Hongereni sana shule ya Kemebos Secondary School Kagera

big dreamer

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
398
1,059
Mimi kama mdau wa elimu, nimependezwa na kufurahishwa na haya matokeo ya juu kabisa na ya ajabu iliyopata shule hii.

Walikuwa na wanafunzi 70

Wanafunzi wote 70 wamepata div. One

Kupata one pekee sio ajabu sana kwenye nchi maana hata st. Fransis girls Mbeya wanapata n.k n.k, Bethel Mafinga wanapata ila hawa wote wamepata div. One za single digit yani wameishia div ya point 9 tu.

Division one ya point 7 (ambao ndio ufauli mkubwa zaidi ya wote kwa maana waliopata A zote) wapo 62

Div. 1 ya point 8 wapo 5

Div 1 ya point 9 wapo wa 3

Hivyo hakuna aliepata matokeo ya point 10 na kuendelea, aisee hawa jamaa sijui wanatumia mbinu gani za kufundishia hongereni sana walimu na kongole mmliki wa shule za kemebos, mmeupiga mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kama mdau wa elimu, nimependezwa na kufurahishwa na haya matokeo ya juu kabisa na ya ajabu iliyopata shule hii.

Walikuwa na wanafunzi 70

Wanafunzi wote 70 wamepata div. One

Kupata one pekee sio ajabu sana kwenye nchi maana hata st. Fransis girls mbeya wanapata n.k n.k, Bethel Mafinga wanapata ila hawa wote wamepata div. One za single digit yani wameishia div ya point 9 tu.

Division one ya point 7 (ambao ndio ufauli mkubwa zaidi ya wote kwa maana waliopata A zote) wapo 62

Div. 1 ya point 8 wapo 5

Div 1 ya point 9 wapo wa 3

Hivyo hakuna aliepata matokeo ya point 10 na kuendelea, aisee hawa jamaa sijui wanatumia mbinu gani za kufundishia hongereni sana walimu na kongole mmliki wa shule za kemebos, mmeupiga mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndio wababe wa St Francis
 
Mimi kama mdau wa elimu, nimependezwa na kufurahishwa na haya matokeo ya juu kabisa na ya ajabu iliyopata shule hii.

Walikuwa na wanafunzi 70

Wanafunzi wote 70 wamepata div. One

Kupata one pekee sio ajabu sana kwenye nchi maana hata st. Fransis girls mbeya wanapata n.k n.k, Bethel Mafinga wanapata ila hawa wote wamepata div. One za single digit yani wameishia div ya point 9 tu.

Division one ya point 7 (ambao ndio ufauli mkubwa zaidi ya wote kwa maana waliopata A zote) wapo 62

Div. 1 ya point 8 wapo 5

Div 1 ya point 9 wapo wa 3

Hivyo hakuna aliepata matokeo ya point 10 na kuendelea, aisee hawa jamaa sijui wanatumia mbinu gani za kufundishia hongereni sana walimu na kongole mmliki wa shule za kemebos, mmeupiga mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu wamepitwa na St Francis

Kemebos- GPA ya 1.1024

St Francis- GPA ya 1.0799

GPA inapokua ndogo inamaanisha ufaulu mkubwa
 
Mwaka huu wamepitwa na St Francis

Kemebos- GPA ya 1.1024

St Francis- GPA ya 1.0799

GPA inapokua ndogo inamaanisha ufaulu mkubwa
Labda kwasababu ya idadi ya wanafunzi coz st. Fransis ilikuwa na wanafunzi 90 lakini kemebos wanafunzi 70

St Francis inapoint 10,11 lakini kemebos wameishia point 9 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wale walioonuesha dalili za dv 2,3 walitupiwa shule ya jirani
 
Back
Top Bottom