Stanbic wamegoma kutoa orodha ya waliochukua

kasinge

JF-Expert Member
May 22, 2011
1,259
319
Kwa kuwa Stanbic wamegoma, na Inaonekana wana baraka za wakubwa flani kutoitoa orodha, je Hakuna sheria za nchi zinazoweza kuwalazimisha kutoa hiyo list? Japo majaji wetu nao walikula cha juu lakini nahisi kutakuwa na taratibu kama sio za hapa basi hata kimataifa.

Hakuna sehemu tunaweza kuishtaki stanbic wakatoa ile list?

Na akili yangu inanituma kwamba ujio wa Zuma ulikuwa na kitu flan kuhusu Escrow kwa sababu stanbic ni member wa standard bank ambao ni South Africa based.

Ebu tuchangamshe akili hapa.
 
Kwenye Orodha ya Stanbic na Mbiwe yumo. Ndo maana hali iko hivyo

Lizaboni kiongozi, mbona mnakuwa vipofu kiasi hicho nyie waungwana!!! Kila kitu nyie ni siasa za kujadili mtu, hata haya mambo yanayoongelea taifa kazi yenu ni kuleta siasa za vyama tu? Lini mtakuwa kisiaaa Jamani...so sad..hili taifa lina tabu kuwa na binadamu wenye weledi wa kuku.
 
Last edited by a moderator:
Lizaboni kiongozi, mbona mnakuwa vipofu kiasi hicho nyie waungwana!!! Kila kitu nyie ni siasa za kujadili mtu, hata haya mambo yanayoongelea taifa kazi yenu ni kuleta siasa za vyama tu? Lini mtakuwa kisiaaa Jamani...so sad..hili taifa lina tabu kuwa na binadamu wenye weledi wa kuku.



Naamini kwa sababu ya Mbowe maana South Africa wanamheshimu sana Lisu na Mbowe kuliko raia yeyote wa tanzania.
 
naona hiyo orodha isitoke maana serekali itatikisika tena,hii escrow yenyewe ilikuwa kimbembe!
_aisee isitoke maana itachafua chama (ccm )
 
nasikitika kuona bado una wananchi wenye macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii hebu tuache ashki majinun za uchama na tangalie utaifa zaidi... Lizaboni
 
Last edited by a moderator:
Tanzanians, tuache masihara kwa mambo mazito. Kama wapinzani wangewemo, orodha ingetoka haraka mno, si ungekua mtaji wa kisiasa kwa chama tawala. Ila kwavile inawakusa wenye mamlaka, ndo hizi danadana. Wajua wasipo angalia, tutafikishana ICC. Mnajua viongozi wa Africa kila mahala, wanamaliza vibaya.
 
Kwa kuwa Stanbic wamegoma, na Inaonekana wana baraka za wakubwa flani kutoitoa orodha, je Hakuna sheria za nchi zinazoweza kuwalazimisha kutoa hiyo list? Japo majaji wetu nao walikula cha juu lakini nahisi kutakuwa na taratibu kama sio za hapa basi hata kimataifa.

Hakuna sehemu tunaweza kuishtaki stanbic wakatoa ile list?

Na akili yangu inanituma kwamba ujio wa Zuma ulikuwa na kitu flan kuhusu Escrow kwa sababu stanbic ni member wa standard bank ambao ni South Africa based.

Ebu tuchangamshe akili hapa.
Stanbink na Standard Charterd ni benki mbili tofauti.
 
Kwenye Orodha ya Stanbic na Mbiwe yumo. Ndo maana hali iko hivyo

Waliogoma kutoa majina ni stanbic. Sasa Mbowe anafanya kazi huko? Yeye ni nani aweze kuwazuia kutoa majina? Who is Mbowe in this country hata azuie majina kuwekwa hadharani. Hakika hii nchi ina watu ja viatu.
 
Back
Top Bottom