Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
hizi habari zisizokuwa na jina la chanzo chake inakuwa tabu kuzitathmini kwa undani....au ni habari tu za tetesi ambazo zipo unfounded
Hapa jamvini sio CNN, wala Fox News Channel.
Uvumi, ukweli, uzushi, uongo, tetesi, udaku yote cha mbele!
Hivyo ndivyo wanavyosema ukiuliza vyanzo.