Stanbic wamegoma kutoa orodha ya waliochukua

Stanbic wamegoma kutoa orodha ya waliochukua

Ni maajabu sana eti wamegomea CAG, PCCB .?haya Ndio maajabu mengine Ya tanzania
. Ikiwa bank zote zinaoperate chini Ya BOT watagoma je
Hivi source ya taarifa yako ni nini? Mbona unapiga porojo kama uko kijiweni? Nani kakwambia kuwa Stanbic Benki wamegoma? Unajua sheria inayoongoza mabenki inasemaje kuhusu disclosure ya taarifa za kijinai kwa vyombo vya uchunguzi? Pathetic
 
Mtu anaye husika na uchotwaji wa hizopesa na anayejua siri zote ni mfanyakazi wa benki hiyo LILIAN KITOMARI cha ajabu Paul Mmara raia wa Uganda ametolewa kafara wakati lilian analindwa.
Iko siku ukweli utajulikana....." kila mtu abebe msalaba wake" mh mwigulu mchemba.
 
Tanzania ndiyo nchi pekee ambado badala ya kujadili mambo ya nchi kwa hoja wanasiasa na waelewa wa mambo(opinion leaders) wanajadili kimaslahi ya siasa.

Weka hoja acha kina lisu waongelee vyama wewe kama hujaajiriwa na chama kufanya propaganda mwaga hoja acha matusi acha kujadili ki ccm au kichadema.
 
Hivi source ya taarifa yako ni nini? Mbona unapiga porojo kama uko kijiweni? Nani kakwambia kuwa Stanbic Benki wamegoma? Unajua sheria inayoongoza mabenki inasemaje kuhusu disclosure ya taarifa za kijinai kwa vyombo vya uchunguzi? Pathetic

Tuwekee sheria Kaka
 
Kumbe Mbowe ananguvu za kimamlaka kumzidi mtukufu Prof. Dr Jakaya Mrisho Kikwete?
Hongera Chadema kuwa na mwenyekiti imaea!

Kikwete ana nguvu gani nchi hii zaidi ya kuchekacheka tu.Jiulize majangiri anawajua lkn anawaogopa,yaani kama Rais mwenye vyombo vyote vya ulinzi mpaka akistaafu ni mwoga na goigoi je sisi wananchi tusio na ulinzi tutakuaje.Kikwete ni laana
 
Kweli sisi watu wa kujifurahisha sana tena kwa mtindo wa kujianzia tu na mambo ya kutunga.

Kwanza alietoa info za Mkombozi bank nchi nyingine kazi hana au yupo jela tayari. Information za watu benki ni very sensitive regardless of the circumstances. Ndio maana kunakuwa na vyombo mahususi kwa sababu ya kutafuta ushahidi wa ubadharifu benki.

Navyojua mimi kwa Tanzania kuna Serious Fraud Unit or somen of that nature ambao wana mamlaka ya kisheria ya kuchunguza maswala ya fedha benki, na tumeambiwa wameanza kazi unless labda watoe statement wamezuiwa something which I am sure will never happen kwa sababu ni chombo chenye baraka za bunge na sheria za nchi; thats just common-sense.
 
Kama great thinker unatakiwa ufanye utafiti kabla hajaandika thread yenye tuhuma nzito kama ulizozitoa.
Mi sio great thinker. Ni Mtanzania wa kawaida kwa kweli. Nyinyi ndio mtuwekee sheria hapa tuache kujadili uongo na kutukanana.
 
Mbowe pekee alipewa mzigo wa 800ml awagaie kambi ya upinzani. Zote kachikichia shabaash
 
Watu wengine eti ma great thinkers. Tanzania kuna great thinker? Ahaha, watu wakipata tu degree twa madesa wanajiona Great thinkers. Ebu jaribu ku google uone great thinkers.
 
Back
Top Bottom