Wa mmoja
Member
- Aug 4, 2009
- 99
- 0
Hii kitu bwana ni kampeni za Kikwete kwa namna moja au nyingine...!
Kajifanya kuwaumbua mafisadi wakati nayeye ni mmoja wao!
Of course utendaji wa Sitta ni mzuri,sasa kwa nini aliiomba CCM radhi huku akijua fika kuna mafisadi?! Angeonyesha msimamo wake uko wapi.
Lengo la Kikwete ni kulimaliza nguvu hilo kundi la MAFISADI ambalo lipo against yeye kwa kumtumia Sitta!!!
Check vizuri hii kitu, but simlazimishi mtu akubali/aamini ni mawazo yangu tu!
Kajifanya kuwaumbua mafisadi wakati nayeye ni mmoja wao!
Of course utendaji wa Sitta ni mzuri,sasa kwa nini aliiomba CCM radhi huku akijua fika kuna mafisadi?! Angeonyesha msimamo wake uko wapi.
Lengo la Kikwete ni kulimaliza nguvu hilo kundi la MAFISADI ambalo lipo against yeye kwa kumtumia Sitta!!!
Check vizuri hii kitu, but simlazimishi mtu akubali/aamini ni mawazo yangu tu!