Stanbic wamegoma kutoa orodha ya waliochukua

Stanbic wamegoma kutoa orodha ya waliochukua

mmmm u apokua na mawazri wahni mkuu mhuni wabunge wahuni yule mama wa mbagala unategemea nn
 
Mtu anaye husika na uchotwaji wa hizopesa na anayejua siri zote ni mfanyakazi wa benki hiyo LILIAN KITOMARI cha ajabu Paul Mmara raia wa Uganda ametolewa kafara wakati lilian analindwa.
Iko siku ukweli utajulikana....." kila mtu abebe msalaba wake" mh mwigulu mchemba.

Kuna ukweli hapa
 
wana bodi mimi naona kama ni kushinikiza ishinikizwe stanbic bank kutangazwa kama taasis iliyotakatisha pesa za escrow kwa mana sababu tunayo imegoma kutoa majina ya wanufaika wa escrow kwa hoja hiyo tu inatosha kutangazwa kama institution hatar. je mnaonaje hilo jamani?
 
  • Thanks
Reactions: Gor
m/kiti wa bodi ya hiyo bank mzee wa Tusker aka Tembo aka pembe za ndovu aka tourist wa ndani mana ziara zake zimeonyesha failure kwenye uchaguzi s/mitaa
 
mods umenionea mi nilitoa hoja ya kutangazwa kwa stanbic kama taasir haramu mbona umeniunganishia kweny thread stanbic kugoma kutoa list wakati mim nimetoa solution?
 
Kwa kuwa Stanbic wamegoma, na Inaonekana wana baraka za wakubwa flani kutoitoa orodha, je Hakuna sheria za nchi zinazoweza kuwalazimisha kutoa hiyo list? Japo majaji wetu nao walikula cha juu lakini nahisi kutakuwa na taratibu kama sio za hapa basi hata kimataifa.

Hakuna sehemu tunaweza kuishtaki stanbic wakatoa ile list?

Na akili yangu inanituma kwamba ujio wa Zuma ulikuwa na kitu flan kuhusu Escrow kwa sababu stanbic ni member wa standard bank ambao ni South Africa based.

Ebu tuchangamshe akili hapa.
Nakushukuru sana mkuu kwa ufikirivu!! ni kweli lazima kuna jambo
 
Ivi Kweli Wadau Hawa Jamaa Ndo Wamegoma Kuyatoa Haya Majina? Isijekua Kua Kina MUHONGO Nao Wamo Kule Sio Kujisafisha Kua Hajatajwa Popote Na Report Ya CAG Kua Nae Kapata Mgao. Wananchi Tutaaminije Maneno Yake Endapo Miamala Ya Malipo Iliyofanyika Stanbik Bank Haijulikani? Au Kapatia Mgao Kule Sisi Hatujui Chochote Tu?
 
Ivi Kweli Wadau Hawa Jamaa Ndo Wamegoma Kuyatoa Haya Majina? Isijekua Kua Kina MUHONGO Nao Wamo Kule Sio Kujisafisha Kua Hajatajwa Popote Na Report Ya CAG Kua Nae Kapata Mgao. Wananchi Tutaaminije Maneno Yake Endapo Miamala Ya Malipo Iliyofanyika Stanbik Bank Haijulikani? Au Kapatia Mgao Kule Sisi Hatujui Chochote Tu?

kwa kuwa muhongo kishatoka huo ndo mwisho wa mchezo tusubir skendo nyingine
 
Ivi Kweli Wadau Hawa Jamaa Ndo Wamegoma Kuyatoa Haya Majina? Isijekua Kua Kina MUHONGO Nao Wamo Kule Sio Kujisafisha Kua Hajatajwa Popote Na Report Ya CAG Kua Nae Kapata Mgao. Wananchi Tutaaminije Maneno Yake Endapo Miamala Ya Malipo Iliyofanyika Stanbik Bank Haijulikani? Au Kapatia Mgao Kule Sisi Hatujui Chochote Tu?

sahau mkuu.. apa sana sana labda tusubirie skendo ya sukari kama haitazimwa na jamaa aliyepelekwa kwenye hiyo wizara husika.
 
Kuna fununu kuwa hilo BOMO litatolewa ktk campaign za lala salama wakati wa uchaguzi 2015! Hapo ndipo nchi itapata pigo la karne!!
 
Muhongo alijiuzulu ili tuone kuwa limekwisha. Alisema; Umefika wakati Watz tujadili mambo mapya siyo Escrow kila siku. Namaliza kunukuu.
Weye umetoa wapi ujasiri huo wa kuuliza? Si keshajiuzulu? Nani kala na nani kaliwa yesheeee
 
Tanzania tunayoitaka
-kuwe transparency and accountability
-To be responsible to your country.hila toka nipate akili CCM chama chenye zamira njema na nchii baada ya kufanya mikataba mibovu kutawala huku wakiacha sheria pemben(dictatorship) leo hii watoe majina ya mafisad mhh labda nchi imebadirika s dhan kama CCM wanadhamira njema kiac hicho tusahau.
 
Ivi Kweli Wadau Hawa Jamaa Ndo Wamegoma Kuyatoa Haya Majina? Isijekua Kua Kina MUHONGO Nao Wamo Kule Sio Kujisafisha Kua Hajatajwa Popote Na Report Ya CAG Kua Nae Kapata Mgao. Wananchi Tutaaminije Maneno Yake Endapo Miamala Ya Malipo Iliyofanyika Stanbik Bank Haijulikani? Au Kapatia Mgao Kule Sisi Hatujui Chochote Tu?

Majina wewe ya nini?
 
Back
Top Bottom