Awakener
Senior Member
- Dec 28, 2018
- 163
- 116
Watoto wa sasa hivi wanaakili kuliko watoto wa zamani huo ndo ukweliElimu ya siku hizi imekuwa mdebwedo sana! Ukitaka kujua hili waulize walimu wa vyuo na waajiri. Binafsi sio Mara moja nimewafanyia interview vijana kwenye mambo ya kazi na naishia kusikitika jinsi uelewa wao ulivyo wa mashaka.