big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 398
- 1,059
Mimi kama mdau wa elimu, nimependezwa na kufurahishwa na haya matokeo ya juu kabisa na ya ajabu iliyopata shule hii.
Walikuwa na wanafunzi 70
Wanafunzi wote 70 wamepata div. One
Kupata one pekee sio ajabu sana kwenye nchi maana hata st. Fransis girls Mbeya wanapata n.k n.k, Bethel Mafinga wanapata ila hawa wote wamepata div. One za single digit yani wameishia div ya point 9 tu.
Division one ya point 7 (ambao ndio ufauli mkubwa zaidi ya wote kwa maana waliopata A zote) wapo 62
Div. 1 ya point 8 wapo 5
Div 1 ya point 9 wapo wa 3
Hivyo hakuna aliepata matokeo ya point 10 na kuendelea, aisee hawa jamaa sijui wanatumia mbinu gani za kufundishia hongereni sana walimu na kongole mmliki wa shule za kemebos, mmeupiga mwingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa na wanafunzi 70
Wanafunzi wote 70 wamepata div. One
Kupata one pekee sio ajabu sana kwenye nchi maana hata st. Fransis girls Mbeya wanapata n.k n.k, Bethel Mafinga wanapata ila hawa wote wamepata div. One za single digit yani wameishia div ya point 9 tu.
Division one ya point 7 (ambao ndio ufauli mkubwa zaidi ya wote kwa maana waliopata A zote) wapo 62
Div. 1 ya point 8 wapo 5
Div 1 ya point 9 wapo wa 3
Hivyo hakuna aliepata matokeo ya point 10 na kuendelea, aisee hawa jamaa sijui wanatumia mbinu gani za kufundishia hongereni sana walimu na kongole mmliki wa shule za kemebos, mmeupiga mwingi.
Sent using Jamii Forums mobile app