraka za wakubwa flani kutoitoa orodha, je Hakuna sheria za nchi zinazoweza kuwalazimisha kutoa hiyo list? Japo majaji wetu nao walikula cha juu lakini nahisi kutakuwa na taratibu kama sio za hapa basi hata kimataifa.

Hakuna sehemu tunaweza kuishtaki stanbic wakatoa ile list?

Na akili yangu inanituma kwamba ujio wa Zuma ulikuwa na kitu flan kuhusu Escrow kwa sababu stanbic ni member wa standard bank ambao ni South Africa based.

Ebu tuchangamshe akili hapa.
Hakuna kitu kama hicho cha kukatalia list ya transaction ambazo zina mashaka. PCCB wana nguvu ya kisheria ya kupekuwa miamala yoyote.
 
Mkuu ni Ikulu ndio haitaki hii list ya majina husika maana yamo majina ya familia ya Kikwete waliochukuwa mabilioni chungu nzima.

Mie najiuliza hivi kumbe kama kuna vikundi vya kigaidi vinafadhiliwa fedha kuhujumu nchi yetu na fedha hizo zikapotia kwenye mabenki yetu kumbe serikali haina uwezo wa kuziamuru benki hizo kutoa taarifa ya nani kalipwa fedha hizo?
Kama sheria zetu haziwezi kupata taarifa hizo toka mabenki yetu basi tuko hatarini sana.
 
Hilo la Zuma na stanbic limeniamsha Ubongo ni kweli stanbic bank ilikuwa ni moja ya ajenda ya kikao cha Zuma na Mzee wa tezi lakini akili yangu haikuwa nyepesi kulihusisha na escrow.tens can u imagine kikao kilikuwa kianze saa tatu lakini Mzee wa tezi akikipeleka hadi saa NNE jamaa wa SA walimind saana kwani tayari walikuwa wana kikao kingine na museven wa Uganda same day baadae. Sasa kuwachelewesha ikulu zaidi ya lisaa kuliaribu mambo mengi moja likiwa airport trafficking. Ila Kwa kuwa wao ndio walikuwa wanashida ikabidi Zuma awe mdogo tu aisee
 
Kwa kuwa Stanbic wamegoma, na Inaonekana wana baraka za wakubwa flani kutoitoa orodha, je Hakuna sheria za nchi zinazoweza kuwalazimisha kutoa hiyo list? Japo majaji wetu nao walikula cha juu lakini nahisi kutakuwa na taratibu kama sio za hapa basi hata kimataifa.

Hakuna sehemu tunaweza kuishtaki stanbic wakatoa ile list?


Heshima kwenu wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli moyoni naumia.
UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.






Na akili yangu inanituma kwamba ujio wa Zuma ulikuwa na kitu flan kuhusu Escrow kwa sababu stanbic ni member wa standard bank ambao ni South Africa based.

Ebu tuchangamshe akili hapa.
Heshima kwenu wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli moyoni naumia.
UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.
 
Nasikia tape ya CCTV inayoonesha wababaji wa viroba iko chini ya ulinzi mkali kwa Madiba.

Ila kwa ufupi, haya mambo ya baraka za mtu mmoja tu hapa Bongo...akiamua (jambo ambalo haliwezekani), kila kitu kinaisha ndani ya saa 24!
Kumbe ndicho kilicho mleta usiku usiku Zuma... Hiyo cctv wameichimbia 'Rokaby'?
 
Hakuna kitu kama hicho cha kukatalia list ya transaction ambazo zina mashaka. PCCB wana nguvu ya kisheria ya kupekuwa miamala yoyote.
Sasa mbona haitoki? Kwa taarifa ni kwamba wamegoma kuitoa-Tundu Lissu.
 
Heshima kwenu wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli moyoni naumia.
UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.

Huyu kamweka Prezo mfukoni na ukishafanya hivo, umemaliza.
 
Kwenye Orodha ya Stanbic na Mbiwe yumo. Ndo maana hali iko hivyo

Ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo? Nafikiri unaweza kufanya vizuri zaidi ya hivi, hebu acha kujitoa ufahamu na utende sawasawa nina imani unaweza kuja na mchango mzuri
 
kuna uzi ulikuwako jana usiku ukitaja baadhi ya wanufaika nashangaa siuoni tena
 
Back
Top Bottom