Spika Tulia Ackson simamia ubora wa bunge na michango yao Hii ni aibu nyingine

robinson crusoe

JF-Expert Member
Oct 22, 2020
740
1,214
Ni aibu nyingine imejitokeza bungeni kwa mbunge kuisimanga nchi jilani.



Bahati mbaya anapoongozwa na Mbunge mwenzake haoni sababu ya kuona kosa lake. Lakini anapoonywa na Waziri, anakubali kurekebisha kosa. Kuna mambo matatu; Kwanza Mbunge hajitambui kabisa! Pili mbunge haoni sababu ya kurekebishwa na mwenzake, na tatu, Mbunge ni mnyonge kwa waziri.

Kwa ujumla Bunge limekuwa ni sehemu ya hovyo! Ni sehemu ya kuja kujamiiana. Mtu anakuja na wake zake wawili na anapewa sifa. Waziri anakuja kusoma hotuba ya wizara yake anaanza kusifu familia yake, Mwingine anakuja kuonesha dada zake na watu wanashangilia. Wengine wanakuja kuonesha mahaba yao ya yanga na simba. Hawa wote wanatumia muda wa wananchi kwa mambo na mapenzi yao binafsi! Spika yupo na hana la kufanya wala haoni upuuzi huu wote
 
Ni aibu nyingine imejitokeza bungeni kwa mbunge kuisimanga nchi jilani.



Bahati mbaya anapoongozwa na Mbunge mwenzake haoni sababu ya kuona kosa lake. Lakini anapoonywa na Waziri, anakubali kurekebisha kosa. Kuna mambo matatu; Kwanza Mbunge hajitambui kabisa! Pili mbunge haoni sababu ya kurekebishwa na mwenzake, na tatu, Mbunge ni mnyonge kwa waziri.

Kwa ujumla Bunge limekuwa ni sehemu ya hovyo! Ni sehemu ya kuja kujamiiana. Mtu anakuja na wake zake wawili na anapewa sifa. Waziri anakuja kusoma hotuba ya wizara yake anaanza kusifu familia yake, Mwingine anakuja kuonesha dada zake na watu wanashangilia. Wengine wanakuja kuonesha mahaba yao ya yanga na simba. Hawa wote wanatumia muda wa wananchi kwa mambo na mapenzi yao binafsi! Spika yupo na hana la kufanya wala haoni upuuzi huu wote

Bunge la mazuzu.
 
Ni aibu nyingine imejitokeza bungeni kwa mbunge kuisimanga nchi jilani.



Bahati mbaya anapoongozwa na Mbunge mwenzake haoni sababu ya kuona kosa lake. Lakini anapoonywa na Waziri, anakubali kurekebisha kosa. Kuna mambo matatu; Kwanza Mbunge hajitambui kabisa! Pili mbunge haoni sababu ya kurekebishwa na mwenzake, na tatu, Mbunge ni mnyonge kwa waziri.

Kwa ujumla Bunge limekuwa ni sehemu ya hovyo! Ni sehemu ya kuja kujamiiana. Mtu anakuja na wake zake wawili na anapewa sifa. Waziri anakuja kusoma hotuba ya wizara yake anaanza kusifu familia yake, Mwingine anakuja kuonesha dada zake na watu wanashangilia. Wengine wanakuja kuonesha mahaba yao ya yanga na simba. Hawa wote wanatumia muda wa wananchi kwa mambo na mapenzi yao binafsi! Spika yupo na hana la kufanya wala haoni upuuzi huu wote


Mkuu nakupongeza kwa ustahimilivu wa kutazama hilo bunge kibogoyo.
 
Hii ndio hufanya mabalozi kuitwa wizara za mashauri ya kigeni kuhojiwa!! Nupur Sharma (kiongozi wa kichama tu) alifanya mabalozi wa India waitwe na serikali za nchi mbalimbali waliko kutoa maelezo juu ya matamshi ya mtu asiye hata na cheo serikalini.

Mchango wa hovyo sana huu. Kama mataifa wahisani yangeenda na utaratibu huu, wangeweza kutuambia “wananchi wetu wanalipa kodi ambazo tunazitumia kuwanunulia vyandarua huku ninyi mkicheza vigodoro tu”.
 
Upuuzi nchi hii ni mwingi na ulianza zamani.
Bungeni imekuwa ni sehemu ya kutafuta sababu za kushangiliwa. Tangu waziri Mkuu (serikali) na wabunge. Yaani mtu anaacha kuchangia mambo ya maendeleo anaamua kusifia yanga na simba kama pale mtaa wa msimbazi kwa wauza magazeti, ili tu ashangiliwe. Kuna wakati Mwandosya akiwa Mbunge alianza hotuba ya wizara yake ya mawasiliano kwa kuwataja na kuwasifu familia yake; mke, watoto na wakwe zake. Hilo ni Bunge!!!!

Leo hii kuna waziri Aweso aliingia na wake zake na kuanza kuwasifia wanavyompa mahaba na akashangiliwa. Hiyo ndo nchi na bunge letu la kuwaletea wananchi maendeleo.
 
Ni aibu nyingine imejitokeza bungeni kwa mbunge kuisimanga nchi jilani.



Bahati mbaya anapoongozwa na Mbunge mwenzake haoni sababu ya kuona kosa lake. Lakini anapoonywa na Waziri, anakubali kurekebisha kosa. Kuna mambo matatu; Kwanza Mbunge hajitambui kabisa! Pili mbunge haoni sababu ya kurekebishwa na mwenzake, na tatu, Mbunge ni mnyonge kwa waziri.

Kwa ujumla Bunge limekuwa ni sehemu ya hovyo! Ni sehemu ya kuja kujamiiana. Mtu anakuja na wake zake wawili na anapewa sifa. Waziri anakuja kusoma hotuba ya wizara yake anaanza kusifu familia yake, Mwingine anakuja kuonesha dada zake na watu wanashangilia. Wengine wanakuja kuonesha mahaba yao ya yanga na simba. Hawa wote wanatumia muda wa wananchi kwa mambo na mapenzi yao binafsi! Spika yupo na hana la kufanya wala haoni upuuzi huu wote
Hawa ni wateule wa marehemu, na marehemu, siku zote machaguo yake yalikuwa mtu mjinga au mnafiki. Kwa hiyo usishangae.
 
Ni aibu nyingine imejitokeza bungeni kwa mbunge kuisimanga nchi jilani.



Bahati mbaya anapoongozwa na Mbunge mwenzake haoni sababu ya kuona kosa lake. Lakini anapoonywa na Waziri, anakubali kurekebisha kosa. Kuna mambo matatu; Kwanza Mbunge hajitambui kabisa! Pili mbunge haoni sababu ya kurekebishwa na mwenzake, na tatu, Mbunge ni mnyonge kwa waziri.

Kwa ujumla Bunge limekuwa ni sehemu ya hovyo! Ni sehemu ya kuja kujamiiana. Mtu anakuja na wake zake wawili na anapewa sifa. Waziri anakuja kusoma hotuba ya wizara yake anaanza kusifu familia yake, Mwingine anakuja kuonesha dada zake na watu wanashangilia. Wengine wanakuja kuonesha mahaba yao ya yanga na simba. Hawa wote wanatumia muda wa wananchi kwa mambo na mapenzi yao binafsi! Spika yupo na hana la kufanya wala haoni upuuzi huu wote

Hakuna bunge hapo ni ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom