Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,503
- 19,319
una akili ndogo sana bro, hata wewe umeelimika kweli? acha kudanganya wenzako. unamwekea mtaji mtoto anayeenda kufeli, si usimpeleke kabisa umpe tu hiyo ada akaanze kuuza karanga barabarani mapema?Kwanza sipeleki mtoto huko, nampeleka kata hizo Hela namuwekea Kama mtaji, div 3 inatosha na Hela ya mtaji juu